Afisa Habari Simba: Wachezaji Wanadai Bonus zao Na Club haina Pesa

Afisa Habari Simba: Wachezaji Wanadai Bonus zao Na Club haina Pesa

Afu unakutana na madunduka humu jf yamekomazaa mishipa ya.... Kutetea haki za faisali huku timu lao halilipi madeni na wanadaiwa pesa za usajili. Haya kiongozi wa wapuuzi OKW BOBAN SUNZU njoo utuambie kilabu kubwa inayoshindwa kulipa bonus ya wachezaji ya 30m tu😅😅😅.....!!.

Hivi zile bilioniii ngap za M bet bado zipo kwenye ile tisheti😜😜
 
Afu unakutana na madunduka humu jf yamekomazaa mishipa ya.... Kutetea haki za faisali huku timu lao halilipi madeni na wanadaiwa pesa za usajili. Haya kiongozi wa wapuuzi OKW BOBAN SUNZU njoo utuambie kilabu kubwa inayoshindwa kulipa bonus ya wachezaji ya 30m tu😅😅😅.....!!.

Hivi zile bilioniii ngap za M bet bado zipo kwenye ile tisheti😜😜
Walikua wanafanya uhuni tu kwenye kamera kama wale wadada wajibinuao makalio kusaka attention online
 
Sina nongwa ila sio fair kutelekeza familia yako then ukakomae na nyumba ya jirani hata Nyerere alianza na uhuru wa Tanganyika kwanza
Hapa unafiki pia nyerere hakupenda, kuna kipindi aliwaita wanasiasa jina baya kwa ishu ya unafiki

Kama wewe unachokifanya hapa, huongei yanayokuhusu wewe na familia yako bali umeyaacha yako unayazungumza ya jirani
 
Kutoka kutukana Watu watembeza bakuli mpaka kushindwa kulipa mishahara miezi 3

Napendekeza tuwachangie walipe mishahara ya wachezaji nipo tayari kuchangia
soma taratibu uelewe usichangie kwa pupa kilichozungumziwa hapo ni Bonasi na sio mishahara kaka.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Hapa unafiki pia nyerere hakupenda, kuna kipindi aliwaita wanasiasa jina baya kwa ishu ya unafiki

Kama wewe unachokifanya hapa, huongei yanayokuhusu wewe na familia yako bali umeyaacha yako unayazungumza ya jirani
Wewe uliyekuwa umeshupaza mishipa kwa Jambo la feisal linakuhusu?.
 
Mi niliupinga ule mtindo wa bonus, ni mtindo mbaya, mchezaji ni mwajiriwa anayelipwa mshahara, matunda ni mwisho wa msimu wakipata kombe walipwe bonus, wasipopata ile kwao
Unaupinga huo mfumo na wakati unatumika duniani kote!
 
Wewe uliyekuwa umeshupaza mishipa kwa Jambo la feisal linakuhusu?.
We uliona wapi mimi nakataza wengine wasitoe maoni kwenye mambo ambayo hayawahusu?

Huyo mwenzako ametoa recommendations kutoka kwenye nukuu ya nyerere kuhimiza watu wakomae na mambo yao.

At the same time hapo hapo naye anarudia kosa kwa kuzungumza habari ambazo hazimuhusu, he hiyo si unafiki kabisa?
 
  • Kicheko
Reactions: Exy
Hapa unafiki pia nyerere hakupenda, kuna kipindi aliwaita wanasiasa jina baya kwa ishu ya unafiki

Kama wewe unachokifanya hapa, huongei yanayokuhusu wewe na familia yako bali umeyaacha yako unayazungumza ya jirani
Kumbe leo umejua ya jirani mwachie jirani eh! lile jina la Nyerere linakufaa sana
 
Meneja Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally Amekiri wachezaji wa Timu hiyo kudai bonasi.
" kweli wachezaji wanadai Bonasi zao za mechi kadhaa, Kuna wakati taasisi inakuwa na fedha inalipa madeni yote Kuna wakati haina fedha inalimbikiza madeni Mzigo ukipatikana watu wanalipwa"

Ahmed Ally Ameongeza kuwa ni kawaida kwenye taasisi ya biashara watu kucheleweshewa miezi miwili au mitatu lakini hiyo sio sababu ya kufungwa na Azam FC " wametufunga mara mbili wametuzidi ubora "



News & Video Credit: @SokaPlace
View attachment 2615481

Hana busara, kuwa mwanahabari sio kuongea kila kitu, ni kutumia busara
 
We uliona wapi mimi nakataza wengine wasitoe maoni kwenye mambo ambayo hayawahusu?

Huyo mwenzako ametoa recommendations kutoka kwenye nukuu ya nyerere kuhimiza watu wakomae na mambo yao.

At the same time hapo hapo naye anarudia kosa kwa kuzungumza habari ambazo hazimuhusu, he hiyo si unafiki kabisa?
Vipi umeshamchangia fei pesa ya kwenda CAS?. Ohoooo vipi utachanga juu ya madai ya bonus za wachezaji wa timu kubwa Afirika?
 
Vipi umeshamchangia fei pesa ya kwenda CAS?. Ohoooo vipi utachanga juu ya madai ya bonus za wachezaji wa timu kubwa Afirika?
Nyie si ndio mmesema niachane na mambo ya jirani?

Sasa kwanini unayaleta hapa?

Unataka nichangie halafu baadaye mpate la kuongea kuwa nadili na mambo ya jirani?
 
Nyie si ndio mmesema niachane na mambo ya jirani?

Sasa kwanini unayaleta hapa?

Unataka nichangie halafu baadaye mpate la kuongea kuwa nadili na mambo ya jirani?
😅👈 Kwahiyo ndugu mtetea haki za binadam msimamo wako upoje mpaka hapa...
 
Back
Top Bottom