So sad, Mungu atupe mwisho mwemaTujifunze kitu hakuna mtu mwenye warranty na maisha haya popote kamba inakata,huyu marehemu alikuwa na mipango yake kichwani kama sisi,alikuwa anaiwazia familia yake na kuipenda kama sisi na anae mke au mzazi angetamani aendelee kuwepo but wakati umefika ameitika.
Apumzike kwa amani jamaa,inasikitisha sana.
Mtu mmoja amefariki dunia akiwa kwenye harakati za kugombea daladala alasiri hii ya leo.
Tayari polisi wamefika na jitihada zinafanyika za kuuupeleka mwili wa marehemu Mwananyamala Hospitali kwa uhifadhi na uchunguzi zaidi.
Marehemu hakuwa na kitu chochote cha kumtambulisha
Wakati huohuo mbowe naye anaendelea kupigiliwa na manyapala Kule gerezani na kibatala anawinda mkewe Kule home kwakeHalafu baadae utaona uzi wa MATAGA ukisema:"Samia aipaisha Tanzania katika maendeleo ya uchumi wa kati"😁😁😁
Hapo ndipo walipotengeneza tatizo lingineMkataba wa serikal na mwendokas ambao wanalipia gharama za kutumie barabara ya mwendo kas na vituo vyake kwa siku ambayo ni kama 9m hiv...mkataba ulitaka daladala zipunguzwe ili mrad ufanye kaz
Kwa mara ya kwanza tokea nizaliwe nimemuona Rais wa nchi akihamasisha ufisadi kwa serikali yake katika TV ya Taifa😁😁😁Wakati huohuo mbowe naye anaendelea kupigiliwa na manyapala Kule gerezani na kibatala anawinda mkewe Kule home kwake
nakumbuka kuna jamaa flani muimbaji wa msondo nae alifia kwenye siti ya mbele ya daladala mwenge stend paleAaliyah aaliyah
Mama ana kijungu kinachotaka kupwaga, kijungu kinapwaga sasaKwa mara ya kwanza tokea nizaliwe nimemuona Rais wa nchi akihamasisha ufisadi kwa serikali yake katika TV ya Taifa😁😁😁
Anawaambia mawaziri wake kuwa wajipimie😁View attachment 2079834
kamilisha habari.
Hii tabia ya kugombania magari na siti za kukaa kwenye daladala au costa inapoingia stendi au popote ni tabia mbovu sana.
kuna siku tulikuwa pahala tunasubiri gari aise!!!! ilipoingia watu wanakimbizana kwa nguvu zote na kugombania waingie huku gari ikiwa bado ipo kwenye mwendo, afu ni kundi kubwa la watu.
nilikaa pembeni nikatafakari na kujiuliza sana maswali mengi. Yani hata itokee sasahivi niko stendi, siwezagi gombania magari, heri ukeshe kuliko kuumizwa vibaya au kufa kabisa.
Hivi mnapogombania gari likiwa kwenye mwendo ikatokea mtu kaanguka tairi ikampitia kichwani na ukute ni wewe itakuaje?
Hivi hatakama gari imesimama, ninyi mnaigombania, ukianguka ukakanyagwa na kundi la watu wote hao na ukute ni wewe itakuaje?
wakati mnakimbizana kupanda gari watu hutumia nguvu sana, mtu anakimbia huku anarusha mikono, ukapigwa ngumi ya uso na ukute ni wewe itakuaje?
haya mambo heri uwe mstaarabu kuepusha majanga. Kaa pembeni kabisa wanaogombania wasije wakakupamia, wasio waelewa waache wagombanie siku la kuwakuta likiwakuta ndo akili itawakaa sawa.
Ujue serikali yetu inapwaya.!Sielewi ni kivipi uchumi unatakiwa kutuokoa na kufa.
Baadaye kidogo tutaambiwa tuilaumu serikali kwakua we are not immortals.
Hatuna taarifa kamili hapa. Taarifa ni mtu kafa ila hatujui chanzo, hatuna historia ya mhanga, hatujui tukio lilianzia wapi ila ni rahisi kuilaumu serikali au siyo?
Siku hizi ukitaka likes iponde serikali kwa nguvu zote. Ukali wa maandiko utadetermine idadi ya likes.
Halafu Eti Kuna watu kitoka Mataifa mengine wanakuja kujifunza Ubora wa DART!Jinsia?makadirio ya umri?
Hivi tatizo mabasi huwa hayatoshi au nini? Kwanini wasitoe leseni nyingi watu wamwage mabasi?
Tuliambiwa Mwendokasi ikikamilika shida ya usafiri Dar itakuwa historia,kasubiri sasa hio mwendokasi uone utakaa muda gani kuisubiri tu hio basi yenyewe
Njaa ni hatari sana , uchunguzi wangu umebaini kwamba zaidi ya 75% ya wakazi wa DSM hawana uhakika hata wa mlo mmoja .Mtu mmoja amefariki dunia akiwa kwenye harakati za kugombea daladala alasiri hii ya leo.
Tayari polisi wamefika na jitihada zinafanyika za kuuupeleka mwili wa marehemu Mwananyamala Hospitali kwa uhifadhi na uchunguzi zaidi.
Marehemu hakuwa na kitu chochote cha kumtambulisha
Waya mkali, serikali ya ccm kwa zaidi ya miongo 6 imeshindwa kuzifanya rasimali tulizonazo ziwe na manufaa kwa raiaNjaa ni hatari sana , uchunguzi wangu umebaini kwamba zaidi ya 75% ya wakazi wa DSM hawana uhakika hata wa mlo mmoja .
Hapana za MasakiNi gari za wapi mbagala au G/mboto
Uchawa kila sehemu ni ujinga
Afu kumbe wapumbavu kama wewe bado mpoMbowe au lissu ? Kwani hapa tunaongelea habari za wafu? Nyie wafuasi wa sukuma gang sijui chagga gang hamtapumua katika utawala huu.
Ulitaka niwe chawa wa wewe?Uchawa kila sehemu ni ujinga
Ndio njoo uwe chawa wangu nikutume untongozee mademu wakaliUlitaka niwe chawa wa wewe?
[emoji1787][emoji1787]Ndio njoo uwe chawa wangu nikutume untongozee mademu wakali