Afunga ndoa na wanawake watatu kwa mkupuo. Jamaa atafaidi sana

Alivyo kauzu sasa kama vile hatasaidiw kazi na Vijana WA hovyo
Yengayenga Hongera Umesimama Na Dini Ya Haki Inavyotaka
Naona Wake Zake Wanakula Chap Hapo Utakuta Wote Wanalala Kitanda Kimoja


Sheikh Aliyefungisha Ndoa Hiyo Aitwe Bungeni Chap Akapongezwe Haraka
Mchango Wake Ni Mkubwa
Alivyo kauzu sasa kama vile hatasaidiw kazi na Vijana WA hovyo
 
Anauwezo WA kupeleka moto sawasawa?

Au ndo Hadi jirani aingilie kati?
 
Kwanza hapo ajenge nyumba kubwa moja TU,

Chumba chake kiwe kipana sana chenye choo na bafu,Swimming pull,

Na kitanda achongeshe kikubwa zaidi na godoro la inchi 12 .

Kisha na TV smart na deki ,Aangalie style mbali mbali za kuwapelekea moto mkali.

Ikibidi na vumbi la mkongo lihusishwe😄😄😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…