Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahitajika watu wenye hofu ya Mungu kushika madaraka tuone jinsi nchi itakavyonyooka.Hapo vip!!
Huu ndio ukweli ulete hoja zako za kiafrika haiwezi kubadilisha huu ukweli.
Ukweli ni unadhihirishwa wazi na maendeleo ya Afrika tangu tuanze kupata uhuru..na kuna baadhi a nchi za wazungu walikuwa wapo chini kimaendeleo kuliko hizi nchi zetu za Afrika mfano sirilanka,maleysia n.k ila sasa waafrika wanaomba msaada kwao.
Ngozi nyeusi bado haiwezi kuleta maendeleo kwa haraka zaidi ya kukalia hizo nafsi kama kebichi tu.
Hapa utasikia wengine wakisema mara oo unajidharau kwenda huko..huo ndio ukweli. Mfano wa kweli, kuna muarabu mmoja alipewaga vichwa viwili vya scanya na muafrika ambaye alikuwa tajiri enzi hizo..yeye alikuwa na scanya kama 50.
Baada ya miaka 10 huyo muarabu akaja kuonana na huyu muafrika tajiri..akamuambia vip maendeleo ya biashara zako..muafrika akamuambia sasa hivi nina scanya 100, yule muarabu akasema pole kama kumuonea huruma hivi,mwarabu akamuambia sasa hivi yeye anascanya 500 magari madogo hawezi kuhesabu na anamakampuni kama 10.
Ila muarabu mwishowe akasema laiti Mungu angeonekana,waafrika nawashauri mumtafute mzee mwenye nywele nyeupe kichwani asiwe hata na nywele moja nyeusi,alafu ajiburuze kwa Mungu kwa kutumia makalio tena kwa unyenyekevu mkubwa akamuulize Mungu swali yakwamba Baba hivi sisi waafrika tumekukosea nini kwasababu sisi waafrika ni masikini sana na tunarasilimali za kutosha. NB hii ni story ya kweli.
Ndugu yangu,umasikini wanaoishi nao watanzani kwa asilimia 80 inachangiwa na aina viongozi na mifumo ya uongozi katika nchi. Hapa watakuja wakina kalume kenge watakuambia serikali haikuletee pesa wa kukuwekea mfukoni,au fanya kazi acha kulalamika haya ni hoja ya kisiasa ya kukwepa ualisi na ukweli.
Tanzania unaweza jituma kwenye biashara,kilimo,ufugaji,kusoma lakini mazingira sio rafiki kumsaport mtanzania anayejituma na kufanya kazi.
Mfano mdogo nibhu,Leo kijana wakitanzania anaweza kuanzisha biashara,akawa na plan kubwa katika biashara hiyo..kijana huyu akitaka mkopo wa millioni 5,10,20 na kundelea ataambiwa awe na nyumba,sasa huyu kijana katoka chuo juzi hiyo nyumba amejenga lini?
Huo ni mfano halisi..niishia hapo kwa kutoa huo mfano mrahisi.
Ila serikali bado haijawa sereous kuwasaidia watanzania kuondokana na umaskini..siasa ni nyingi sana kila mahali siasa na uchawi nadhani ni marafiki.
Ni hatariKama watazaa watoto wenye akili kama za Makonda ni bora kumpa mtasha akusaidie. I am serious! Kuzaa mtoto mwenye akili kama za Makonda ni laana!
Kwa hiyo tangu 1961 hakuna kilichofanyika.unaijua hii nchi ilivyokuwa mwaka 1961?narudia tena ardhi tunayo,watu tunao,tunahitaji siada Safi na uongozi bora.tuweke na ubinafsi pembeni.Mkuu ina maana tangu uhuru hatujapata hao wenye akili? Mfano nchi yetu tu miaka 60 ya uhuru ni kipindi kirefu sana lakini hatuna uelekeo wowote kama taifa
Image ngozi nyeusi miaka 50 imeshindwa kupata siasa safi na uongozi bora..sasa inaweza nini?Kwa hiyo tangu 1961 hakuna kilichofanyika.unaijua hii nchi ilivyokuwa mwaka 1961?narudia tena ardhi tunayo,watu tunao,tunahitaji siada Safi na uongozi bora.tuweke na ubinafsi pembeni.
Nimechk kimbwa .hasa hii inayfndsh chuo ni mishirkina kweli. Kaz kuandk vijarida tu kuvmbua ndo haiwez . Hodar wa makongamanoTunatia huruma sana. Nenda Zimbabwe ndio utaona huruma kwamba mwafrika kujitawala bado sana.
Hili nchi ya Zimbabwe wameiaribu mpaka inakatisha tamaa. South Afrika ilikuwa kama Europe lakini huko tuendako sijui itakuaje. Rais mzima anaenda kuficha pess shambani. Waliachiwa SA ikiwa na ndege nzuri tu ukiambiwa sasa hivi imekufa huwezi kuamini. Miafrika shida sana. Utakuta mtu ni profesor lakini yuko kwa waganga kutafuta cheo. Shida kabisa.
Sasa yule jamaa wa Iramba amewahi kuifanyia nini hii nchi kinachoonekana na amekuwa waziri maranyingi..zaidi ya ule mdomo wa kinyeremba na majungu.Nimechk kimbwa .hasa hii inayfndsh chuo ni mishirkina kweli. Kaz kuandk vijarida tu kuvmbua ndo haiwez . Hodar wa makongamano
Wajerumani walitawala hapa 1885-1919 miaka 34Hapo vip!!
Huu ndio ukweli ulete hoja zako za kiafrika haiwezi kubadilisha huu ukweli.
Ukweli ni unadhihirishwa wazi na maendeleo ya Afrika tangu tuanze kupata uhuru..na kuna baadhi a nchi za wazungu walikuwa wapo chini kimaendeleo kuliko hizi nchi zetu za Afrika mfano sirilanka,maleysia n.k ila sasa waafrika wanaomba msaada kwao.
Ngozi nyeusi bado haiwezi kuleta maendeleo kwa haraka zaidi ya kukalia hizo nafasi kama kebichi tu.
Hapa utasikia wengine wakisema mara oo unajidharau kwenda huko..huo ndio ukweli. Mfano wa kweli, kuna muarabu mmoja alipewaga vichwa viwili vya scanya na muafrika ambaye alikuwa tajiri enzi hizo..yeye alikuwa na scanya kama 50.
Baada ya miaka 10 huyo muarabu akaja kuonana na huyu muafrika tajiri..akamuambia vip maendeleo ya biashara zako..muafrika akamuambia sasa hivi nina scanya 100, yule muarabu akasema pole kama kumuonea huruma hivi,mwarabu akamuambia sasa hivi yeye anascanya 500 magari madogo hawezi kuhesabu na anamakampuni kama 10.
Ila muarabu mwishowe akasema laiti Mungu angeonekana,waafrika nawashauri mumtafute mzee mwenye nywele nyeupe kichwani asiwe hata na nywele moja nyeusi,alafu ajiburuze kwa Mungu kwa kutumia makalio tena kwa unyenyekevu mkubwa akamuulize Mungu swali yakwamba Baba hivi sisi waafrika tumekukosea nini kwasababu sisi waafrika ni masikini sana na tunarasilimali za kutosha. NB hii ni story ya kweli.
Ndugu yangu,umasikini wanaoishi nao watanzani kwa asilimia 80 inachangiwa na aina viongozi na mifumo ya uongozi katika nchi. Hapa watakuja wakina kalume kenge watakuambia serikali haikuletee pesa wa kukuwekea mfukoni,au fanya kazi acha kulalamika haya ni hoja ya kisiasa ya kukwepa ualisi na ukweli.
Tanzania unaweza jituma kwenye biashara,kilimo,ufugaji,kusoma lakini mazingira sio rafiki kumsaport mtanzania anayejituma na kufanya kazi.
Mfano mdogo nibhu,Leo kijana wakitanzania anaweza kuanzisha biashara,akawa na plan kubwa katika biashara hiyo..kijana huyu akitaka mkopo wa millioni 5,10,20 na kundelea ataambiwa awe na nyumba,sasa huyu kijana katoka chuo juzi hiyo nyumba amejenga lini?
Huo ni mfano halisi..niishia hapo kwa kutoa huo mfano mrahisi.
Ila serikali bado haijawa sereous kuwasaidia watanzania kuondokana na umaskini..siasa ni nyingi sana kila mahali siasa na uchawi nadhani ni marafiki.
Image ngozi nyeusi miaka 50 imeshindwa kupata siasa safi na uongozi bora..sasa inaweza nini?
Mpaka sasa hawana elimu ??Suluhisho ni Elimu tu.
WATANZANIA WAKIPATA ELIMU BASI KILAKITU KITAENDA SAWA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Unajua hata maana ya Maendeleo kwanza kabla ya kuandika upumbavu?Hapo vip!!
Huu ndio ukweli ulete hoja zako za kiafrika haiwezi kubadilisha huu ukweli.
Ukweli ni unadhihirishwa wazi na maendeleo ya Afrika tangu tuanze kupata uhuru..na kuna baadhi a nchi za wazungu walikuwa wapo chini kimaendeleo kuliko hizi nchi zetu za Afrika mfano sirilanka,maleysia n.k ila sasa waafrika wanaomba msaada kwao.
Ngozi nyeusi bado haiwezi kuleta maendeleo kwa haraka zaidi ya kukalia hizo nafasi kama kebichi tu.
Hapa utasikia wengine wakisema mara oo unajidharau kwenda huko..huo ndio ukweli. Mfano wa kweli, kuna muarabu mmoja alipewaga vichwa viwili vya scanya na muafrika ambaye alikuwa tajiri enzi hizo..yeye alikuwa na scanya kama 50.
Baada ya miaka 10 huyo muarabu akaja kuonana na huyu muafrika tajiri..akamuambia vip maendeleo ya biashara zako..muafrika akamuambia sasa hivi nina scanya 100, yule muarabu akasema pole kama kumuonea huruma hivi,mwarabu akamuambia sasa hivi yeye anascanya 500 magari madogo hawezi kuhesabu na anamakampuni kama 10.
Ila muarabu mwishowe akasema laiti Mungu angeonekana,waafrika nawashauri mumtafute mzee mwenye nywele nyeupe kichwani asiwe hata na nywele moja nyeusi,alafu ajiburuze kwa Mungu kwa kutumia makalio tena kwa unyenyekevu mkubwa akamuulize Mungu swali yakwamba Baba hivi sisi waafrika tumekukosea nini kwasababu sisi waafrika ni masikini sana na tunarasilimali za kutosha. NB hii ni story ya kweli.
Ndugu yangu,umasikini wanaoishi nao watanzani kwa asilimia 80 inachangiwa na aina viongozi na mifumo ya uongozi katika nchi. Hapa watakuja wakina kalume kenge watakuambia serikali haikuletee pesa wa kukuwekea mfukoni,au fanya kazi acha kulalamika haya ni hoja ya kisiasa ya kukwepa ualisi na ukweli.
Tanzania unaweza jituma kwenye biashara,kilimo,ufugaji,kusoma lakini mazingira sio rafiki kumsaport mtanzania anayejituma na kufanya kazi.
Mfano mdogo nibhu,Leo kijana wakitanzania anaweza kuanzisha biashara,akawa na plan kubwa katika biashara hiyo..kijana huyu akitaka mkopo wa millioni 5,10,20 na kundelea ataambiwa awe na nyumba,sasa huyu kijana katoka chuo juzi hiyo nyumba amejenga lini?
Huo ni mfano halisi..niishia hapo kwa kutoa huo mfano mrahisi.
Ila serikali bado haijawa sereous kuwasaidia watanzania kuondokana na umaskini..siasa ni nyingi sana kila mahali siasa na uchawi nadhani ni marafiki.
Kwa mtaala huu au mtaala mwingneElimu bora kwa kila MTANZANIA, Watanzania wote wakielimika hatutoona upuuzi tena Mkuu.
TUNAPELEKESHWA KWASABABU ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA HAWANA ELIMU WALA UFAHAMU WA HAKI ZAO.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue