Msangi unamjua?Niko group moja la mabaharia South Africa, kila baada ya siku mbili Kuna post ya rambirambi, mara mwamba kauawawa na Wazulu, mara polisi mara wenyewe kwa wenyewe, sio poa aisee.
Noma Sana, pande hizo sio kwa wake wenye mioyo mwepesi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msangi unamjua?Niko group moja la mabaharia South Africa, kila baada ya siku mbili Kuna post ya rambirambi, mara mwamba kauawawa na Wazulu, mara polisi mara wenyewe kwa wenyewe, sio poa aisee.
Noma Sana, pande hizo sio kwa wake wenye mioyo mwepesi.
Kila baada ya siku mbili basi upo kundi la Afghanistan mkuu sio kwa Madiba....mnadanganya kuhusu kwa madina utadhani hiyo Nchi ipo ukanda wa Gaza kumbe karibu tuu hapo..Niko group moja la mabaharia South Africa, kila baada ya siku mbili Kuna post ya rambirambi, mara mwamba kauawawa na Wazulu, mara polisi mara wenyewe kwa wenyewe, sio poa aisee.
Noma Sana, pande hizo sio kwa wake wenye mioyo mwepesi.
Hajari ndio nini?hajari kazini kwani tz hawafi?
Yaani Aslimia kubwa ya vijana wanaoendaga South ni vibaka,na siyo kwamba huwa wanaenda na mitaji hapana ila shughuli yao inakuwaga kuiba,Sijawahi kufika south Africa lakini niulize, hao jamaa wanaua watu bila sababu? Yaani wakikutana na mbongo wanamuua? Nadhani hao waliopostiwa walikua wanafanya issue haramu, labda walizulumiana ndio impact ikawa hiyo.
Wacha wachezee chumaYaani Aslimia kubwa ya vijana wanaoendaga South ni vibaka,na siyo kwamba huwa wanaenda na mitaji hapana ila shughuli yao inakuwaga kuiba,
Na leo wamemuua rapa AKA hukohuko DurbanDurban tena
kwa kuongezea warundi wengi wana paper hivyo wanaruhusiwa kufanya hata https://jamii.app/JFUserGuide n jobWabongo wanajihusisha kwenye dili za magamushi sana
Mrundi labda atajihusisha kwenyw utapeli sana sana
Alafu unajuwa warundi walianza pia kusafiri kwenda nje kitambo sana mkuu
Ova
Warundi wengi wapo Cape Town wengi wameomba asylum wakidai wao Ni 🌈kwa kuongezea warundi wengi wana paper hivyo wanaruhusiwa kufanya hata JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala n job