Chai kama ChaiInashushwa Dar na kupakiwa kwenye malori na kupelekwa Afrika kusini..
.....dah Afrika kusini ina bandari nyingi na bora bahari ya Hindi na Atlantic halafu waje DSM dah pompeo legeza kidogo
Kumbe kwao ni rahisi Sana .
Hiyo mizigo inatoka nje unapita Dar alafu ndo inaenda huko kusini mwa Africa au
inatoka huko kusinj mwa Africa inakuja kwetu
Au inatoka kusini mwa Africa inapita kwetu alafu inaenda mbele zaidi
Maelezo yaliyonyooka tafadhari.
Durban?Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.
Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa
Source ITV habari
Siku tatu? Kwani ile meli ya mafuta ya kula imekaa muda gani pale hadi bei zimepanda.Mizigo kukaa bandarini siku tatu ndio unaita ufanisi?
Siku tatu? Kwani ile meli ya mafuta ya kula imekaa muda gani pale hadi bei zimepanda.
Kwa sababu chapati moja ni sh.300, ukinunua mbili unauziwa 500 hivyo unakuwa umeokoa 100 kuongezea kwenye fungu la bamia.Hivi kwanini huwa watu wengi wanaagiza chai na CHAPATI MBILI?
bonyeza mojaNikitaka vichekesho kama hivi nafanyaje mkuu?
Wanazo Bandari kubwa nne Darban, Capetown, East London na port Elizabeth na pia zipo Bandari nyinginezo kibao huko South Africa ndiyo maana inashangaza kupitisha mizigo yao TanzaniaSouth Africa sio kuwa wana bandari nao? Hawana uzalendo wale ee?
Hakuna kitu kinafanywa na CCM kikawa sawa sawa kwa 100% vyote huwa na kasoro mapungufu kibao ikiwemo ufisadi na mambo mengi ya hovyo ndiyo maana wapinzani hupinga kila kitu cha CCM pasipo kumung’unya manenoNaona .....WANA CHADEMA hawaamin ....wanapinga😂😂😂
South Africa wanazo Bandari nyingi kubwa tena za kisasa zaidiUpuuzi mtupu
Unajua Afrika Kusini wana bandari ngapi?
Punguza mbege meku
Wanaopinga ujinga wa CCM siyo wote ni wapinzani hata CCM napo kuna wapinzani wa ndani kwa ndani wasiopenda ujinga na wao hutumia hili jukwaani kukataa uzushi wa CCM yao inayotumia zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM pasipo kutumia Akili zao binafsiWewe Bavicha kinakushangaza nini hapo?
Kwani wafanyabiashara wa Tanzania hawatumii bandari ya Mombasa?
Hii taarifa haijakaa sawa,SA ina Bandari kubwa tu,kwenye bahari ya hindi,na atrantic sasa wanapitisha mizigo Dar kutokea wapi?au kwenda wapi?Kama mzigo unatoka SA kwenda Burundi au Rwanda,unaweza ukaja kwa njia ya bahari mpaka Dar,then kutoka Dar unasafirishwa kwa njia kavu,Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.
Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa
Source ITV habari
Naona .....WANA CHADEMA hawaamin ....wanapinga[emoji23][emoji23][emoji23]
Inashangaza SanaWanazo Bandari kubwa nne Darban, Capetown, East London na port Elizabeth na pia zipo Bandari nyinginezo kibao huko South Africa ndiyo maana inashangaza kupitisha mizigo yao Tanzania
Itakuwa ni kusi ya kaskaziNaomba kuuliza Africa kusini ya wapi? Sudan kisini au kisini ya kusini?
kuna mtu atasifiwa hadi mwisho wa siku atasema this is too much ....Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa