MR TOXIC
Senior Member
- Jun 4, 2019
- 190
- 525
Sitaki kutia neno, Jionee mwenyewe na uchukue hatua.
UPDATE: 06 August, 2021
Waziri wa OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu OR-TAMISEMI kumsimamisha kazi Mwalimu Omary Abdallahemed Kwesiga ambaye ni Mkuu wa Idara ya Elimu ya Msingi Halmashauri ya Jiji la Arusha.
Aidha ameagizaScolastica L. Kanje Afisa Muuguzi Msaidizi apelekwe Baraza la Wauguzi na Wakunga kwa hatua zaidi.
Zaidi soma > #COVID19 - Arusha: Watumishi waliofanya igizo kwenye chanjo ya Corona wasimamishwa kazi
UPDATE: 06 August, 2021
Waziri wa OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu OR-TAMISEMI kumsimamisha kazi Mwalimu Omary Abdallahemed Kwesiga ambaye ni Mkuu wa Idara ya Elimu ya Msingi Halmashauri ya Jiji la Arusha.
Aidha ameagizaScolastica L. Kanje Afisa Muuguzi Msaidizi apelekwe Baraza la Wauguzi na Wakunga kwa hatua zaidi.
Zaidi soma > #COVID19 - Arusha: Watumishi waliofanya igizo kwenye chanjo ya Corona wasimamishwa kazi