Afghanistan: Talibani imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Marufuku mwanamke kuongea na mwanamke mwenzie

Raia wa Afghanistan wanachomwa moto kabla hawajafika jehanamu kwa shetani chini ya utawala wa Taliban.
 
Mashallah, huku ilitakiwa tumpeleke FaizaFoxy 😌
Faiza huyu huyu tunaepiga nae story humu? Kuna uzi humu (I think it was JK' s time aliombaga hadi tumtongoze)

Anyway; kuna vitu Waislamu you need to change, tumieni elimu yenu kuwatoa hapo mlipo; kwamba Talebani walipigana over 20 years ilikuja kufanya haya? Stupid, yaani kunyoa nywele na ndevu, wanawake kuwasiliana ndio tatizo la jamii ya watu wa Afghanistan? Interesting. Sawa sawa tu na Waislamu wa bongo, wakipewa nafasi ya kwenda kutoa mawazo yao serikalini, wataomba vitu vya kipuuzi sana, halafu Wakristo waki present hoja zao za maana, same Waislamu wanalalamika tena. Enzi za Mkapa, aliwaitaga but guess what they demanded? Wanafunzi na wafanyakazi wa kike wa Kiislam waruhusiwe kuvaa HIJABU mashuleni na makazini, stupid kabisa. Same wanawake hawa hawa, wakitoka kazini, wanavaa kama wanawake wengine, tukiwaita waje guest house kufanya nao matusi, wanavaa hijabu tena ili wasijulikane? Pumbafu.
Haya, kwenye issues za katiba mpya, wameitwa tena, this time nilishangaa sana, mwana sheria kabisa wa Bakwata, yaani msomi kabisaa yaani; takwa la Waislamu alilolipeleka kama ombi na likae kwenye katiba ni " Waruhusiwe kuoa msichana soon atakapo VUNJA ungo" Interesting, yaani changamoto yao ni hiyo kuruhusiwa kuoa vitoto vya miaka 13-14, watoto hao hao wasiposoma, wanalaumu tena "mfumo Kristo"
Kuna tatizo somewhere na hi dini
 
Ila kobazi hapana kwa kweli. Haaaah
 
Nadhan nimeshajibu tayar
 
Islam did it...............tena they want a Sharia............hivi miaka ile kibongo bongo pia si nilisikia mlikuwq mnaitaka Sharia?? Bado mnaitaka tuwape??........na Sharia kwa ulaya hata iweje haiwezi kutokea ..............
Huku ulaya nani atake upumbavu huo?
 
Mkuu sioni tofauti kati ya Taleban na matendo ya mtume Mohammed
 
Amri Kumi za Torati alizokabidhiwa Nabii Musa zote alizivunja, hapo unategemea matokeo gani ?
Yaani Mungu amtume Nabii wake ili azivunje Amri zake.
Inaingiaje akilini.
Matokeo yake ndio hayo, mimi wala sishangai mambo ya Taleban.
Na Bado mtasikia mengine ya ajabu zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…