Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Tuliza mshono wewe ChogoNitashukuru kama nitaonyesjwa invoice ya bei ya gari hiyo
Hatuna muda na ngonjera zako wewe hangaika KIVYAKOKwa Africa tulipofika saizi bora ukoloni kuliko haya yaliyopo na yanayoendelea saizi
Hao watoto si wenu inamuhusuje RC na Landcruiser yake, kuzaa mzae nyie mchoshe watu wengineSasa hizi shida huku chini zinatoka wapi kama watoto kukosa madawati ya kukalia,fire kuwa n.magari mawili ya kuzimia moto,nk
Aisee kweli jamaa ila akili hunaHao watoto si wenu inamuhusuje RC na Landcruiser yake, kuzaa mzae nyie mchoshe watu wengine
Mbona harusi mnachangia mpaka 300m TZS? Mnaona tabu gani Kiongozi akapanda gari zuri kama hilMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Labda Rais wa vikoba vyaama lishe hapo IkwiririNikiwa Rais naondoa huu upuuzi wa magari..kila mtu ajinunulie gari lake au adandie daladala..
Mbona wafanyakazi wengine wanatumia gharama zao kufika maeneo yao ya kazi?.
Gari zitakuwa chache tu na zitakuwa hazina mwenyewe..ukitokea uhitaji wa kusafiri kikazi ndo utatumika tu and not otherwise.
Hizi ndiyo akili za great thinker wa kileoHatuna muda na ngonjera zako wewe hangaika KIVYAKO
Niko Ulaya hizi gari hakuna hata moja.Kama hizo fedha zipo, why not?.
With all due respect Pascal 600 M for one car😳 let's check out the reality HIYO HELA HAKUNA. Piga mahesabu kuanzia DC, wabunge na wengineo wakitumia GXR bajeti tunayospendi kwenye magari KIASI Gani?
I saw an article from the Citizen where Tanzania is one amoung the countries which spend a lot of money for buying expensive cars to government officials
Wewe pambania na umachinga, Huna unachojuaView attachment 2476176
Huwa nafikiria kwanini viongozi wote wa serikali wasingekuwa wanatumia gari za hv,kwani hz ubaya wake ni nini
Uchangiaji wako umemlenga Magufuli kwa kiasi kikubwa, pathetic, the man has goneHuu upuuzi ulianza enzi za JK, ukakua zaidi kipindi cha Jiwe na sasa unaendelea.
Usimwamini Mwafrika ndugu.
Magufuli kwenye kampeni 2015 alisema ataondoa ma V8 na alipoingia ndiye aliyebariki mpaka ma DAS kuanza kutembelea ma V8.
Mungu-Mzungu-mwarabu-mwafrika-Sokwe
So whatUlaya hizi gari hakuna!
Huyo sio great thinker, ni njaa tu zimemvuluga akili, great thinker hawezi kubeza uzi kama huuHizi ndiyo akili za great thinker wa kileo
Go Fvvck yourself..Labda Rais wa vikoba vyaama lishe hapo Ikwiriri
Hawa ndiyo walamba miguu wenyeweHuyo sio great thinker, ni njaa tu zimemvuluga akili, great thinker hawezi kubeza uzi kama huu
ATEMBEE NA PUNDA hana umuhimu wowote katika mkoa au taifa. wapo watendaji yeye ni political figure tuSo mkuu wa mkoa atembelee gari gani?..pendekeza