Mtoa hoja, usiitoe hoja kwa upande mmoja,be fair na sio kuwa ni watanzania pekee wanaouliwa na wazawa hapo SA, wazimbabwe na wapopo wengi tu wamepoteza maisha, watanzania sio kwamba ndio wanajihusisha na biashara haramu, wengi wana maisha yao ya kihalali kama huyu aliyeuawa na police joberg, na ninaamini mpaka umetoa picha zao humu hawa wote wanafamilia wana taarifa za misiba hii,usitishe watu na ifanyie heshima avatar yako, mchezaji huyu aliyechukua Jina lake alikuwa respected hadi leo anaheshima sana,guy's maisha popote kuna watanzania wapo Columbia sembuse hapo Durban