Nani kamshambulia maana tunaomjua jamaa kapiga kitabu oxford na Harvard, sasa kama kabudi alijisemea pale ni jalalani unataka uendelee kubisha, kama elimu ndio zile za akina janabi vyuo vyenu bado sanaUkiangalia yanayotokea Kwa Sasa katika taifa, jamaa ana hija ya msingi, tujitafakari kabla ya kumshambulia
Weka hizo rankings ambazo UDSM kwa Tanzania hayupoToa ujinga hapa Kila mwaka ranking za Vyuo zinatolewa UDSM Yako uliyokariri haipo
Huyo anatetea vyuo alimopitaMaana yake unasema UDSM ni ya 4? Nakataa
Please weka hiyo takwimu/rankings
Mtafute dogo ambae mwishomwisho alipiga masters dubai, hua yuko ofisini, au fuatilia aliyeenda german kuorder mitambo ya kiwanda ndio huyohuyoMtoto wa jamukaya ni yupi huyo?
Sasa mada haizungumzii level za tanzania mkuu.Tumeongea kwa level ya Hapa Tanzania
Ukiingia kwenye level za kimataifa utakuwa unaionea UDSM kwakuwa kwanza umasikini wa nchi unaathiri Sana mfumo mzima wa uendeshaji wake.
Lakin pamoja na kutokuwa chuo competitive duniani still nilitoka UDSM na nikapambanishwa na watu wa nchi zingine zinazoendelea dunia nzima nika meet vigezo vya kuingia kwenye chuo cha 60 duniani kwa ubora. Mind u nimetoka kwenye chuo kinachoitwa cha kata .
Msioijua UDSM ndo mnaibeza Ila Sisi mazao ya UDSM tunaijua ndani njee
Hakuna ubishani kwa dunian, sisi watanzania bado sana. Hilo halina ubishiNani kamshambulia maana tunaomjua jamaa kapiga kitabu oxford na Harvard, sasa kama kabudi alijisemea pale ni jalalani unataka uendelee kubisha, kama elimu ndio zile za akina janabi vyuo vyenu bado sana
Ndio kasema level ya kidunia, vipi mkuu waliopiga UDOM huko mtaani wana maoni gani juu ya hiyo hojaHakuna ubishani kwa dunian, sisi watanzania bado sana. Hilo halina ubishi
Kama hoja ni Tanzania basi UDSM haina mpinzani
Yeye ni product ya havard chuo bora duniani imekuwaje ameishia halmashauri badala ya kufikiria nje ya box akatengeneza Ajira kwa wengine??Ndio ukweli wapo kibao , hata huyo jamaa anayesema kaishia kuajiriwa na kulipa kiduchu licha ya kusoma nje .
Pole sanaWeka hizo rankings ambazo UDSM kwa Tanzania hayupo
Waru wameshindwa kumuelewa huyo afisaSasa mada haizungumzii level za tanzania mkuu.
mbona kuna watu wanapata fursa za kwenda vyuo bora bila hata ya kupita UDSM, milango ni mingi haswa kwa wale wanaofaulu sana....
Kuipeleka UDSM ukailinganishe na havard ni sawa na kumchukua mtoto anayetambaa ulimnganishe na mtu mzima... Utakuwa umetenda Haki?? Yeye kama msomi wa masters hakupaswa kufanya Hilo kosa kwakuwa anazungumzia mazingira tofauti kabisa na hizo havard Zake.Sasa mada haizungumzii level za tanzania mkuu.
mbona kuna watu wanapata fursa za kwenda vyuo bora bila hata ya kupita UDSM, milango ni mingi haswa kwa wale wanaofaulu sana....
πππππππππππ€£π€£π€£π€£Yeye ni product ya havard chuo bora duniani imekuwaje ameishia halmashauri badala ya kudikiria nje ya box akatengeneza Ajira kwa wengine??
Kusoma havard kumemsaisia nini?
Kama Mimi myudism tu sijahangaika na Ajira za halmashauri pamoja na kutoka chuo anachokiita cha kata yeye wa havard amegundua nini?
Kiufupi sisi waafrica kichwani hamna kitu , ndio maana hata waliofanya makubwa duniani wana elimu za kawaida sana .Yeye ni product ya havard chuo bora duniani imekuwaje ameishia halmashauri badala ya kudikiria nje ya box akatengeneza Ajira kwa wengine??
Kusoma havard kumemsaisia nini?
Kama Mimi myudism tu sijahangaika na Ajira za halmashauri pamoja na kutoka chuo anachokiita cha kata yeye wa havard amegundua nini?
hilo mbona lipo wazi mkuuKwa Tanzania UDSM haina mpinzani.
Hapa kuna kitu watu wanapaswa kuelewa, hoja sio Udsm pekee ila vyuo vyetu kwa ujumla. Ukiangalia ranking ya vyuo vyetu kidunia iko mbali sana. Kuna kipindi Udsm ilikua na uafadhali kidogo, hata Afrika ikawa ya 5 hadi 7.Kwani uongo!
Mawaziri, makatibu wakuu na wakurugenzi wengi wanashindwa nini kusimamia miradi na nchi ikafanikiwa badala yake tunaleta DPW kuendesha bandari, misitu, mbuga za wanyama nk
Swali zuri sana. Inabidi huyo mwamba awe mfano kwa kuonyesha ubora wa elimu aliyosoma na matokeo ya ufanisi katika pahala pake kazini.Yeye ni product ya havard chuo bora duniani imekuwaje ameishia halmashauri badala ya kudikiria nje ya box akatengeneza Ajira kwa wengine??
Kusoma havard kumemsaisia nini?
Kama Mimi myudism tu sijahangaika na Ajira za halmashauri pamoja na kutoka chuo anachokiita cha kata yeye wa havard amegundua nini?
Kabla ya kuleta hizi ranking ulipaswa utueleze kwanza credibility ya huyu mtu aliyefanya ranking worldwide, na alitumia vigezo gani (kama sio mihemko).