Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni lugha tu zakutaka kufanikisha Nia yao ovu na kufanya biashara.Leo nimeuliza swali hilo: Nami nikaulizwa swali: Unajua kwa nini inaitwa Corona Virus Disease 19? Wakasema kirusi cha korona sio kipya kiligunduliwa zamani kwa hiyo research na trials zimekuwa zikifanyika. Ndiyo sababu kirusi hiki kimeitwa #19.
Je kuna usahihi kwenye hili?
🤣 🤣 🤣..... au wametuchanganyia damu ya kenge.....
Kwani hujaona ya Samia inayotrend amechomwa na hajashtuka!?.. hujaona ya viongozi wengine kama waziri mkuu wa Denmark, Ujerumani, Uingereza etc wanavyoigiza kuchanjwa huku sindano hazijaondolewa cover zake!?.. nasisitiza viongozi wote duniani wanaigiza kuchanjwa vaccine za COVID sababu wanajua zipo kwenye majaribio kupitia mafala wasiotumia akili. Kama unaamini siku ile viongozi wote wa kitaifa kuanzia Raisi, waziri mkuu,CDF, IGP Ndugai.. wote wanaweza kuchanjwa chanjo kwa siku moja chanjo ambayo wewe unajazishwa fomu kuwa serikali haitahusika iwapo utadhurika na unaamini walichanjwa kweli wewe ni MPUMBAVU.Nani amewarecord? Kwasababu ipi?
Alijuaje kutakuwa na udanganyifu? Nani amesambaza mitandaoni?
Any chance ikawa internet manipulation?
Kama ni kweli, huyo jamaa na nurse wake hawakutakiwa kuwepo kazini.
Why was it so specific?Sure.
Mobile phone camera inarekodi na kuweka pause record, inawezekana ndicho kilichofanyika hapo.
Hivi ukichomwa sindano ya chanjo, katundu ka mchomo hakaonekani?Hiyo imefanyiwa editing; aliyerekodi aliweka pause wakati sindano inachomwa, alivyomaliza akaplay
Wapinga chanjo mpoje?
Na jamaa angekunja sura na pua!!Huyo Muuguzi naye mshamba kweli,Yaani hata kuigiza hajui [emoji23][emoji23][emoji16]
Agizo limeshatolewa !!Inawezekana ni mpango mkakati wa serikali maana hata madame boss alifanyaga hivyo hivyo,
Pia hiyo clip haijakamilika hatuwez kujua alieisambaza kwanini kaamua kuifupisha ,
Also hao watu wakipoteza vibarua vyao wewe utajisikia burudani?
Hitimisho: usiamini sana kila kitu unachokiona mitandaoni
Kwani mkuu, hili zoezi si la hiari?wewe baki na msimamo wako huo huoHajachomwa kaigiza baada ya kuigiza kapewa pole nesi akimaanisha zoezi tayari. Tukiwaambia viongozi wote duniani hawachanjwi hizi chanjo za majaribio kuna watu wanakuwa wabishi.
Kiongozi umeshachanjwa!?Kwani mkuu, hili zoezi si la hiari?wewe baki na msimamo wako huo huo
Mimi mkulima nikifikiwa nitachoma tu!!Kiongozi umeshachanjwa!?
Usahihi ndio huo Kirusi cha Corona sio kigeni,hiki tulichonacho ni cha 2019,vipo vya miaka ya nyumaLeo nimeuliza swali hilo: Nami nikaulizwa swali: Unajua kwa nini inaitwa Corona Virus Disease 19? Wakasema kirusi cha korona sio kipya kiligunduliwa zamani kwa hiyo research na trials zimekuwa zikifanyika. Ndiyo sababu kirusi hiki kimeitwa #19.
Je kuna usahihi kwenye hili?
Ndiyo. Dawa haikuingizwa. Rudia kuangalia clip yakeSSH naye aliigiza?
Afsa Elimu ni kiongozi gani bro? Wao ni waajiriwa kama waajiriwa wengine.. Usiwaweke kwenye kundi la viongozi. Hilo ni la kwanza.Kwani hujaona ya Samia inayotrend amechomwa na hajashtuka!?.. hujaona ya viongozi wengine kama waziri mkuu wa Denmark, Ujerumani, Uingereza etc wanavyoigiza kuchanjwa huku sindano hazijaondolewa cover zake!?.. nasisitiza viongozi wote duniani wanaigiza kuchanjwa vaccine za COVID sababu wanajua zipo kwenye majaribio kupitia mafala wasiotumia akili. Kama unaamini siku ile viongozi wote wa kitaifa kuanzia Raisi, waziri mkuu,CDF, IGP Ndugai.. wote wanaweza kuchanjwa chanjo kwa siku moja chanjo ambayo wewe unajazishwa fomu kuwa serikali haitahusika iwapo utadhurika na unaamini walichanjwa kweli wewe ni MPUMBAVU.
Because of their wishes!.Why was it so specific?