Afrika Kusini sio salama, kuna Watanzania wameuawa siku za karibuni

Afrika Kusini sio salama, kuna Watanzania wameuawa siku za karibuni

Wabongo wanajihusisha kwenye dili za magamushi sana
Mrundi labda atajihusisha kwenyw utapeli sana sana
Alafu unajuwa warundi walianza pia kusafiri kwenda nje kitambo sana mkuu

Ova

Ndio mrundi alianza kutoka nje na ndani ya afrika kitambo hiyo america kwao sio issue. Europe huwakosi nchi yoyote then wanyarwanda nao kitambo wanasafiri tena kihalali halafu wanaitana kwenye dili za kueleweka, wabongo uoga na maisha marahisi yalitulemaza sana hata wanaotoka wengi hawakujua waanzie wapi, juzi nimeona mtu anazingumzia mtumba mnazi mmoja nikakumbuka miaka ya mtumba wa magendo unatoka burundi kurudi bongo, yaani michoro wengine waliipata kitambo, kama wazimbabwe zamani walifuata bidhaa Zanzibar enzi south yupo mkaburu, mrundi aliingia nairobi anachukua oil za magari anapeleka kuuza harare hadi bulawayo, kwahiyo sisi tukaingia kichwakichwa na kurithishana dili za magumashi mtu akienda bondeni akirudi na raba na jinzi basi unatamani na wewe kumbe jamaa mwenyewe ni mwizi tu hiyo mbaya sana
 
Ndio mrundi alianza kutoka nje na ndani ya afrika kitambo hiyo america kwao sio issue. Europe huwakosi nchi yoyote then wanyarwanda nao kitambo wanasafiri tena kihalali halafu wanaitana kwenye dili za kueleweka, wabongo uoga na maisha marahisi yalitulemaza sana hata wanaotoka wengi hawakujua waanzie wapi, juzi nimeona mtu anazingumzia mtumba mnazi mmoja nikakumbuka miaka ya mtumba wa magendo unatoka burundi kurudi bongo, yaani michoro wengine waliipata kitambo, kama wazimbabwe zamani walifuata bidhaa Zanzibar enzi south yupo mkaburu, mrundi aliingia nairobi anachukua oil za magari anapeleka kuuza harare hadi bulawayo, kwahiyo sisi tukaingia kichwakichwa na kurithishana dili za magumashi mtu akienda bondeni akirudi na raba na jinzi basi unatamani na wewe kumbe jamaa mwenyewe ni mwizi tu hiyo mbaya sana
Wenzetu kama sehemu kuna connection au fursa ya kitu fulani
Wanaitana ,ila sisi wabongo ukiitwa sehemu ujue eidha anataka akutapeli hela au akuchoshe tu

Ova
 
Kwanini wauae wa tanzania sio wa zimbabwe au wa Kenya? Vijana wetu wanakasoro fulani katika maisha uko ughaibuni

vijana wengi wa Tanzania ni unskilled, Vijana wengi wa Tanzania wana upeo mdogo kutokana na elimu duni waliyoipata wakiwa hapa nyumbani.

Survival ya vijana wengi wa Kitanzania ughaibuni niyakifala saana kufananisha na vijana wengine wa mataifa mengine ya Africa.

Wakulaumiwa ni serikali ya CCM toka uhuru kwakuwapumbaza vijana kwa kuwapa elimu duni, kutukuza ujinga ujinga kwa maslahi ya kisiasa, kutotilia mkazo lugha ya kiingereza kwa kuleta siasa za ujamaa na kujitegemea, kuwaaminisha vijana umasikini pia ni moja ya class katika maisha...
 
vijana wengi wa Tanzania ni unskilled, Vijana wengi wa Tanzania wana upeo mdogo kutokana na elimu duni waliyoipata wakiwa hapa nyumbani.

Survival ya vijana wengi wa Kitanzania ughaibuni niyakifala saana kufananisha na vijana wengine wa mataifa mengine ya Africa.

Wakulaumiwa ni serikali ya CCM toka uhuru kwakuwapumbaza vijana kwa kuwapa elimu duni, kutukuza ujinga ujinga kwa maslahi ya kisiasa, kutotilia mkazo lugha ya kiingereza kwa kuleta siasa za ujamaa na kujitegemea, kuwaaminisha vijana umasikini pia ni moja ya class katika maisha...

Kijana wa kenya au Rwanda au Nigeria kwanza anapanga kujifunza hata umeme wa magari, au painting ya bodi kisasa, akishadaka cheti ndio anaingia south anajua ataanzia garage atakomaa miaka ya mbele unakuta ana garage yake na ana maisha sasa wenzangu na mimi ni kulipuka tu bila kujua wapite wapi si bora wawe waganga wa kienyeji kama wacongoman au waganda
 
Yani sio salama kwa sababu wabongo wamekufa?? Huko wanauwana kila leo
 
Sawa na wasomi madaktari na walimu miaka ile waganda na wakenya wanachangamka na Botswana wanalipwa mapesa mengi sisi tumelala, tunakuja kustuka michongo ilishaisha tu wachache ndio walifaidika wengi walikalia uoga uoga wa bila sababu
 
Tenda wema, kisha nenda zako. Uwe na uhakika kwenye hili, kila wema, au ubaya atendao mtu hulipwa na Mungu sometimes inaweza isiwe kwako bali kwa uzao wako. Be grateful.
Ahsante ndugu yangu.
Uzuri nafurahia anaisadia familia yake. Na mimi kumsaidia nilitaka afanikiwe na aisaidie familia yake kwa kuwa walikua wanatoka familia duni sana. Nilishaachana naye.
 
Katika hao madogo lazima kuna shibe kijijini manake alipotea kitambo sana huko Bondeni
 
Zipo sura hata mtu ukiambiwa huyu anaishi nchi ya nje ya Tanzania ni vigumu kuamini huyu ilitegemewa umkute jela tena jela za bongo za wale walioshindikanaView attachment 2485017


Kama huyu hapa hata mtaani kwangu ninakoishi huku Mbezi Makabe shamba sijawahi kukutana na sura kama hii for years labda sogea sogea Manzense au Kigogo ile ya Mburahati ya wakorofi ila nashangaa nasoma kaenda fia South Africa,how!?

Huko watu kama hawa zaidi ya kwenda kufanya uhalifu hakuna lingine.
Wabongo mkishafanikiwa kidogo mnakuwa too judgemental. Kuwa na sura fulani haihalishi kuuawa au wewe ni mhalifu. Vinginevyo wengine na hizi sura zetu tungekuwa tushachomwa moto.
 
Ilitakiwa useme duniani sio sehemu salama Kwa sababu kila leo watu wanakufa; weka sawa kichwa cha habari chako usipotoshe watu
 
Mimi nina mbwa nilimpeleka huko namuita mbwa kwa sababu kafanikiwa na amepata uraia, na maisha yamenyooka, lakini mbwa yule kasahau fadhila nilipokwama nikahitaji msaada wake.
Mkuu huyu jamaa naweza kuwa namfaham au lah, maybe nijue ulimtoa eneo gani coz kuna kiumbe mmoja alitokea ktk kijiwe changu cha kazi hapo Dar miaka ya 97 but alichukuliwa kuelekea huko until now nasikia familia yake inakula matunda fresh!.
 
Poleni wafiwa. Vijana wanaotoka maeneo ya uswahilini Dar na kwenda SA wengi wao vibaka. Kuna dogo mmoja wa Kigogo alikuwa kibaka sugu nikamwita kumshauri aachane na ishu za ajabu kwasababu kilichokuwa kinafuata ni kuuwawa. Baada ya kumshauri nikampa laki 3 afanye biashara ya Video LIBRARY.. ile hela ndo akaitumia kwenda South. Nikiwa sijui hili wala lile nikaona msg Facebook dogo ananiambia yuko South. Picha zake zinaonyesha kabisa anachofanya huko ni ushenzi mtupu. Na hayuko peke yake. Picha zake nyingi yuko na marafiki wanaoonekana ni vibaka watupu. Vijana wapewe somo kwa kweli.
 
Nakuunga mkono kwa 100% , na ulibadilika baada ya kupata muongozo sasa wenzako hawana hiyo bahati kwanza tunadanganyana kwa madiba mserereko hakuna kitu kama hiyo na wabongo wenye vyeti wachache wengi wanaishi kimagumashi sana, hata awe na pass unakuta muhuni kapitisha miaka kibao, acha wale wanaodandia maroli kutoka malawi au wanapita maumbiji kwa kuchana senyenge, zote hustle lakini kwa dunia ya sasa tuelezane ukweli bila hivo tutapoteza wengi
Mkuu nakuunga mkono. Pia mimi kwa uzoefu wangi sidhani kama kuna haja ya Mtanzania kuingia kwa njia za panya kwa hizi nchi majirani zetu. Hatuna jina baya kihivyo vibali tunapata kirahisi kuliko wacongo, waburundi, hata wanyarwanda.
 
Sasa na huo uzee uende huko kufanya nini?
Wewe tulia hapa hapa ucheze na wajukuu.
Waanze vijana wakapambane.
Sijawahi kutamani kwenda huko hata siku moja nchi karibu vijana wengi wana mapengo. Mimi nitaenda Rwanda tu.
 
Back
Top Bottom