Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Atakuwa yule MATAGA mwenye id CM...manambanamba mpaka asubuhi.Huwa anaandika kusifia huku amepiga magoti nadhani!Halafu baadae utaona uzi wa MATAGA ukisema:"Samia aipaisha Tanzania katika maendeleo ya uchumi wa kati"πππ
Siwezi kwenda kwenye chama ambacho kimetoa Rais wa nchi anaehamasisha ufisadi.Nitakuwa nina laanaπππMkuu kuwa mpinzani nchi hii Ni kupoteza muda,viongozi wa upinzani hawaelewiki,maana ni wabinafsi na wenye uchu wa madaraka.
Shituka mkuu !! Karibu CCM , nitafute PM nikupe kadi ya chama.View attachment 2079693
Si wanasema amekwisha kufa sasa kwenye difenda kwa kosa gani?Npoo hapa namshuudia akipakizwa kwenye defender
Mkuu we huioni hii laana ya ccm kwa hii nchi..60 years tunajengewa vyoo kwa hisani..barabara za vumbi..elimu duni..tatizo la ajira..ufisadi na mafisadi yapo bungeni na serikalini yanachekelea tu..huduma mbovu mahospital..hakuna majinsafi na salama kwa wananchi..umeme shida..tozo kila kona..hakuna haki wala demokrasi..hakuna uhuru wa mihimili..kila taasisi imekua ccmlization..umasikini unaongezeka..wakulima hawana uhakika na soko.Uyu jamaa sijui CCM imemfanyia Nini [emoji2]
Dah, maisha ya Dar hatari sana.Mtu mmoja amefariki dunia akiwa kwenye harakati za kugombea daladala alasiri hii ya leo.
Tayari polisi wamefika na jitihada zinafanyika za kuuupeleka mwili wa marehemu Mwananyamala Hospitali kwa uhifadhi na uchunguzi zaidi.
Marehemu hakuwa na kitu chochote cha kumtambulisha
Mkataba wa serikal na mwendokas ambao wanalipia gharama za kutumie barabara ya mwendo kas na vituo vyake kwa siku ambayo ni kama 9m hiv...mkataba ulitaka daladala zipunguzwe ili mrad ufanye kazJinsia?makadirio ya umri?
Hivi tatizo mabasi huwa hayatoshi au nini? Kwanini wasitoe leseni nyingi watu wamwage mabasi?
Tuliambiwa Mwendokasi ikikamilika shida ya usafiri Dar itakuwa historia,kasubiri sasa hio mwendokasi uone utakaa muda gani kuisubiri tu hio basi yenyewe
Daah! Umeandika kwa uchungu sana.CCM ndio chanzo cha yote haya. Haiwezekani miaka 60 ya uhuru katika jiji kama Dar watu wanaishi kama barbarians kwa kugombania usafiri.
Very primitive.
Hee! Joto? Aisee kumbe mikoani raha sana!Na joto hili ni rahisi kupata Heart attack
Kwahyo unataka kusema nin rais ndo kasababisha kifoo mfyuuuuHalafu baadae utaona uzi wa MATAGA ukisema:"Samia aipaisha Tanzania katika maendeleo ya uchumi wa kati"[emoji16][emoji16][emoji16]
Yule mpuuzi anakera sana.Halafu baadae utaona uzi wa MATAGA ukisema:"Samia aipaisha Tanzania katika maendeleo ya uchumi wa kati"[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa mara ya kwanza tokea nizaliwe nimemuona Rais wa nchi akihamasisha ufisadi kwa serikali yake katika TV ya TaifaπππKwahyo unataka kusema nin rais ndo kasababisha kifoo mfyuuuu
Kwa mara ya kwanza tokea nizaliwe nimemuona Rais wa nchi akihamasisha ufisadi kwa serikali yake katika TV ya Taifa!πππAtakuwa yule MATAGA mwenye id CM...manambanamba mpaka asubuhi.Huwa anaandika kusifia huku amepiga magoti nadhani!
Kweli kabisa.Halafu baadae utaona uzi wa MATAGA ukisema:"Samia aipaisha Tanzania katika maendeleo ya uchumi wa kati"πππ