Afunga ndoa na wanawake watatu kwa mkupuo. Jamaa atafaidi sana

Afunga ndoa na wanawake watatu kwa mkupuo. Jamaa atafaidi sana

mama D inashabikia huu upuuzi, halafu kesho unasimama kwenye jukwaa unadai equal gender opportunities and rights . Huu ni unyanyasaji na udhalilishaji wa kijinsia wa Hali ya juu. Hao wanawake wamekubali kwa sababu ya umaskini wa Mali na fikra. Unadhani wangetoka familia za kiislamu haswa na za kisomi na wazazi wanaojielewa wangekubali huu udhalilishaji..
Kila mwanamke anahitaji kua na mume mmoja tu.
Acha wivu na husda...yange yange dini na imani yake inamruhusu kufanya hivyo, na yange yange sio mtu wa kwanza kufanya hivyo, mimi natamani kufanya hivyo sema tu sina huo uwezo wa kifedha
 
ATHUMANI Yengayenga (35), mkazi wa Shanwe Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, amewashangaza watu wengi kwa kuamua kufunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja huku akidai lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo.

afaidi wapi wewe???...labda awaroge,,,lakini akiwaacha ivivi alaf wakaungana wakawa ki2 kimoja,,,jamaa atahamia mitaro y amnazi mmoja kama geto lake jipya!!!!!wewe mwangalie huyu mwanamke wa mwisho kabisa upande wakulia,,,mtazame kwa makini utagundua ki2!!!
 
Anatekeleza agizo la nani?
===
Kongore kwake. Na abarikiwe kwa imani yake.
 
Kwanza hapo ajenge nyumba kubwa moja TU,

Chumba chake kiwe kipana sana chenye choo na bafu,Swimming pull,

Na kitanda achongeshe kikubwa zaidi na godoro la inchi 12 .

Kisha na TV smart na deki ,Aangalie style mbali mbali za kuwapelekea moto mkali.

Ikibidi na vumbi la mkongo lihusishwe[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo.......
 
Tukiweka Kando udini,

Si rahisi kuwatimizia wote watatu haki yao kila siku...Kila wakati wanapohitaji

Mke mmoja anatosha kabisa.
Zingine ni tamaa tu.
 
Back
Top Bottom