King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
YangeYange na kakulukulu wasituzengue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna vichwa viwili kumbuka , kichwa cha chin hakiridhiki ila cha juu kinaweza ridhika.Tatizo hamridhiki hata mpewe wanawake 10 ukimuona mwingine tayari ushaonyesha interest...hovyo.
Kula bia Acha kutazama jamii.Ni ulevi wa ngono tu..
Halafu mimi nikinunua kreti za bia zikiwa ndani jamii inanishangaa wakati mlevi ni mlevi tu.
Sure.Kuoa wake wengi ni kuongeza umaskini kwenye jamii
Vijana wamearibiwa na kamari.Jamaa atafaidi sana
Hujamsikiliza Target yake sio kufaidi target yake ni kubaki na mmoja wengine wakimkimbia maana mwanzo alioa mmoja akamkimbia, sasa kaona aoe watatu ili hata wawili wakimkimbia atabakia na mmoja
Tina ya zinaa kwa mwanaume,vipi mwanamke?Hiyo ndo tiba ya kufanya zina, kwasbb mda wako wote unatumka kwa hao tu.
Hamu ya mwanamke kwa ngono ni ndogo hamu yao ni pesa na mavaziTina ya zinaa kwa mwanaume,vipi mwanamke?
Ndio walivyosema wenyewe?Hamu ya mwanamke kwa ngono ni ndogo hamu yao ni pesa na mavazi
Kwani we me au ke usio jua hilo mpaka waseme waoNdio walivyosema wenyewe?
Hahaha.Anajiweza mwamba
Ingekua Mtwara kurushwa kichurachura na wanawake watatu 😀😅😅Wale wanaume wa Mtwara wanaorukishwa kichurachura wanaferi wapi?
Hamu ya mwanamke kwa ngono ni ndogo hamu yao ni pesa na mavazi
Atakuwa na mawe au kawapumbaza kwa miti shamba hao hakuna cha dini hapo asingezini na kuzaa nje ya ndoa.Dini inaruhusu
Stupidity yake hapo inatoka wapi wakati ndio ukweli wa mambo?The level of stupidity in your comment is toxic!