Afariki baada ya kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

yaan ni aibu kuna kesi nyingine hata wakili huwezi pata maana naye ataonekana hana akili pia
 
Wanajeshi tunawachekea sana. Kuna watu unakuta wanakaa wanasifia hivi vitendo vyao vya kishenzi.
Kuna raia wengi sana kwenye nchi ambao ni sadists na mazombi.
 
Huu upuuzi utaisha siku raia wengi wakikataa na kusimama imara dhidi ya huo uovu. Tatizo hata uonevu kinyume cha sheria wanaofanyia raia huwa unazungumzwa kwa bashasha sana mitaani na kwenye vyombo vya habari.
 
Kuna raia wengi uraini na waandishi kwenye vyombo vya habari huwa wanazungumzia haya matukio kwa bashasha sana.
 
Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo nilikuwa uko morogoro vijijin, wanajeshi walipanda kwenye treni walikuwa wao tu behewa zima wakachukua mahindi ya kuchemsha kwa mmama wa watu alafu wakamwambia kamdai ela kikwete,

HAKIKA NILIWALAANI SANA WALE WANAJESHI. MMAMA WA WATU AKABAKI ANALIA TU
 
yaan kifupi mtz atakuangalia hivi unakufa mjeda anafanya vile anavyotaka yeye na anaweza kuwa peke yake raia hata 20 raia akijitahid sana atachukua video
Nchi iliyojaa watu waoga wasiojitambua.
 
Hakuna anayelazimishwa kuwa mwanjeshi nchi hii wote wanaokuwa wanajeshi walipenda na waliomba kufanya hiyo kazi kwa hiyari zao.
 
Huu upuuzi utaisha siku raia wengi wakikataa na kusimama imara dhidi ya huo uovu. Tatizo hata uonevu kinyume cha sheria wanaofanyia raia huwa unazungumzwa kwa bashasha sana mitaani na kwenye vyombo vya habari.
kweli kabisaa
 
dah dah kama hawana wazazi hapo mama anategemea auze watoto wake wapate kula
 
Hakuna anayelazimishwa kuwa mwanjeshi nchi hii wote wanaokuwa wanajeshi walipenda na waliomba kufanya hiyo kazi kwa hiyari zao.
umenena vyema kabisa
 
Hawa mbavu mbili tatu na plain begani wengi ni wavuta bange na walevi
 
Nadhani Makosa yanayofanyika ni kule Serikali kuwaruhusu kujenga na kuishi pamoja na raia kitaa! Walipaswa watengewe maeneo yao ya kujenga na kuishi.
Ingawa kusema ukweli siyo wote,wapo wanajeshi wazuri tena wacha Mungu hawana ujinga kama huo.
Mimi nafikiri Serikali ingekuwa inawapeleka Syria,Yemen,Afghanstan,Iraq,Ukraine,Nigeria,Somalia kwenye vita ili wakamalizie hasira zao huko.
 
Mnaishi kizembe sana huko...yani mmeshindwa kuji organize wanakijiji kushughulikia wapumbavu hao kwa kuwapa kichapo heavy cha kiraia tu? Huo unyama mnauvumiliaje wazee??
 
WeWe ni mpumbavu
 
Ndugu zangu mtu kuwa JWTZ haina maana kwamba yupo juu ya sheria. Walichokifanya wale wanajeshi waliokuwepo pale mbele ya car wash karibu na geti la VTC ni kitendo cha kanyama na cha kipuuzi sana . Najua tukifuatilia kwa pamoja tutawajua. Ili kukomesha tabia hii mbaya na ya kishenzi kabisa. Unaombwa msaada na mtu badala ya kumsaidia unampiga KISA wewe mwanajeshi?
Haya mambo mwamunyange aliyakomesha naona yanarudi tena.
Tuyakatae.
Tukio lilitokea Jumatatu ya tarehe 3. Jan. 2022
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…