Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

SA hawezi kuingia kwa Kagame kivita,na Kagame hawezi ingia SA kwa vita na akithubutu itakuwa ndio mwisho wake,Kagame ni mbabe tu kwa sababu hapajatokea mtu wa kwenda kumfundisha adabu,anapiga misheni za kawaida tu kupoteza mtu mmoja mmoja kitu ambacho mataifa mengi yanakimudu.
Vita ya Congo ni mataifa tu hayajaamua kuwa serious kumaliza vita hivyo kwa sababu ya maslahi ambayo baadhi ya nchi zinapata kupitia vita hiyo,ila siku wakiamua kushughulika na vita,Rwanda atakuwa kama mtoto yatima alietelekezwa mjini
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Rwanda level nyingine hiyo, hamjiulizi inakuaje nchi za SADC na EAC pamoja na kushirikiana ila bado zinapigika huko DRC?
CC : Tumbili wa mjini
 
Not the clever. Sema does not make clever. Dogo hujui kitu. Nyamaza tu.
Jibu hoja sio kurekebisha grammar, ndio nimekosea kuweka 'the' typing error marekebisho yaonesha hata English hujui does not make clever ndio nini. Instead yakujiabisha na English jibu hoja kwa kiswahili. Ndio mtu ulieshi SA, Rwanda na USA hata English hujui, ulikuwa unaongea nini huko, useless man. Nyie ndio mnatfunya wabongo tuonekana wapuuzi ujuaji kwa story za vijiweni. Kama umewafika USA itakuwa USA river ya arusha
 
Jibu hoja sio kurekebisha grammar, ndio nimekosea kuweka 'the' typing error marekebisho yaonesha hata English hujui does not make clever ndio nini. Instead yakujiabisha na English jibu hoja kwa kiswahili
We bwege kweli. Hujui hata unachokosoa. Rekebisha hiyo yangu uoneshe imekosewa wapi.🤣blood nincompoop.
 
Sijui, ila Africa kusini ni sawa na mlima Kilimanjaro na Rwanda ni vimlima vya Usambara. Hivyo vimlima vitauweza mlima Kilimanjaro?
Uimara wa jeshi ni pamoja na;
1. Idadi au ukubwa wa jeshi
2. Ubora wa silaha na umahiri wa kuzitumia.
3. Bajeti ya jeshi.

Katika vyote hivi SA amempita Rwanda kwa mbali mnoo.
Kagame atulie kwanza
 
We bwege kweli. Hujui hata unachokosoa. Rekebisha hiyo yangu uoneshe imekosewa wapi.🤣blood nincompoop.
"does not make you clever' ndio proper grammar 'does not make clever'. Bado unataka kuendelea kujiabisha tu si bora ukae kimya Kuna umaana gani wa kijuvua nguo. Kama hujui tumia hata chatgpt bro. Eti ndio mtu yuko marekani. Kuanzia sasa na kuendelea comments zako ziwe English tuone ubora wako na mimi ntajibu English by the way nimekupa majibu yote kwanini hujibu hoja zangu
 
"does not make you clever' ndio proper grammar 'does not make clever'. Bado unataka kuendelea kujiabisha tu si bora ukae kimya Kuna umaana gani wa kijuvua nguo. Kama hujui tumia hata chatgpt bro. Eti ndio mtu yuko marekani. Kuanzia sasa na kuendelea comments zako ziwe English tuone ubora wako na mimi ntajibu English by the way nimekupa majibu yote kwanini hujibu hoja zangu
I didnt consider the subject of the sentence. My concern was on the article THE only. Otherwise thats the way it should be. When it comes to English language, i dont brag 😁 but most people here in America appreciate my skills.
 
I didnt consider the subject of the sentence. My concern was on the article THE only. Otherwise thats the way it should be. When it comes to English language, i dont brag 😁 but most people here in America appreciate my skills.
 
I didnt consider the subject of the sentence. My concern was on the article THE only. Otherwise thats the way it should be. When it comes to English language, i dont brag 😁 but most people here in America appreciate my skills.
If at all you live in America, skills has nothing to do with language especially if you are a janitor. Skilled janitors are obliged to talk less when cleaning. Infact people do not talk to janitors unless they are not doing their job properly. If you are really really in America, watch out bro Trump is coming for you! By the way, we are going off topic let's go back to our primary topic about Rwanda and South Africa
 
Navyokaona haka kajamaa kamti mkavu. Kanaweza zichukua hizi nchi zote hapa East Africa na hata Centre au nasema uongo? Unajua majeshi ya nchi ngapi yapo Congo? Yanachapika.

Wameshindwaje mfutilia mbali hawa jamaa? Inashangaza sana. Ilitakiwa hao M23 wawe wameshaisha na hawataki hata kujisikia wenyewe. Lakini wanatamba mpaka leo na Kagame hajifichi kuwa anashirikiana nao. Na bado wakimzingua anawazingua. Hamwogopi wowote, hacheki na wowote.

Wasiwasi wangu akiamua kuzitawala hizi nchi za EA. Si itakuwa balaaa? Tutawezana kweli?
Ur stupid
 
If at all you live in America, skills has nothing to do with language especially if you are a janitor. Skilled janitors are obliged to talk less when cleaning. Infact people do not talk to janitors unless they are not doing their job properly. If you are really really in America, watch out bro Trump is coming for you! By the way, we are going off topic let's go back to our primary topic about Rwanda and South Africa
Jelousy people never win.
If at all you live in America, skills has nothing to do with language especially if you are a janitor. Skilled janitors are obliged to talk less when cleaning. Infact people do not talk to janitors unless they are not doing their job properly. If you are really really in America, watch out bro Trump is coming for you! By the way, we are going off topic let's go back to our primary topic about Rwanda and South Africa
 
Hujui unachokiongea..
Msiichukulie SA kihivyo, Sisi tu wenyewe kwa SA tunapwaya,sembuse Rwanda.
 
Mara nyingi hizo rank zinaangaliaga bajet, mavifaa yako na mazaga mengine,,,ila vita ya msituni usiombee ukutane na wataalam na hilo eneo wao ndo wawe wenyeji...Mmarekani alipambana na Vietnam na ubabe wake wote ila ikafika mahali ikabidi aondoke tu sio kwamba alishindwa, ila ile kitu unajua umemaliza adui kumbe bado inatesa sana hadi unaamua mwenyewe unasepa, ndo kama M23 wakipatikana wanachapika unajua umemaliza kumbe wanarudi kujipanga wakikaa sawa wanarudi tena , kumaliza hizo vita ni ngumu hadi watu waamue kukubaliana kuyajenga................modern warfare imebase sana kwenye miji na jangwani bado hatujaona mapambano makubwa ya kivita msituni,,,,ndo maana unaweza ukawa na mavifaa ya kutosha ukienda kichwakichwa unakalishwa
Mtanzania HUWA anawezaje angalau kujitahidi mkuu.
 
Jelousy people never win.
Umeshindwa boya wewe useless man nenda kadeki huko. Hoja huwezi, English hujui umebaki kubweka tu nyeeenyee. I am more clever than you how could I be jealous to an ignoramus like you. We Osha deki vizuri omba tu Trump asikushike. Issue complex za Rwanda na South Africa tuachie sisi wenye uelewa mkubwa. We bishana kwenye topic za fagio moja linaweza fagia umbali gani kwa saa. Ni watu wangapi wanaweza Osha vyomba vya mgahawa siku nzimaa
 
Back
Top Bottom