Bora wewe umeona kitu cha tofauti. Shida ni mindset zetu wa Africa.Kiufupi sisi waafrica kichwani hamna kitu , ndio maana hata waliofanya makubwa duniani wana elimu za kawaida sana .
Business insider sio credible source ya University rankings. Huwa unawekaga pages za watu ambao anaweza kuamua tu kuandika chochote, mfano wale wa mama yupo kazini. Hizo pages sio media hivyo wanachoandika huwa ni utashi wao. Ukitaka kuweka source ambayo ni credible weka source kutoka kwenye media kubwa, au kutoka kwenye taasisi inayohusika
Punguani mkubwa,walinukuu taarifa ya Times Higher university ranking wanaofanya hiyo kazi Kila mwakaBusiness insider sio credible source ya University rankings. Huwa unawekaga pages za watu ambao anaweza kuamua tu kuandika chochote, mfano wale wa mama yupo kazini. Hizo pages sio media hivyo wanachoandika huwa ni utashi wao. Ukitaka kuweka source ambayo ni credible weka source kutoka kwenye media kubwa, au kutoka kwenye taasisi inayohusika
Mimi nakuwekea ya Uniranks(moja ya site credible kwa kufanya University rankings)
Sio mtu ni jarida la Times Higher university rankingKabla ya kuleta hizi ranking ulipaswa utueleze kwanza credibility ya huyu mtu aliyefanya ranking worldwide, na alitumia vigezo gani (kama sio mihemko).
Hata Mimi Leo naweza kuja na ranking yangu lakini je Mimi ni credible kufanya ranking ikaaminika? Na pia niweke waz vigezo nilivyoangalia .. M mfano kama ni miundombinu au academic performance nakadhalika.
HahahaHaya mliosoma UDSM wale ambao mnafundishwa na Maprofesa wa Jalapani njooni mbishie huyu mwamba hapa 👇
View: https://twitter.com/Kiganyi_/status/1819058323817189606?t=VQfILn-OwC6pfb5CaCCcgw&s=19
My Take: Vyuo Vikuu Bora Africa SubSaharan Afrika 👇👇
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1795057766521803169?t=y2_xblgofc_t5ftM3-89og&s=19
Huyu huwa anaweka link ya mtu yoyote kutoka Twitter na anatumia hiyo habari kama sourceKabla ya kuleta hizi ranking ulipaswa utueleze kwanza credibility ya huyu mtu aliyefanya ranking worldwide, na alitumia vigezo gani (kama sio mihemko).
Hata Mimi Leo naweza kuja na ranking yangu lakini je Mimi ni credible kufanya ranking ikaaminika? Na pia niweke waz vigezo nilivyoangalia .. M mfano kama ni miundombinu au academic performance nakadhalika.
Wanakera Sana siku hizi ukikosoa serikali Uzi unazuiwaNiliandika uzi huku , Melo akafuta maana anajua wahaya wenzie ndio wanajisifu ila hamna kitu kichwani .
Absolutely rightKwa sasa, Maprof. na Dr wengi waliacha kufundisha wahakimia kwenye siasa, Serikalini na madili binafsi. Vyuo vyetu vipo hoi huku kukihitajika mitaala kupitiwa upya.
Mimi nimekuweka ya UniRanks, ambao hufanya hizo rankings. Hiyo times higher hufanya rankings? Wapo credible kiasi gani?Punguani mkubwa,walinukuu taarifa ya Times Higher university ranking wanaofanya hiyo kazi Kila mwaka
Hajashambuliwa mkuu, jamaa thinking capacity yake inakosa njia. Hana reasoning ability, bi sawa na kusema kwa nn swala hawali majani ya nchani kwq nn wastage kwa twiga?. We unavyoona hapo kuna uwiano?Ukiangalia yanayotokea Kwa Sasa katika taifa, jamaa ana hija ya msingi, tujitafakari kabla ya kumshambulia
UDSM ndio imezalisha viongozi wa serikali, niambie nini hasa wanafanya huko serikalini zaidi yaa.....tusiongee sana ila UDSM kama chuo mama hakijazalisha watu makini kwa taifa.Ninarudia tena anaye underestimate nguvu ya UDSM Hapa nchini huyo hajui Mambo.
SEMA nini mambo ya siasa yanaingizwa Sana kwenye uendeshaji wa vyuo
Kaongea kitu kipo wazi, sijaona umuhimu wa mjadala kwenye alichoongeaTatizo tunapenda kuambiwa uongo hata kama ukweli tunaujua.
Tunasoma UD kwa sababu ya elimu bora, au ndio uwezo wetu wa kifedha umeishia hapo?
By the way, jamaa ana historia ya kuongea sana ukweli
View attachment 3059292
Tunarudi pale pale siasa kuathiri uendeshaji wa chuo na umasikini wa nchi.Mm nimesoma hapo degree program flani asee ni shida ....japo Kuna watu wamesimamisha first class ila elimu ya vyuo Tanzania sio kbs...Kuna watu wanafaulu hujui wanafaulu kivipi maana wao kuonekana ni siku ya mtihani ...😄😄
Hata yeye ni zao la ovyo la chuo chake kama hata hajui namna ya kutambua credible source ya taarifaHuyu huwa anaweka link ya mtu yoyote kutoka Twitter na anatumia hiyo habari kama source
Hajui kuwa Twitter mtu yoyote anaweza kuandika chochote. Yeye habari zake huwa ni link za watu wa Twitter, ndio maana hata hii post umeona kaweka link ya huyo wa Twitter