Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaaWapige umbea mitandaoni kabla nayo haijafungwa
Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.
Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.
Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.
View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19
Alafu wanakwambia ndiyo maagizo ya mtume na allah. Umu bibi kizee umuoni kamweeee kuchangiaUislamu mgumu aisee
Hapana, Taliban ndio wanaofuata mafundisho ya Dini ya Kiislamu kwa ufasaha.Hao Taleban lazima wanatumia bangi na aina nyingine ya madawa ya kulevya.Si bure.
Ina maana maadui wa dini ya kiislamu kwa wataleban ni wanawake tu?Maana kila kukicha wao na wanawake tu.Hapana, Taliban ndio wanaofuata mafundisho ya Dini ya Kiislamu kwa ufasaha.
Uisilamu Orijino Mwanamke ni Object ya Starehe kupika kupakua kuzaa kujifungia ndani.Ina maana maadui wa dini ya kiislamu kwa wataleban ni wanawake tu?Maana kila kukicha wao na wanawake tu.
Matamanio ya KULA huzuiwa kwa kuwapiga na kuwafunga jela wanaokutwa wanakula wakati huo.That is insane!😂😂😂Uisilamu Orijino Mwanamke ni Object ya Starehe kupika kupakua kuzaa kujifungia ndani.
Wanadai akitoka Nje bila Hijabu Wanaume watashikwa na Nyege na kumbaka.
Dini nyingine zinahubiri Waumini wayashinde MATAMANIO katika NAFSI sio hivyo katika Uisilamu katika Uisilamu MATAMANIO yanazuiwa na Kitambaa "Hijabu".
Ndio maana hata Mwezi wa Ramazani MATAMANIO ya KULA mchana yanazuiwa sio kwa NIA bali kwa KUFUNGA MILANGO ya MIGAHAWA😆
Matamanio yanatakiwa yazuiwe kwenye NAFSI.
View attachment 3136439
Kwakweli ni Ujinga mtupu.Matamanio ya KULA huzuiwa kwa kuwapiga na kuwafunga jela wanaokutwa wanakula wakati huo.That is insane!😂😂😂
Hawatumii chochote bali ndio waislam wa kweli wanafuata kila nukta ya uislamu na uislamu unatakiwa kuwa hivyoHao Taleban lazima wanatumia bangi na aina nyingine ya madawa ya kulevya.Si bure.
Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.
Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.
Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.
View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19
Waislam wanakuambia kula kiti moto siyo dhambi ukila umejificha. Ni dhambi ukila hadharani.Wapo na ndio chakula pendwa cha viongozi ila ni kmya kimya
Sasa,hao wanawake huwa hawafundishwi hayo mafundisho huko madrasa?Kwa nini hawataki kuyafuata?Basi wamegundua kuna shida mahali.Hawatumii chochote bali ndio waislam wa kweli wanafuata kila nukta ya uislamu na uislamu unatakiwa kuwa hivyo
Uislamu umewafanya waislam kuwa minafiki. Yani Allah na MudiSasa,hao wanawake huwa hawafundishwi hayo mafundisho huko madrasa?Kwa nini hawataki kuyafuata?Basi wamegundua kuna shida mahali.
Mungu hapendi UtumwaIslam did it...............tena they want a Sharia............hivi miaka ile kibongo bongo pia si nilisikia mlikuwq mnaitaka Sharia?? Bado mnaitaka tuwape??........na Sharia kwa ulaya hata iweje haiwezi kutokea ..............
Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.
Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.
Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.
View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19
Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.
Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.
Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.
View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19