Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo na ndio chakula pendwa cha viongozi ila ni kmya kimya🐖ivi inamaana Afghanistan yote hakuna ngurue hata mmoja ?
Ufuge Nguruwe tena. Utampitisha wapi?🐖ivi inamaana Afghanistan yote hakuna ngurue hata mmoja ?
Hili ni la kwenu hamuwezi kulikwepa labda uislamu haukutokea middle east ntakuelewa ilaHao talibani kuna mambo wanafanya ambayo sio katika sheria za kiislamu kabisa au kinyume na uislamu,kama mtu anauona uislamu kupitia talibani hakika hatapata uislamu sahihi,hao asilimia kubwa mambo yao kama wanaharakati
Uislamu haujakataza wanawake kuongea na wanawake wenzao na wala si sunna ya Mtume wala maagizo ya Allah. Wake za Mtume tu walikuwa wanaongea na wanaume nyuma ya pazia katika kuwaelekeza mambo fulani fulani ya dini,kama hiyo haikuruhusiwa je ilikuwaje wakeze wakafanya hivyo?
Kuhusu wanaume kunyoa nywele au ndefu wanaruhusiwa sana,ila si katika uislamu sijui kunyoa kiduku na stahili za ajabu ajabu,kama unaondoa nywele zote basi ondoa na kama unanyoa kawaida basi nyoa kwa heshima
Kuhusu kunyoa ndevu hiyo ni sunna sio lazima kwa wanaume kufuga ndevu,ingawa ni bora kufuata sunna ya Mtume,binafsi nanyoa ndefu,sio agizo la lazima la dini
Kuhusu wanawake kwenda saluni,wanawake wanatakiwa kujipamba kwa ajili ya waume zao,wapendeze na wanoge,ila naona kuna namna labda hizo saluni zimeonekana ni sehemu ambazo kuna ajenda nyingine zinafanyika
Kuhusu wanawake kuongea kwenye redio au television,kwa mfano katika tv yapaswa mwanamke ajistiri anapokuwa hewani na si kuwa uchi kwa mujibu wa uislamu,kuhusu kuongea kwenye redio,hiyo hata huku Tanzania kuna redio moja Redio imani nayo kipindi fulani fulani walikataza lakini wakapewa hoja mbona wake za Mtume Muhammad (s.a.w) walikuwa wanaongea na wanaume nyuma ya pazia,kwahiyo hapo hoja nzito ilipatikana
Kwahiyo si kila linalo fanywa na hivi vikundi vyenye misimamo mikali ni uislamu bali mengine ni taratibu zao binafsi
Asante
Wajibu wetu ni kueleza ukweli tu,sasa kuamini na kutoamini ni juu ya mtu binafsiHili ni la kwenu hamuwezi kulikwepa labda uislamu haukutokea middle east ntakuelewa ila
Uislamu matopeni
Ukweli upi ukiwa wewe ni mmoja ya waanzilishi wa hiyo dini hapo middle east au ukiwa ikwiriri ukisoma mapokeo yaliyotoka middle east afganistan ikiwepo? 😄Wajibu wetu ni kueleza ukweli tu,sasa kuamini na kutoamini ni juu ya mtu binafsi
Asante
Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.
Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.
Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.
View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19
Itapunguza sana umbea na masengenyo huko uswahilini! Hayo mambo ni hatari kwa ustawi wa jamii; wameona mbali sana hao jamaa.safi sanaa mazee dah...iletwe apa bongo tzzz
Umeshavunja ungo uko kwa familia yako unasubiri nini? Olewa haraka upate wa kuongea naye! Else, shut up your mouth.hawa vichaa tu eti sheria za kiislam inamaana hizo sheria wanazijua wao tu ulimwenguni..eti mwanamke hana ruksa kuongea na mwanamke mwenzie il mumewe tu hawajiulizi kabla ya kuolewa si yupo kwa familia yake mama,bibi,Shangazi,dada zake wote hao marufuku kuongea nao.! sema hawa wajinga matamanio ya nafsi zao ndio wanafanya sheria za dini wakati ndani ya uislam wenyewe hamna hizo sheria kwahiyo wanaume hawana sheria
Dini imemweka mwanamke katika daraja ya juu iliyo bora kabisa. Hapana dini nyingine popote duniani yenye viwango hivi vya ubora kwa mwanamke. Tatizo mnatazama kwa mtazamo hasi!Hawa wenzetu wanashida Gani na wanawake?? Maana Kila kukicha wanatunga Sheria za kumkandamiza mwanamke, je wanawake waliwakosea Nini?? Aisee hii dini haifai hata kidogo.
Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.
Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.
Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.
View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19