Afunga ndoa na wanawake watatu kwa mkupuo. Jamaa atafaidi sana

Ukitaka kujua akili ya mwanaume siyo kuwa na pesa, hapana bali ni jinsi gani anaweza kumiliki wake wengi kwa wakati mmoja
 
Jamaa atafaidi sana

Hujamsikiliza Target yake sio kufaidi target yake ni kubaki na mmoja wengine wakimkimbia maana mwanzo alioa mmoja akamkimbia, sasa kaona aoe watatu ili hata wawili wakimkimbia atabakia na mmoja
Vijana wamearibiwa na kamari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…