#COVID19 Afisa Elimu Mkoa wa Arusha na Muuguzi waliofanya maigizo ya chanjo wasimamishwe kazi mara moja

#COVID19 Afisa Elimu Mkoa wa Arusha na Muuguzi waliofanya maigizo ya chanjo wasimamishwe kazi mara moja

Viongozi wote wanaigiza hakuna anayechanjwa kweli, sema huyu kaigiza vibaya. Hizi chanjo ni za majaribio, kama unataka kushiriki kufanya research ya chanjo nenda kachanjwe.
SSH naye aliigiza?
 
Wajinga na wanafiki wanapungua Ila wataendelea kuwepo duniani, jitambue timiza wajibu wako.
 
huu ni udhahidi kuwa, kuna watu hawachomi chanjo wanahadaa umma,
hv hapa amechoma kweli? ni nini hiki walichokua wanafanya?

wizara ya Afya huyu muuguzi anafanya nini? hii hospitali inauza vyeti vya chanjo?

View attachment 1882300
Afisa anajitambua huyo na muuguzi anajua ukweli,kuwa chanjo ipo kwenye clinical trial,kwanini amurisk kiumbe mwingine.
 
Afisa anajitambua huyo na muuguzi anajua ukweli,kuwa chanjo ipo kwenye clinical trial,kwanini amurisk kiumbe mwingine.
kwanini ililetwa sasa, Kumbe ndio maana wati wanamchukia delila
 
Kumbe viongozi ni lazima kuchanjwa ili kulinda cheo? Lol haya nayo yatapita.
 
kwanini ililetwa sasa, Kumbe ndio maana wati wanamchukia delila
Hili wanatakiwa wajibu waliolileta maana pamoja na yule daktari bingwa aliyehojiwa na TBC na kueleza wazi hakuna chanjo ya muda mfupi hivyo, madhara ya muda mrefu waliyafanya lini majaribio,wakati chanjo haijatimiza hata miaka 2?.wao wamekomaa kusema iko salama bila justifications.
 
Kwenu Wizara ya Afya na mamlaka husika,

Huu sasa umekua ujinga, tumejitahidi sana kutoa elimu ya kuhimiza chanjo ya Covid-19, binafsi mimi nimetia elimu sana
halafu anakuja mtu wanafanya upuuzi huu video inatrend, watu wanakata tamaa kabisa ya kwenda kwenye chanjo, Wizara ya afya mko wapi huyu nesi asimamishwe kazi.

Mkuu wa Mkoa pia huyu Afisa elimu hapaswi kuwa kazini mpaka muda huu, waondolewe mara moja.
wanaihujumu serikali juu ya mapambano dhidi ya Covid-19

 
Ni vizuri ukawataja majina na vyeo vyao vya kazi, hakuna sababu ya kuficha kwani tayari wanaonekana kwenye picha na ukiweza ipeleke video kwa Mkuu wa Wilaya au Mkoa.
 
Inaskitisha, wachukuliwe hatua haraka maama wanaihujumu serikali katika mapambano ya corona
 
Binafsi sijaona tatizo. Naona nesi kabla ya kuchoma aidha aliitwa au kuna kitu alifuata
 
Back
Top Bottom