Afunga ndoa na wanawake watatu kwa mkupuo. Jamaa atafaidi sana

Afunga ndoa na wanawake watatu kwa mkupuo. Jamaa atafaidi sana

Alivyo kauzu sasa kama vile hatasaidiw kazi na Vijana WA hovyo
Yengayenga Hongera Umesimama Na Dini Ya Haki Inavyotaka
Naona Wake Zake Wanakula Chap Hapo Utakuta Wote Wanalala Kitanda Kimoja


Sheikh Aliyefungisha Ndoa Hiyo Aitwe Bungeni Chap Akapongezwe Haraka
Mchango Wake Ni Mkubwa
Alivyo kauzu sasa kama vile hatasaidiw kazi na Vijana WA hovyo
 
Mmenikumbusha Javan,sijui aliishia wapi na wakeze.
17586712_1372585116154718_3536750588656091136_n-545x545.jpg
 
ATHUMANI Yengayenga (35), mkazi wa Shanwe Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, amewashangaza watu wengi kwa kuamua kufunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja huku akidai lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo.

Anauwezo WA kupeleka moto sawasawa?

Au ndo Hadi jirani aingilie kati?
 
ATHUMANI Yengayenga (35), mkazi wa Shanwe Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, amewashangaza watu wengi kwa kuamua kufunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja huku akidai lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo.

Kwanza hapo ajenge nyumba kubwa moja TU,

Chumba chake kiwe kipana sana chenye choo na bafu,Swimming pull,

Na kitanda achongeshe kikubwa zaidi na godoro la inchi 12 .

Kisha na TV smart na deki ,Aangalie style mbali mbali za kuwapelekea moto mkali.

Ikibidi na vumbi la mkongo lihusishwe😄😄😄
 
Back
Top Bottom