Rwanda level nyingine hiyo, hamjiulizi inakuaje nchi za SADC na EAC pamoja na kushirikiana ila bado zinapigika huko DRC?Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.
Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.
Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.
Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.
Soma pia:
Israel 22,000 sq KM, IRAN 1.6 M sq KMIsrael na Iran ipi kubwa ki eneo
Jibu hoja sio kurekebisha grammar, ndio nimekosea kuweka 'the' typing error marekebisho yaonesha hata English hujui does not make clever ndio nini. Instead yakujiabisha na English jibu hoja kwa kiswahili. Ndio mtu ulieshi SA, Rwanda na USA hata English hujui, ulikuwa unaongea nini huko, useless man. Nyie ndio mnatfunya wabongo tuonekana wapuuzi ujuaji kwa story za vijiweni. Kama umewafika USA itakuwa USA river ya arushaNot the clever. Sema does not make clever. Dogo hujui kitu. Nyamaza tu.
We bwege kweli. Hujui hata unachokosoa. Rekebisha hiyo yangu uoneshe imekosewa wapi.🤣blood nincompoop.Jibu hoja sio kurekebisha grammar, ndio nimekosea kuweka 'the' typing error marekebisho yaonesha hata English hujui does not make clever ndio nini. Instead yakujiabisha na English jibu hoja kwa kiswahili
Uimara wa jeshi ni pamoja na;Sijui, ila Africa kusini ni sawa na mlima Kilimanjaro na Rwanda ni vimlima vya Usambara. Hivyo vimlima vitauweza mlima Kilimanjaro?
"does not make you clever' ndio proper grammar 'does not make clever'. Bado unataka kuendelea kujiabisha tu si bora ukae kimya Kuna umaana gani wa kijuvua nguo. Kama hujui tumia hata chatgpt bro. Eti ndio mtu yuko marekani. Kuanzia sasa na kuendelea comments zako ziwe English tuone ubora wako na mimi ntajibu English by the way nimekupa majibu yote kwanini hujibu hoja zanguWe bwege kweli. Hujui hata unachokosoa. Rekebisha hiyo yangu uoneshe imekosewa wapi.🤣blood nincompoop.
I didnt consider the subject of the sentence. My concern was on the article THE only. Otherwise thats the way it should be. When it comes to English language, i dont brag 😁 but most people here in America appreciate my skills."does not make you clever' ndio proper grammar 'does not make clever'. Bado unataka kuendelea kujiabisha tu si bora ukae kimya Kuna umaana gani wa kijuvua nguo. Kama hujui tumia hata chatgpt bro. Eti ndio mtu yuko marekani. Kuanzia sasa na kuendelea comments zako ziwe English tuone ubora wako na mimi ntajibu English by the way nimekupa majibu yote kwanini hujibu hoja zangu
I didnt consider the subject of the sentence. My concern was on the article THE only. Otherwise thats the way it should be. When it comes to English language, i dont brag 😁 but most people here in America appreciate my skills.
Mimi natamani ai invite TZHuyu mti mkavu hana chochote labda kama kachoka kuishi na ushamba wake
If at all you live in America, skills has nothing to do with language especially if you are a janitor. Skilled janitors are obliged to talk less when cleaning. Infact people do not talk to janitors unless they are not doing their job properly. If you are really really in America, watch out bro Trump is coming for you! By the way, we are going off topic let's go back to our primary topic about Rwanda and South AfricaI didnt consider the subject of the sentence. My concern was on the article THE only. Otherwise thats the way it should be. When it comes to English language, i dont brag 😁 but most people here in America appreciate my skills.
Ur stupidNavyokaona haka kajamaa kamti mkavu. Kanaweza zichukua hizi nchi zote hapa East Africa na hata Centre au nasema uongo? Unajua majeshi ya nchi ngapi yapo Congo? Yanachapika.
Wameshindwaje mfutilia mbali hawa jamaa? Inashangaza sana. Ilitakiwa hao M23 wawe wameshaisha na hawataki hata kujisikia wenyewe. Lakini wanatamba mpaka leo na Kagame hajifichi kuwa anashirikiana nao. Na bado wakimzingua anawazingua. Hamwogopi wowote, hacheki na wowote.
Wasiwasi wangu akiamua kuzitawala hizi nchi za EA. Si itakuwa balaaa? Tutawezana kweli?
Jelousy people never win.If at all you live in America, skills has nothing to do with language especially if you are a janitor. Skilled janitors are obliged to talk less when cleaning. Infact people do not talk to janitors unless they are not doing their job properly. If you are really really in America, watch out bro Trump is coming for you! By the way, we are going off topic let's go back to our primary topic about Rwanda and South Africa
If at all you live in America, skills has nothing to do with language especially if you are a janitor. Skilled janitors are obliged to talk less when cleaning. Infact people do not talk to janitors unless they are not doing their job properly. If you are really really in America, watch out bro Trump is coming for you! By the way, we are going off topic let's go back to our primary topic about Rwanda and South Africa
Na wakipiga kigali hiyo misitu ya kongo itakuwepo huko rwanda.Acha kujidanganya , huyo mti mkavu atapigwa mpaka achakae.
Ur stupid❌ equal to your stupid.❌Ur stupid
Machawa wa marekani na Israel team rainbow wote mnamshabikia paka wengi tu nawaona humuSA itaaibishwa sana ikiingia DRC yenyewe mazima
Mtanzania HUWA anawezaje angalau kujitahidi mkuu.Mara nyingi hizo rank zinaangaliaga bajet, mavifaa yako na mazaga mengine,,,ila vita ya msituni usiombee ukutane na wataalam na hilo eneo wao ndo wawe wenyeji...Mmarekani alipambana na Vietnam na ubabe wake wote ila ikafika mahali ikabidi aondoke tu sio kwamba alishindwa, ila ile kitu unajua umemaliza adui kumbe bado inatesa sana hadi unaamua mwenyewe unasepa, ndo kama M23 wakipatikana wanachapika unajua umemaliza kumbe wanarudi kujipanga wakikaa sawa wanarudi tena , kumaliza hizo vita ni ngumu hadi watu waamue kukubaliana kuyajenga................modern warfare imebase sana kwenye miji na jangwani bado hatujaona mapambano makubwa ya kivita msituni,,,,ndo maana unaweza ukawa na mavifaa ya kutosha ukienda kichwakichwa unakalishwa
Makaburu wanajuaMtanzania HUWA anawezaje angalau kujitahidi mkuu.
Umeshindwa boya wewe useless man nenda kadeki huko. Hoja huwezi, English hujui umebaki kubweka tu nyeeenyee. I am more clever than you how could I be jealous to an ignoramus like you. We Osha deki vizuri omba tu Trump asikushike. Issue complex za Rwanda na South Africa tuachie sisi wenye uelewa mkubwa. We bishana kwenye topic za fagio moja linaweza fagia umbali gani kwa saa. Ni watu wangapi wanaweza Osha vyomba vya mgahawa siku nzimaaJelousy people never win.