Afghanistan: Talibani imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Marufuku mwanamke kuongea na mwanamke mwenzie

Nikiwa kama redpilled guy najua watalebani wanachokifanya na nnawaunga mkono kabisa.
 
duh kwahiyo hata sokoni aisee.........haya watu na dini zao
 
Mnapata tabu sana kutafuta cha kuuchafua Uislamu

Viongozi wenu wa dini kila siku wanahalalisha mpigane miti wenyewe kwa wenyewe na nyie bado mnakosa haya na kuendelea kudanganya watu kwa propaganda za kutunga dhidi ya Uislamu!

(Quran 2:18) صُمُّۢ بُكۡمٌ عُمۡيٞ فَهُمۡ لَا يَرۡجِعُونَ
Deaf, dumb and blind – so they will not return [to the right path].
 
Ili uwe mwisalmu kamili inatakiwa uwehuke kwanza...

Haiingii akili eti mwanaume usinyoe ndevu ...si uchafu huo
Umeshahau, wamesema na nywele za kichwa pia zisinyolewe. Tusije shangaa siku kichaa cha dini kikipanda tena wakaagiza na nywele za Ikulu nazo zisinyolewe! Watakuwa wakifanya ukaguzi wa kushitukiza. Ole wako ukutwe na msitu eneo la Ikulu!

Ee Mungu tunaomba uiponye Afghanistan na ukatili wa hawa Majahili wa Taliban.
 
M
Mimi ni mkatoliki ila nimekuelewa umeitetea dini kwa staha na heshima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…