Hili Lina ukweli? Au ni uhafidhina wa kidini tu ?Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.
naona ni vema kuishi sehem wanako practice dini ya Allah kwa ukamilifu kuliko kutangamana na makafiriWaislam hawtuchaguwi pa kuishi, kama vile ambavyo tuzaliwe na nani na tufe wapi.
Unajuwa maaana ya kudra?
Ahahahahh 🤣 🤣 🤣Hakuna watu hapo.🤔
Hata ukitumia akili ya mtoto mdogo tena mwenye utapiamlo huwezi kuwa mfuasi wa mudi.Mudi aliwapoteza sana hawa watu
Mudi apigwe mawe kabisa
Hilo ni tatizo lako na sio letuMkuu sioni tofauti kati ya Taleban na matendo ya mtume Mohammed
Dini Ya Kiislam popote tu, haina mipaka.naona ni vema kuishi sehem wanako practice dini ya Allah kwa ukamilifu kuliko kutangamana na makafiri
duh kwahiyo hata sokoni aisee.........haya watu na dini zaoSerikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.
Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.
Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.
View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19
Sijawahi kusikia labda wajuzi zaidi waje wanisaidieHili Lina ukweli? Au ni uhafidhina wa kidini tu ?
inamankusweke adriz FaizaFoxy mgen Bwana Utam Adiosamigo Hammaz Baljurashi
Mnapata tabu sana kutafuta cha kuuchafua UislamuSerikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.
Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.
Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.
View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 vipi msimamo wa Taleban tukiu apply hapa nyumbani?Dini Ya Kiislam popote tu, haina mipaka.
Uislam mbona upo Tanzania kwa miaka mingi sana hata kabla ya ukristo kuja na wakoloni?Hahahaha 🤣 🤣 🤣 vipi msimamo wa Taleban tukiu apply hapa nyumbani?
Kobazi hapana hawafai hata nusuWamweogwa
Ngoja waje utakoma
Umeshahau, wamesema na nywele za kichwa pia zisinyolewe. Tusije shangaa siku kichaa cha dini kikipanda tena wakaagiza na nywele za Ikulu nazo zisinyolewe! Watakuwa wakifanya ukaguzi wa kushitukiza. Ole wako ukutwe na msitu eneo la Ikulu!Ili uwe mwisalmu kamili inatakiwa uwehuke kwanza...
Haiingii akili eti mwanaume usinyoe ndevu ...si uchafu huo
Mimi ni mkatoliki ila nimekuelewa umeitetea dini kwa staha na heshima.Hao talibani kuna mambo wanafanya ambayo sio katika sheria za kiislamu kabisa au kinyume na uislamu,kama mtu anauona uislamu kupitia talibani hakika hatapata uislamu sahihi,hao asilimia kubwa mambo yao kama wanaharakati
Uislamu haujakataza wanawake kuongea na wanawake wenzao na wala si sunna ya Mtume wala maagizo ya Allah. Wake za Mtume tu walikuwa wanaongea na wanaume nyuma ya pazia katika kuwaelekeza mambo fulani fulani ya dini,kama hiyo haikuruhusiwa je ilikuwaje wakeze wakafanya hivyo?
Kuhusu wanaume kunyoa nywele au ndefu wanaruhusiwa sana,ila si katika uislamu sijui kunyoa kiduku na stahili za ajabu ajabu,kama unaondoa nywele zote basi ondoa na kama unanyoa kawaida basi nyoa kwa heshima
Kuhusu kufuga ndevu hiyo ni sunna sio lazima kwa wanaume kufuga ndevu,ingawa ni bora kufuata sunna ya Mtume,binafsi nanyoa ndefu,sio agizo la lazima la dini
Kuhusu wanawake kwenda saluni,wanawake wanatakiwa kujipamba kwa ajili ya waume zao,wapendeze na wanoge,ila naona kuna namna labda hizo saluni zimeonekana ni sehemu ambazo kuna ajenda nyingine zinafanyika
Kuhusu wanawake kuongea kwenye redio au television,kwa mfano katika tv yapaswa mwanamke ajistiri anapokuwa hewani na si kuwa uchi kwa mujibu wa uislamu,kuhusu kuongea kwenye redio,hiyo hata huku Tanzania kuna redio moja Redio imani nayo kipindi fulani fulani walikataza lakini wakapewa hoja mbona wake za Mtume Muhammad (s.a.w) walikuwa wanaongea na wanaume nyuma ya pazia,kwahiyo hapo hoja nzito ilipatikana
Kwahiyo si kila linalo fanywa na hivi vikundi vyenye misimamo mikali ni uislamu bali mengine ni taratibu zao binafsi
Asante
Kwani hayo makatazo yao yapo kweli kwenye Quran? Au wanajiongezea wenyewe na kusingizia dini?Uislam mbona upo Tanzania kwa miaka mingi sana hata kabla ya ukristo kuja na wakoloni?
Makatazo yepi unaongelea?Kwani hayo makatazo yao yapo kweli kwenye Quran? Au wanajiongezea wenyewe na kusingizia dini?
KobasiKina nani?
Una mainisha wale jamaa wenye alama nyeusi kwenye paji la uso?Kobasi