Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikujua kumbe scars ni shogaScars mwanaharakati wa haki za binadamu kuna jambo lako huku
Mambo yasiwe mengi pambania watu wakoNimejua baada ya wewe kuweka nukuu ya nyerere
Lakini pia nimejua na kiwango cha unafiki ambacho unakimiliki.
Huyu sio mzima[emoji28][emoji118] Kwahiyo ndugu mtetea haki za binadam msimamo wako upoje mpaka hapa...
Kwamba msemaji wa simba kasema uongoKunyamaza sio kusema uongo
Kwamba msemaji wa simba kasema uongo
We ndo huna akiliHuna akili, fuatilia trend za comment zangu
Huna akili, fuatilia trend za comment zangu
Kwanini mnaitana hamna akili wenyewe kwa wenyewe wakati wote nyie ni Yanga na Yanga wote tunawajua asili yenu?We ndo huna akili
Kwanini mnaitana hamna akili wenyewe kwa wenyewe wakati wote nyie ni Yanga na Yanga wote tunawajua asili yenu?
Maana ya kuwa Yanga ni kuwa nyinyi ni kitu kimoja.Nafikiri wewe ndo huna akili, maana kuwa yanga na yanga hakuondoi mambo mengine ya kawaida
We mbumbumbu hoja ni bonus mbona mizunguko mingi??kina sawadogo wanadai hebu walipeni kwanzaMaana ya kuwa Yanga ni kuwa nyinyi ni kitu kimoja.
Sasa kuanza kubishana nani mwenye akili na nani hana huku mkijua wazi kati yenu hakuna Sunday Manara wala Kikwete huoni kama ni kutaka kuchanganya watu?
Sio haki ya Faisal bali wamekazana kumharibia😂Kinacho waponza ndugu zetu ni mdomo na majigambo, wapo busy kutetea haki za Feisal wakati kwao kuna njaa
Mishahara? Umenukuu vibaya sio mishaharaKutoka kutukana Watu watembeza bakuli mpaka kushindwa kulipa mishahara miezi 3
Napendekeza tuwachangie walipe mishahara ya wachezaji nipo tayari kuchangia