#COVID19 Afisa Elimu Mkoa wa Arusha na Muuguzi waliofanya maigizo ya chanjo wasimamishwe kazi mara moja

#COVID19 Afisa Elimu Mkoa wa Arusha na Muuguzi waliofanya maigizo ya chanjo wasimamishwe kazi mara moja

Leo nimeuliza swali hilo: Nami nikaulizwa swali: Unajua kwa nini inaitwa Corona Virus Disease 19? Wakasema kirusi cha korona sio kipya kiligunduliwa zamani kwa hiyo research na trials zimekuwa zikifanyika. Ndiyo sababu kirusi hiki kimeitwa #19.
Je kuna usahihi kwenye hili?
Hizo ni lugha tu zakutaka kufanikisha Nia yao ovu na kufanya biashara.
Zipo kwenye majaribio tu ndo maana unajaza consent form,ndo maana chanjo zilizothibitishwa hazina consent form,mf. Chanjo za tetanus, yellow fever nk.
Ndo maana zilipoanza tu kuchomwa Mara kuganda damu,uume kutokomea ndani, menstrual period kuharibika nk.Baadhi ya nchi zilianza kusitisha uchanjaji,na watu kushituka.

Chanjo inakuwa na uwezo was kumkinga aliyechanjwa,Sasa hii alichanywa na aliyechanjwa wanaambukizwa.
Sasa hi ni chanjo gani Sasa isiyokusaidia.
 
Bibi yenu kiroboto na serikali yake wamechukua nafasi ya kaole make acts zao ni hatari tupu, ikiwezekana waanze kuuza cd kitaani
 
Nani amewarecord? Kwasababu ipi?
Alijuaje kutakuwa na udanganyifu? Nani amesambaza mitandaoni?
Any chance ikawa internet manipulation?
Kama ni kweli, huyo jamaa na nurse wake hawakutakiwa kuwepo kazini.
Kwani hujaona ya Samia inayotrend amechomwa na hajashtuka!?.. hujaona ya viongozi wengine kama waziri mkuu wa Denmark, Ujerumani, Uingereza etc wanavyoigiza kuchanjwa huku sindano hazijaondolewa cover zake!?.. nasisitiza viongozi wote duniani wanaigiza kuchanjwa vaccine za COVID sababu wanajua zipo kwenye majaribio kupitia mafala wasiotumia akili. Kama unaamini siku ile viongozi wote wa kitaifa kuanzia Raisi, waziri mkuu,CDF, IGP Ndugai.. wote wanaweza kuchanjwa chanjo kwa siku moja chanjo ambayo wewe unajazishwa fomu kuwa serikali haitahusika iwapo utadhurika na unaamini walichanjwa kweli wewe ni MPUMBAVU.
 
Huyo Muuguzi naye mshamba kweli,Yaani hata kuigiza hajui [emoji23][emoji23][emoji16]
 
Inawezekana ni mpango mkakati wa serikali maana hata madame boss alifanyaga hivyo hivyo,
Pia hiyo clip haijakamilika hatuwez kujua alieisambaza kwanini kaamua kuifupisha ,
Also hao watu wakipoteza vibarua vyao wewe utajisikia burudani?
Hitimisho: usiamini sana kila kitu unachokiona mitandaoni
Agizo limeshatolewa !!
 
Yule nurse ajengewe sanamu Kwa kutufungua macho
Nalog off
 
Hajachomwa kaigiza baada ya kuigiza kapewa pole nesi akimaanisha zoezi tayari. Tukiwaambia viongozi wote duniani hawachanjwi hizi chanjo za majaribio kuna watu wanakuwa wabishi.
Kwani mkuu, hili zoezi si la hiari?wewe baki na msimamo wako huo huo
 
Leo nimeuliza swali hilo: Nami nikaulizwa swali: Unajua kwa nini inaitwa Corona Virus Disease 19? Wakasema kirusi cha korona sio kipya kiligunduliwa zamani kwa hiyo research na trials zimekuwa zikifanyika. Ndiyo sababu kirusi hiki kimeitwa #19.
Je kuna usahihi kwenye hili?
Usahihi ndio huo Kirusi cha Corona sio kigeni,hiki tulichonacho ni cha 2019,vipo vya miaka ya nyuma
 
Kwani hujaona ya Samia inayotrend amechomwa na hajashtuka!?.. hujaona ya viongozi wengine kama waziri mkuu wa Denmark, Ujerumani, Uingereza etc wanavyoigiza kuchanjwa huku sindano hazijaondolewa cover zake!?.. nasisitiza viongozi wote duniani wanaigiza kuchanjwa vaccine za COVID sababu wanajua zipo kwenye majaribio kupitia mafala wasiotumia akili. Kama unaamini siku ile viongozi wote wa kitaifa kuanzia Raisi, waziri mkuu,CDF, IGP Ndugai.. wote wanaweza kuchanjwa chanjo kwa siku moja chanjo ambayo wewe unajazishwa fomu kuwa serikali haitahusika iwapo utadhurika na unaamini walichanjwa kweli wewe ni MPUMBAVU.
Afsa Elimu ni kiongozi gani bro? Wao ni waajiriwa kama waajiriwa wengine.. Usiwaweke kwenye kundi la viongozi. Hilo ni la kwanza.

Jambo la pili; Yes, kusign consent form, ingekuwa ni mimi ndo mwenye maamuzi, nisingeiweka. Lkn unaposema serikali haihusiki, kwani unapokunywa metakephin na kubabuka ngozi, serikali inahudika vipi?
Jambo la tatu, wewe mwerevu baki na werevu wako; binafsi nimeugua huu ugonjwa---Nilishachanja zamani sana. Katika umri wangu huu wa utu uzima, sikumbuki ni lini nimeshaqahi kuumwa kama nilivyoumwa---Na boldly, hata kama ni ya majaribio, i am ready to take again, ila siyo kumcontact huyo kidudu.
 
Back
Top Bottom