Teknolojia inaruhusu hata editing kufanyika kwenye video..
Inaonekana huyo jamaa hakuchomwa sindano, wamezuga...Sijaelewa lolote!
Duuh!!!Teknolojia inaruhusu hata editing kufanyika kwenye video..
Wapinga chanjo wapo kazini.
Umesikia? "... ili waache woga". Wanahamasisha watu kwa njia ya kaoleInaonekana huyo jamaa hakuchomwa sindano, wamezuga...
Kuamua n kuchagua
Utopolo mnakazi sana na hizo chanjo za mende
Sure.Teknolojia inaruhusu hata editing kufanyika kwenye video..
Wapinga chanjo wapo kazini.
Sijaelewa lolote!