Afrika Kusini waanza kupitishia mizigo yao yakiwemo magari katika bandari ya Dar es Salaam

Lakini hawa si wanazo bandari zao,inakuwaje ?
 
Acheni uongo , kuna bandari hapa kuzidi capetown ? yaani nyie utopolo bado kidogo mtasema Mungu ni mbongo , mnatia aibu sana !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…