digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Sio kwamba wewe ndo huna akili hata robo,angalia niliyemkwote na baadae na wewe ukaingilia bila kufahamu Nani alikuwa anajibiwa.Wewe mimi ninachotaka kukwambia na ambacho waliokuzunguka wanaona aibu kukwambia ni kwamba “wewe akili huna”.
Watu hapa wanasikitika mtu/binadamu kama wewe amekufa tena kifo ambacho hakuna aliyetarajia kutokea ktk mazingira hayo lakini wewe unathubutu kuingiza ujinga wa siasa zisizokuwa na kichwa wala miguu upo sawa wewe???
Huu msamiati "wakeup call" hapa Tanzania labda unatumika kwenye Uchaguzi tu..Hii inabidi iwe wakeup call kwa mamlaka husika
Duuh maskiniMtu mmoja amefariki dunia akiwa kwenye harakati za kugombea daladala alasiri hii ya leo.
Tayari polisi wamefika na jitihada zinafanyika za kuuupeleka mwili wa marehemu Mwananyamala Hospitali kwa uhifadhi na uchunguzi zaidi.
Marehemu hakuwa na kitu chochote cha kumtambulisha
Nilishaliona hilo kitambo wewe ungekuwa timamu ilikuwa uache kumjibu ili uheshimu situation tuko nayo hapa kwenye mjadala badala yake umejibu ujinga na unazidi kudhihirisha ujinga wa kuweka mapicha ya siasa.Sio kwamba wewe ndo huna akili hata robo,angalia niliyemkwote na baadae na wewe ukaingilia bila kufahamu Nani alikuwa anajibiwa.
Waambie ndugu zako wakupe uangalizi wa Hali ya juu,muda si mrefu utaokota makopo
View attachment 2079621
Umeambiwa marehemu hajatambulika kwa sababu kafa eneo la tukio bila hata kusema majina yakeAlikua na umri gani kimakisio ni ME au KE?
HuzuniNpoo hapa namshuudia akipakizwa kwenye defender
Tanzania masikini wamefurika kila mahali, licha ya utajiri uliopo Tanzania nzimaIyltakuwa ni hukohuko tu.. wanapoishi wanyonge wa ccm
nakumbuka kuna jamaa flani muimbaji wa msondo nae alifia kwenye siti ya mbele ya daladala mwenge stend paleTujifunze kitu hakuna mtu mwenye warranty na maisha haya popote kamba inakata,huyu marehemu alikuwa na mipango yake kichwani kama sisi,alikuwa anaiwazia familia yake na kuipenda kama sisi na anae mke au mzazi angetamani aendelee kuwepo but wakati umefika ameitika.
Apumzike kwa amani jamaa,inasikitisha sana.
Sote ni wa Mungu na sote tutarejea kwake.Mtu mmoja amefariki dunia akiwa kwenye harakati za kugombea daladala alasiri hii ya leo.
Tayari polisi wamefika na jitihada zinafanyika za kuuupeleka mwili wa marehemu Mwananyamala Hospitali kwa uhifadhi na uchunguzi zaidi.
Marehemu hakuwa na kitu chochote cha kumtambulisha
Jembe linahamasisha ufisadi.CCM kuna laana inawatafuna😁😁😁
Ilikuwa pale Temeke hospital mkuu enzi za vi-hiace jina lake akiitwa John Maina,asubuhi ya saa tatu ilijulikana amefariki baada ya aliyekuwa amekaa pembeni yake kutaka kushuka na kumuomba ampishe akawa ha-respond kumbe alishaondoka muda.nakumbuka kuna jamaa flani muimbaji wa msondo nae alifia kwenye siti ya mbele ya daladala mwenge stend pale
Dadeki. Library never lieJembe linahamasisha ufisadi.CCM kuna laana inawatafuna😁😁😁View attachment 2079666
Uhai wa mwanadamu Ni fumbo.Apumzike kwa Aman aseee so Sad!. Hapo kavuka barabara vizuri asigongwe halafu anafia mlangoni😔
Uhai wa mwanadamu ni fumbo, kikubwa tuupokee ukweli wa kwamba muda wowote unaweza kuondoka bila kujalisha U wapi na unafanya nini.
kamilisha habari.Mtu mmoja amefariki dunia akiwa kwenye harakati za kugombea daladala alasiri hii ya leo.
Tayari polisi wamefika na jitihada zinafanyika za kuuupeleka mwili wa marehemu Mwananyamala Hospitali kwa uhifadhi na uchunguzi zaidi.
Marehemu hakuwa na kitu chochote cha kumtambulisha
Mimi huwa nawaza wagonjwa. Kuna watu wanatembea na donda kubwa labda la cancer ya titi ila kwakuwa kavaa nguo halionekani.kamilisha habari.
Hii tabia ya kugombania magari na siti za kukaa kwenye daladala au costa inapoingia stendi au popote ni tabia mbovu sana.
kuna siku tulikuwa pahala tunasubiri gari aise!!!! ilipoingia watu wanakimbizana kwa nguvu zote na kugombania waingie huku gari ikiwa bado ipo kwenye mwendo, afu ni kundi kubwa la watu.
nilikaa pembeni nikatafakari na kujiuliza sana maswali mengi. Yani hata itokee sasahivi niko stendi, siwezagi gombania magari, heri ukeshe kuliko kuumizwa vibaya au kufa kabisa.
Hivi mnapogombania gari likiwa kwenye mwendo ikatokea mtu kaanguka tairi ikampitia kichwani na ukute ni wewe itakuaje?
Hivi hatakama gari imesimama, ninyi mnaigombania, ukianguka ukakanyagwa na kundi la watu wote hao na ukute ni wewe itakuaje?
wakati mnakimbizana kupanda gari watu hutumia nguvu sana, mtu anakimbia huku anarusha mikono, ukapigwa ngumi ya uso na ukute ni wewe itakuaje?
haya mambo heri uwe mstaarabu kuepusha majanga. Kaa pembeni kabisa wanaogombania wasije wakakupamia, wasio waelewa waache wagombanie siku la kuwakuta likiwakuta ndo akili itawakaa sawa.
Mkuu kuwa mpinzani nchi hii Ni kupoteza muda,viongozi wa upinzani hawaelewiki,maana ni wabinafsi na wenye uchu wa madaraka.Jembe linahamasisha ufisadi.CCM kuna laana inawatafuna[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2079666