Afrika tutapata maendeleo endapo tutawapa wazungu nafasi ya Urais na Mawaziri

Afrika tutapata maendeleo endapo tutawapa wazungu nafasi ya Urais na Mawaziri

Mi nafikiri mchakato wa upigaji kura maamuzi ya mwisho kura ya watu wote isiamue ushindi wa kiongozi. kwa sababu hawa wanasiasa wanatumia jamii kubwa ambayo haijaelimika kuingia madarakani kwa njia za rushwa na ulaghai.
 
Hapo vip!!

Huu ndio ukweli ulete hoja zako za kiafrika haiwezi kubadilisha huu ukweli.

Ukweli ni unadhihirishwa wazi na maendeleo ya Afrika tangu tuanze kupata uhuru..na kuna baadhi a nchi za wazungu walikuwa wapo chini kimaendeleo kuliko hizi nchi zetu za Afrika mfano sirilanka,maleysia n.k ila sasa waafrika wanaomba msaada kwao.

Ngozi nyeusi bado haiwezi kuleta maendeleo kwa haraka zaidi ya kukalia hizo nafsi kama kebichi tu.

Hapa utasikia wengine wakisema mara oo unajidharau kwenda huko..huo ndio ukweli. Mfano wa kweli, kuna muarabu mmoja alipewaga vichwa viwili vya scanya na muafrika ambaye alikuwa tajiri enzi hizo..yeye alikuwa na scanya kama 50.

Baada ya miaka 10 huyo muarabu akaja kuonana na huyu muafrika tajiri..akamuambia vip maendeleo ya biashara zako..muafrika akamuambia sasa hivi nina scanya 100, yule muarabu akasema pole kama kumuonea huruma hivi,mwarabu akamuambia sasa hivi yeye anascanya 500 magari madogo hawezi kuhesabu na anamakampuni kama 10.

Ila muarabu mwishowe akasema laiti Mungu angeonekana,waafrika nawashauri mumtafute mzee mwenye nywele nyeupe kichwani asiwe hata na nywele moja nyeusi,alafu ajiburuze kwa Mungu kwa kutumia makalio tena kwa unyenyekevu mkubwa akamuulize Mungu swali yakwamba Baba hivi sisi waafrika tumekukosea nini kwasababu sisi waafrika ni masikini sana na tunarasilimali za kutosha. NB hii ni story ya kweli.

Ndugu yangu,umasikini wanaoishi nao watanzani kwa asilimia 80 inachangiwa na aina viongozi na mifumo ya uongozi katika nchi. Hapa watakuja wakina kalume kenge watakuambia serikali haikuletee pesa wa kukuwekea mfukoni,au fanya kazi acha kulalamika haya ni hoja ya kisiasa ya kukwepa ualisi na ukweli.

Tanzania unaweza jituma kwenye biashara,kilimo,ufugaji,kusoma lakini mazingira sio rafiki kumsaport mtanzania anayejituma na kufanya kazi.

Mfano mdogo nibhu,Leo kijana wakitanzania anaweza kuanzisha biashara,akawa na plan kubwa katika biashara hiyo..kijana huyu akitaka mkopo wa millioni 5,10,20 na kundelea ataambiwa awe na nyumba,sasa huyu kijana katoka chuo juzi hiyo nyumba amejenga lini?

Huo ni mfano halisi..niishia hapo kwa kutoa huo mfano mrahisi.

Ila serikali bado haijawa sereous kuwasaidia watanzania kuondokana na umaskini..siasa ni nyingi sana kila mahali siasa na uchawi nadhani ni marafiki.
Inahitajika watu wenye hofu ya Mungu kushika madaraka tuone jinsi nchi itakavyonyooka.
 
Mkuu ina maana tangu uhuru hatujapata hao wenye akili? Mfano nchi yetu tu miaka 60 ya uhuru ni kipindi kirefu sana lakini hatuna uelekeo wowote kama taifa
Kwa hiyo tangu 1961 hakuna kilichofanyika.unaijua hii nchi ilivyokuwa mwaka 1961?narudia tena ardhi tunayo,watu tunao,tunahitaji siada Safi na uongozi bora.tuweke na ubinafsi pembeni.
 
Kwa hiyo tangu 1961 hakuna kilichofanyika.unaijua hii nchi ilivyokuwa mwaka 1961?narudia tena ardhi tunayo,watu tunao,tunahitaji siada Safi na uongozi bora.tuweke na ubinafsi pembeni.
Image ngozi nyeusi miaka 50 imeshindwa kupata siasa safi na uongozi bora..sasa inaweza nini?
 
Tunatia huruma sana. Nenda Zimbabwe ndio utaona huruma kwamba mwafrika kujitawala bado sana.
Hili nchi ya Zimbabwe wameiaribu mpaka inakatisha tamaa. South Afrika ilikuwa kama Europe lakini huko tuendako sijui itakuaje. Rais mzima anaenda kuficha pess shambani. Waliachiwa SA ikiwa na ndege nzuri tu ukiambiwa sasa hivi imekufa huwezi kuamini. Miafrika shida sana. Utakuta mtu ni profesor lakini yuko kwa waganga kutafuta cheo. Shida kabisa.
Nimechk kimbwa .hasa hii inayfndsh chuo ni mishirkina kweli. Kaz kuandk vijarida tu kuvmbua ndo haiwez . Hodar wa makongamano
 
Nimechk kimbwa .hasa hii inayfndsh chuo ni mishirkina kweli. Kaz kuandk vijarida tu kuvmbua ndo haiwez . Hodar wa makongamano
Sasa yule jamaa wa Iramba amewahi kuifanyia nini hii nchi kinachoonekana na amekuwa waziri maranyingi..zaidi ya ule mdomo wa kinyeremba na majungu.
 
Hapo vip!!

Huu ndio ukweli ulete hoja zako za kiafrika haiwezi kubadilisha huu ukweli.

Ukweli ni unadhihirishwa wazi na maendeleo ya Afrika tangu tuanze kupata uhuru..na kuna baadhi a nchi za wazungu walikuwa wapo chini kimaendeleo kuliko hizi nchi zetu za Afrika mfano sirilanka,maleysia n.k ila sasa waafrika wanaomba msaada kwao.

Ngozi nyeusi bado haiwezi kuleta maendeleo kwa haraka zaidi ya kukalia hizo nafasi kama kebichi tu.

Hapa utasikia wengine wakisema mara oo unajidharau kwenda huko..huo ndio ukweli. Mfano wa kweli, kuna muarabu mmoja alipewaga vichwa viwili vya scanya na muafrika ambaye alikuwa tajiri enzi hizo..yeye alikuwa na scanya kama 50.

Baada ya miaka 10 huyo muarabu akaja kuonana na huyu muafrika tajiri..akamuambia vip maendeleo ya biashara zako..muafrika akamuambia sasa hivi nina scanya 100, yule muarabu akasema pole kama kumuonea huruma hivi,mwarabu akamuambia sasa hivi yeye anascanya 500 magari madogo hawezi kuhesabu na anamakampuni kama 10.

Ila muarabu mwishowe akasema laiti Mungu angeonekana,waafrika nawashauri mumtafute mzee mwenye nywele nyeupe kichwani asiwe hata na nywele moja nyeusi,alafu ajiburuze kwa Mungu kwa kutumia makalio tena kwa unyenyekevu mkubwa akamuulize Mungu swali yakwamba Baba hivi sisi waafrika tumekukosea nini kwasababu sisi waafrika ni masikini sana na tunarasilimali za kutosha. NB hii ni story ya kweli.

Ndugu yangu,umasikini wanaoishi nao watanzani kwa asilimia 80 inachangiwa na aina viongozi na mifumo ya uongozi katika nchi. Hapa watakuja wakina kalume kenge watakuambia serikali haikuletee pesa wa kukuwekea mfukoni,au fanya kazi acha kulalamika haya ni hoja ya kisiasa ya kukwepa ualisi na ukweli.

Tanzania unaweza jituma kwenye biashara,kilimo,ufugaji,kusoma lakini mazingira sio rafiki kumsaport mtanzania anayejituma na kufanya kazi.

Mfano mdogo nibhu,Leo kijana wakitanzania anaweza kuanzisha biashara,akawa na plan kubwa katika biashara hiyo..kijana huyu akitaka mkopo wa millioni 5,10,20 na kundelea ataambiwa awe na nyumba,sasa huyu kijana katoka chuo juzi hiyo nyumba amejenga lini?

Huo ni mfano halisi..niishia hapo kwa kutoa huo mfano mrahisi.

Ila serikali bado haijawa sereous kuwasaidia watanzania kuondokana na umaskini..siasa ni nyingi sana kila mahali siasa na uchawi nadhani ni marafiki.
Wajerumani walitawala hapa 1885-1919 miaka 34
Waingereza wakashika hatamu kwa miaka 42 (jumla miaka 76)
Tokea tumepata uhuru mpaka sasa tuna miaka 63.

Tulinganishe wakati wa mkoloni mzungu huduma za kijamii afya, elimu, barabara, reli, meli vs watawala weusi (JKN, AHM, BWM, JMK, JPM & SSH) hali ikoje?

Ninakumbuka mpaka 2007 tulikuwa tukitoka Dar kwenda Mwanza tunapitia Arusha/Namanga/Nairobi/Sirari/Mwanza waenda Bukoba walilazimika mpaka kupitia Kampala then Mutukula to BK.

Mzungu sio mwema kiviiilee. Hata bondeni, kuna neema miji wanayoishi watasha, ila kule kwenye makazi ya weusi wamechoka tu.

Wazungu sio wema sana kama inavyodhaniwa! Nenda hata Kahama, Nyamongo au Geita kwenye uwekezaji wa migodi mikubwa ya kukwapua dhahabu, hali sio ya "neema" kama inavyodhaniwa!
 
Kwa kweli lipelekwe Ombi sijui tamko kuwa kutokana na tatizo la kiuongozi tangu nyakati za Ukombozi wa Afrika na Uhuru hadi imeonekana kushindwa kuleta maendeleo kabisa kama ilivyotarajiea,

Maendeleo interms of democracy hakuna bali ni ghiliba na hila tu

Maendeleo ya kiuchumi hali ni mbaya hairidhishi hata kidogo.

Hakuna eneo lenye afadhali.

Waje watuongoze kwa muongo kadhaa hata mitano tu Kisha waturejeshee wenyewe tutakuwa tumejifunza kutoka kwao na watanzania watakuwa wameamka kwenye usingizi wa pono walolala sababu ya ujinga na kutojitambua.
 
Kama rasilimali żazinakabidhiwa wageni Basi uongozi waje wazungu watuongoze kwa miaka 50 tu kwanza na watubadilishie mifumo kama vile ya elimu ili wananchi wajue kujitambua na kuepuka ujinga na unafiki.
 
Kina Lisu waandike hiyo hoja waipeleke UN ikajadiliwe Kisha upatikane mrejesho kwa wananchi.

Sababu failures ni kubwa na dhahiri.
 
Maneno ya trump yanaishi[emoji17][emoji17][emoji3]
 
Hata hivyo Hiyo mikopo wanayokopa hayo matrilioni baada ya muda masharti yake ya kuifuta itamgharimu Taifa , na nchi nyingi za Africa zikikutwa hivyo azimio litakuwa la kuja kuwaongoza.

Kwa hiyo this time tunakuwa radhi wenyewe waje kutuongoza haitakuwa kututawala bali itakuwa kutuongoza.
 
Hapo vip!!

Huu ndio ukweli ulete hoja zako za kiafrika haiwezi kubadilisha huu ukweli.

Ukweli ni unadhihirishwa wazi na maendeleo ya Afrika tangu tuanze kupata uhuru..na kuna baadhi a nchi za wazungu walikuwa wapo chini kimaendeleo kuliko hizi nchi zetu za Afrika mfano sirilanka,maleysia n.k ila sasa waafrika wanaomba msaada kwao.

Ngozi nyeusi bado haiwezi kuleta maendeleo kwa haraka zaidi ya kukalia hizo nafasi kama kebichi tu.

Hapa utasikia wengine wakisema mara oo unajidharau kwenda huko..huo ndio ukweli. Mfano wa kweli, kuna muarabu mmoja alipewaga vichwa viwili vya scanya na muafrika ambaye alikuwa tajiri enzi hizo..yeye alikuwa na scanya kama 50.

Baada ya miaka 10 huyo muarabu akaja kuonana na huyu muafrika tajiri..akamuambia vip maendeleo ya biashara zako..muafrika akamuambia sasa hivi nina scanya 100, yule muarabu akasema pole kama kumuonea huruma hivi,mwarabu akamuambia sasa hivi yeye anascanya 500 magari madogo hawezi kuhesabu na anamakampuni kama 10.

Ila muarabu mwishowe akasema laiti Mungu angeonekana,waafrika nawashauri mumtafute mzee mwenye nywele nyeupe kichwani asiwe hata na nywele moja nyeusi,alafu ajiburuze kwa Mungu kwa kutumia makalio tena kwa unyenyekevu mkubwa akamuulize Mungu swali yakwamba Baba hivi sisi waafrika tumekukosea nini kwasababu sisi waafrika ni masikini sana na tunarasilimali za kutosha. NB hii ni story ya kweli.

Ndugu yangu,umasikini wanaoishi nao watanzani kwa asilimia 80 inachangiwa na aina viongozi na mifumo ya uongozi katika nchi. Hapa watakuja wakina kalume kenge watakuambia serikali haikuletee pesa wa kukuwekea mfukoni,au fanya kazi acha kulalamika haya ni hoja ya kisiasa ya kukwepa ualisi na ukweli.

Tanzania unaweza jituma kwenye biashara,kilimo,ufugaji,kusoma lakini mazingira sio rafiki kumsaport mtanzania anayejituma na kufanya kazi.

Mfano mdogo nibhu,Leo kijana wakitanzania anaweza kuanzisha biashara,akawa na plan kubwa katika biashara hiyo..kijana huyu akitaka mkopo wa millioni 5,10,20 na kundelea ataambiwa awe na nyumba,sasa huyu kijana katoka chuo juzi hiyo nyumba amejenga lini?

Huo ni mfano halisi..niishia hapo kwa kutoa huo mfano mrahisi.

Ila serikali bado haijawa sereous kuwasaidia watanzania kuondokana na umaskini..siasa ni nyingi sana kila mahali siasa na uchawi nadhani ni marafiki.
Unajua hata maana ya Maendeleo kwanza kabla ya kuandika upumbavu?
 
Elimu bora kwa kila MTANZANIA, Watanzania wote wakielimika hatutoona upuuzi tena Mkuu.

TUNAPELEKESHWA KWASABABU ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA HAWANA ELIMU WALA UFAHAMU WA HAKI ZAO.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kwa mtaala huu au mtaala mwingne
 
Muafrica awez kusimamia na kusimamia wengine

Boss anakula ganji na watu wa chini sasa apo kitaeleweka kweli
 
Back
Top Bottom