Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasumbuliwa na pepo la ngono tu huyo!!ATHUMANI Yengayenga (35), mkazi wa Shanwe Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, amewashangaza watu wengi kwa kuamua kufunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja huku akidai lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo.
acha wivu sasa..... baki na wako tu....
nilikua naitafuta hii komenti [emoji16]Dah 4some ileeeee,walai napata uchungu sijui nafeli wapi.
Sasa nikujibu vipi mpendwa kutoka jamii forum?Hela unazo. Huna nguvu pendwa ama unatawaliwa na mke wako.
"Foursome" ya ukweli.Hallooo , jamaa anaonekana yupo kikaz zaid .
Mbus... tatu bed moja so mchezroo
Si Ndio apo mtu anaenda kumwaga bone narrow"Foursome" ya ukweli.
Hata mwenye mke 1 hanasaidiwaAnaona ufahari subiri bodaboda wamsaidie majukumu