johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Kuwa na bandari nyingi siyo hoja bwashee watu wanaangalia ubora!Upuuzi mtupu
Unajua Afrika Kusini wana bandari ngapi?
Punguza mbege meku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na bandari nyingi siyo hoja bwashee watu wanaangalia ubora!Upuuzi mtupu
Unajua Afrika Kusini wana bandari ngapi?
Punguza mbege meku
Umaskini!Hivi kwanini huwa watu wengi wanaagiza chai na CHAPATI MBILI?
Kama south Afrika ya Chato ni sawa.Yaani unamaanisha South Africa hawaziamini bandari zao wanaiamini ya kwetu?!
Nyie mmechanganyikiwa, naona uongo wenu sasa unavuka vipimo mlivyojiwekea.
Bavicha mna kiburi sana!Kama south Afrika ya Chato ni sawa.
Kwani Bandari yao inachikuwa miezi mingapi?Umeambiwa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu na wasauzi wamefurahishwa na jambo hilo!
19!Kwani Bandari yao inachikuwa miezi mingapi?
Wafanya biashara wa Kenya wanaweza kuhamia kwetu kama tutakuwa na competetetive price na muda...Bado kidogo Kenya nao watapitishia kwenu.
Huyo Bavicha hajui soko huru linavyofanya kazi!Wafanya biashara wa Kenya wanaweza kuhamia kwetu kama tutakuwa na competetetive price na muda...
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hawa si wanazo bandari zao,inakuwaje ?Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.
Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa
Source ITV habari
Hata mimi nashangaa ..ni afrika ya kusini hii tunayoijua au nyingine?Hahahahahaha uongo wa kiwango cha ramani
Acheni uongo , kuna bandari hapa kuzidi capetown ? yaani nyie utopolo bado kidogo mtasema Mungu ni mbongo , mnatia aibu sana !Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.
Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa
Source ITV habari