Afghanistan: Talibani imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Marufuku mwanamke kuongea na mwanamke mwenzie

Afghanistan: Talibani imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Marufuku mwanamke kuongea na mwanamke mwenzie

Kuna wizara walai bilai watalai ni noma wizara ya tabia njema ina maana wakiwa bungeni " Mheshimiwa kundecha wa wizara ya tabia njema una la kuongezea hapo🤣🤣🤣
 
Dini imemweka mwanamke katika daraja ya juu iliyo bora kabisa. Hapana dini nyingine popote duniani yenye viwango hivi vya ubora kwa mwanamke. Tatizo mnatazama kwa mtazamo hasi!
Wewe na hiyo avart yako hamna tofauti kabisa.
 
oardefault.jpg

Hii ni Popacabana Beach 🇧🇷 ingekuwa ni Nchi ya Kiislamu hawa Wanawake Wangebakwa kwasababu hawajavaa Hijabu za kuogelea.
 
hawa vichaa tu eti sheria za kiislam inamaana hizo sheria wanazijua wao tu ulimwenguni..eti mwanamke hana ruksa kuongea na mwanamke mwenzie il mumewe tu hawajiulizi kabla ya kuolewa si yupo kwa familia yake mama,bibi,Shangazi,dada zake wote hao marufuku kuongea nao.! sema hawa wajinga matamanio ya nafsi zao ndio wanafanya sheria za dini wakati ndani ya uislam wenyewe hamna hizo sheria kwahiyo wanaume hawana sheria
Tulia mwanamke wakiislam mbona povu
 
Unachoshindwa kuelewa ni kila nchi ina sheria zake, misimamo yake na maono yake, ukilijua hilo wala hutopata shida kikubwa ni kuheshimiana
Iran wakati wa Shah Reza Palhavi ilikuwa ni Secular, aliyelleta Serikali ya Kidini ni Ayatolah.

Sio swala la uamuzi wa Mwananchi Binafsi bali ni kulazimishwa na Serikali hiyo ya Ayatolah bin Shetani.
 
Ila kobazi majinga kweli sasa kama hajaolewa hatakuwa anaongea na nani?? Si mdomo utanuka sana..........kumfanya mtu asiongee kama yuko jera.....wakati yuko huru.............hapa bora marekani asingeondoka ...........bora angebaki awe anawabandua tu hawa mahustazati wa kiafghani
 
Back
Top Bottom