Afrika tutapata maendeleo endapo tutawapa wazungu nafasi ya Urais na Mawaziri

Afrika tutapata maendeleo endapo tutawapa wazungu nafasi ya Urais na Mawaziri

Ile miaka zaidi ya 400 yautumwa ilichukua vitu vingi sana kwa wajukuu wa hili bara la Africa na sasa wajukuu ndio tunapitia malipo ya muingiliano wa kipindi kile cha utumwa.

Wale machoko wangetuacha tuendelee na ratiba zetu tungeshakuwa imara hadi miaka hii tungekuwa tumeshapiga hatua nakuwa WAKANDA CONTINENT.

Ila tusikate tamaa raia wangu hii vita bado mbichi sana na tukituliza vichwa tutatoboa me ninawakubali sana young blood wenzangu wa kitanzania na kiafrika. Tutatoboa MUNGU anatutazama maana sisi hatuna hatia na hii dhuluma tunayofanyiwa wala hatujachangia kuileta.


Haya mazee yaliyopo serikalini dawa yao inachemka.
Hoyo mazee ya serikalini yameanza kupandikiza chipukizi (matoto yao)
 
hapo kwenye wenyeji ni uraia/citizenship,,IPO hivi hapo kuna kitu kinaitwa ufalme wa mbinguni

Tulipotawaliwa na waingereza kwamfano tulikuwa ni raia wa ufalme wa uingereza japokuwa tulikuwa mbali na uingereza kama koloni Lao.

Haina maana ya kwenda mbinguni kuishi Bali sisi ni raia wa mbinguni tukiwa duniani

Tunachotakiwa kufanya ni mapenzi ya mbinguni yaje duniani kupitia sisi,na sio sisi kwenda mbinguni..

Ufalme wa uingereza haukuhitaji mtu yeyote kutoka kwenye koloni aende uingereza Bali kila mtu kwenye makoloni awe kama muingereza.. aongee kiingereza,avae kiingereza,ale kiingereza,aabudu kiingereza n.k
hujawahi kujiuliza juu ya maisha baada ya kifo ee


YESU NI MWOKOZI
 
Back
Top Bottom