Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Haaaa.... Hahaha haha haha mweeee, kumbe tunadanganywa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaa.... Hahaha haha haha mweeee, kumbe tunadanganywa
Kwani chanjo si kwa ajili ya wenye miaka 18 na kuendelea au?Jana katika shule moja ya msingi hapa zilipelekwa chanjo
Hahah!!
watoto kusikia kuwa ni chanjo
wakapita madirishani, wengine mlangoni
wakatoka nduki ya ajabu
speed mbaya sana
Kasi kubwa mno
Hadi makwao wakawaambia wazazi wao
kuhusu walichotaka kufanyiwa shuleni.
Hahaha ikapigwa yowee hatari
mwenye mkuki sawa
mwenye panga sawa
mwenye kisu sawa
mwenye fimbo sawa
mwenye upinde sawa
mwenye Jiwe sawa
mwenye manati sawa
mwenye nondo sawa
Hahah
hadi shuleni
wakakuta walimu na Jamaa wa chanjo
wazazi full Gadhabu plus mahasira kibao!
Ilibidi police waitwe fasta kuokoa Jahazi!
ila baadhi ya wazazi na walezi ilibidi wachukuliwe na police wakaondoka nao!
Hizi chanjo hahah yetu macho
Tusiache kumuomba MunguWanatuma kuhalalisha maigizo yao ili watu waingie mkenge
MSure.
Mobile phone camera inarekodi na kuweka pause record, inawezekana ndicho kilichofanyika hapo.
Wewe itakuwa dalali.....Hiyo imefanyiwa editing; aliyerekodi aliweka pause wakati sindano inachomwa, alivyomaliza akaplay
Wapinga chanjo mpoje?
Hajachomwa kaigiza baada ya kuigiza kapewa pole nesi akimaanisha zoezi tayari. Tukiwaambia viongozi wote duniani hawachanjwi hizi chanjo za majaribio kuna watu wanakuwa wabishi.Hajachomwa huyo au naona vibayq
Viongozi wote wanaigiza hakuna anayechanjwa kweli, sema huyu kaigiza vibaya. Hizi chanjo ni za majaribio, kama unataka kushiriki kufanya research ya chanjo nenda kachanjwe.Afisa Elimu wa Mkoa wa Arusha Aidanganya serikali Kwa kuigiza kuwa amepata chanjo ya Covid-19 kumbe ni uongo. Mh. John Mongela mkoa wako umesibishwa
Sio baadhi, viongozi wote duniani hawachomi chanjo za majaribio wanazuga tu kwa kuigiza ili wawashike akili mafala. Hizi chanjo ni za majaribio, viongozi wana taarifa sahihi za kinachoendelea duniani.huu ni udhahidi kuwa, kuna watu hawachomi chanjo wanahadaa umma,
hv hapa amechoma kweli? ni nini hiki walichokua wanafanya?
wizara ya Afya huyu muuguzi anafanya nini? hii hospitali inauza vyeti vya chanjo?
View attachment 1882300