Afrika Kusini waanza kupitishia mizigo yao yakiwemo magari katika bandari ya Dar es Salaam

Afrika Kusini waanza kupitishia mizigo yao yakiwemo magari katika bandari ya Dar es Salaam

Watu wenye Bandari kubwa saba Richards Bay, Durban, East London, Port Elizabeth, Mossel Bay, Cape Town, Saldanha Bay tena kwenye Bahari ya Hindi mpaka kule Atlantic waache kutumia bandari zao waje huku duh kweli aliyetuloga kafa, mijitu inaongea kama imekatwa vichwa, wao na sisi nani kazungukwa na maji
 
Sina hakika na usemacho, sidhani kama kuna ukweli...SA siku hizi wanafanya assembly ya magari kwao, na wamezungukwa na maji ya bahari eneo kubwa, bandari zao hakuna East Africa

Labda meli ya mizigo ya SA imeshusha mzigo Dar ikielekea SA.

Aacheni mapambio hata sehemu isiyotakikana
 
Sasa msemaji wa TPA ndio hawezi kuwa mpuuzi sawa na wapuuzi wengine?
Huyo msemaji wa TPA ameifanya kuwa ni habari lakini mizigo ya transhipment ni shughuli ya kawaida kwenye bandari nyingi duniani wala siyo ya kwanza kufanyika katika bandari ya D'Salaam. Tulikuwepo huko bandarini tangu enzi ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki. Waache kutafuta sifa.
 
Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.

Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa

Chanzo: ITV habari
Duh, yaani mijitu ya CCM haijui jografia Wala logistics.
Afrika Kusini wana bandari kubwa sana na za kisasa mno kuliko utopolo wa Dar uliojaa urasimu.
Hivi washushe gari zao Dar halafu zianze Safari mpya kwenda kwao kwa maloroli, sio? Pumbavu kabisa
 
Duh, yaani mijitu ya CCM haijui jografia Wala logistics.
Afrika Kusini wana bandari kubwa sana na za kisasa mno kuliko utopolo wa Dar uliojaa urasimu.
Hivi washushe gari zao Dar halafu zianze Safari mpya kwenda kwao kwa maloroli, sio? Pumbavu kabisa
Uwe unasoma na kuelewa bwashee!
 
Sina hakika na usemacho, sidhani kama kuna ukweli...SA siku hizi wanafanya assembly ya magari kwao, na wamezungukwa na maji ya bahari eneo kubwa, bandari zao hakuna East Africa

Labda meli ya mizigo ya SA imeshusha mzigo Dar ikielekea SA.

Aacheni mapambio hata sehemu isiyotakikana
Huyu Geog. alipataga zero! akaichukia mpaka leo! Hata Vasco Dagama ali zitumia kitambo sana hizi bandari!! zina historia ya weledi! akamalizia na Mombasa! akaweka alama ngome kuwa amepita! Fort Jesus!
 
Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.

Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa

Chanzo: ITV habari
Hii ni bange walahi
 
Acheni uongo , kuna bandari hapa kuzidi capetown ? yaani nyie utopolo bado kidogo mtasema Mungu ni mbongo , mnatia aibu sana !
Kwa suala la Mungu nimekupinga huwa naumia sana , mtu anapoanza kumlinganisha Mwenyezi Mungu, na kitu chochote.
 
Kwa suala la Mungu nimekupinga huwa naumia sana , mtu anapoanza kumlinganisha Mwenyezi Mungu, na kitu chochote.
Halafu Mungu siyo mnoko kama unavyotaka kutuaminisha , Mungu ni upendo
 
Kwa suala la Mungu nimekupinga huwa naumia sana , mtu anapoanza kumlinganisha Mwenyezi Mungu, na kitu chochote.
Huyo ni mungu wako! kwani miungu si iko miiingi tu? mfano mungu Baari, Zeus, Allah subuhana wataalah nk! hawana mfano wa kitu chochote hawa ooloh! sasa wako ni yupi kati ya hao! kwani amemtaja? sasa wapi ameonyesha amemsema miungu wako hao?

Unaumia hovyohovyo tu! km jini makata? nini sasa? acha hizo wewe jini mzee! ndivyo mungu wako alivo? huyo ni wa kwako hatuhusu sisi wana Jf! wacha ture burudani.

Kwa mujibu wa Biblia kuna watu wameumbwa kwa mfano wa Mungu! kabisaa yes! huyo ni wa kwao! wanamfurahia uwepo wao! kuna visheitwani pia vimeumbwa km shetani sasa hapa ni mizani kinzani! mungu wako huyo jua kabisa hawahusu wale wa Mungu wa Biblia!!

Acha jazba! na mungu wako huyo! ndivo alivo wafundisha? hizi anga nyingine utaja jifia bureee! na hako kamungu kako kanakula kona! kana kuacha peke yako Hayaaa!
 
Back
Top Bottom