Afungwa jela kwa kosa la kumlawiti mkewe kama adhabu anapokosea

Afungwa jela kwa kosa la kumlawiti mkewe kama adhabu anapokosea

Mahakama ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imemtia hatiani Dickson Mbwilo (42), mkazi wa Kitelewasi na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumlawiti mke wake.

Kulingana na maelezo ya mwanamke huyo mwenye umri wa miaka (32), mumewe alikuwa akimfanyia kitendo hicho pale anapokuwa amekosea ili iwe ndiyo adhabu yake hali ambayo ilimsababishia sehemu zake za siri kuharibika vibaya.

Hata hivyo, mpaka kufikia hatua ya Mbwilo kutiwa hatiani na kufungwa, mlalamikaji hakuwahi kufika kortini kutoa ushahidi wake, isipokuwa Mahakama iliamua kuegemea maelezo yake aliyokuwa ameyaandika Polisi.

Hukumu hiyo ilitolewa Machi 6, 2024 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Benedict Nkomola na nakala yake kupatikana Machi 12, ikisema ushahidi uliotolewa umethibitisha mashtaka dhidi ya Mbwilo.

Hakimu amesema katika kesi ya jinai, maelezo ya malalamikaji yanaweza yakatumika kama sehemu ya ushahidi kwa kuwa sheria ya ushahidi inatoa utaratibu wa kushughulika na kesi ambazo mlalamikaji atakuwa hapatikani kutoa ushahidi.
Hatari tena sana
 
Hukumu inafikilisha sana, inaonekana Kuna kitu hapo!! Lkn sasa naanza kupata picha kwa Nini mikoa ya huko kiwango Cha maambukizi ya HIV Kiko juu sana.

Aisee wanyaru wanawatafuna sana ndogo wake zao na kwa kumbukumbu zangu kumekua na kesi nyingi sana za aina hii huko njombe na iringa
 
Siungi mkono vitendo alivyokuwa akifanyiwa na mmewe! Kwa hiyo adhabu iliyotolewa ni stahiki yake!
 
Hii kesi waichunguze kwa umakini ina walakini. Wakinga hawana tabia za kufumuana marinda.!!
Hao siyo wakinga.
Wilaya hiyo ni Wahehe au Wabena.
Lakini miaka hii kitendo hicho kimepata umaarufu kwenye makabila mengi.
Mungu anusuru kizazi chetu
 
Hii kesi mbona kama ina walakini?Au ni mimi tu naona kuna kitu kinakosekana?Rafiki yangu mmoja aliwahi kuandikiwa Kesi na Polisi ya Kumlawiti Mpenzi wake mpaka ripoti ya dakatari ikatengenezwa kwamba alipompima alikuwa ndivyosivyo.Huyu bwana Mbwilo atakuwa amejifunzia wapi hio tabia?
Huyo bwana kapita njia sio zake WAHUNI
Wamemuonesha kwamba wao wanawatu
 
Nikikuta umechelewa kupika kifiro
Nikikuta unachat na wanaume wengine kifiro
Nikiacha hela ya nyama nikakuta maharagwe kifiro.
Ukichelewa kujib txt kifiro
Daaaaah!!! Kwa hawa dada zetu wa mjini, atajitahidi kila siku akoseee
[emoji16][emoji16]
 
Amekwambia alikuwa anaona raha?

Nyie ndio tunawaita “abuse apologists”

Kuna sababu kadha wa kadha zinazoweza kumfanya victim asiende kushtaki, au asitokee kwenye ushahidi. Hili ni jambo la kueleweka mbele ya watu wenye akili.
we bwabwa huna akili kama angekuwa hasikii raha ilikuaje asanuliwe na watu wa nje na sio yeye mwenyewe? punga wewe
 
Basi unajiona mjanja. Duh unaemuita bwabwa na punga ni mdada. Akija kukuita shosti usijemwaga mapovu mengi
we bwabwa huna akili kama angekuwa hasikii raha ilikuaje asanuliwe na watu wa nje na sio yeye mwenyewe? punga wewe
 
Wewe ni Mwalimu?unataka nikuamini wewe ama?ndie mtuhumiwa ama docta mpachika kansa?
Twende taratibu acha kupaniki nimekuuliza swali ulitakiwa ujibu kwanza halafu inaonekana hata hyo taarifa hujaisoma yote maana imesema aliyetoa mashtaka hajaenda kutoa ushahidi mahakamani.
 
Sina huo muda. Nimeshatoa comment nimemaliza. Wewe pambana kuutafuta huo ukweli. Punguza kujipendekeza kwenye maoni ya watu
Twende taratibu acha kupaniki nimekuuliza swali ulitakiwa ujibu kwanza halafu inaonekana hata hyo taarifa hujaisoma yote maana imesema aliyetoa mashtaka hajaenda kutoa ushahidi mahakamani.
 
Mahakama ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imemtia hatiani Dickson Mbwilo (42), mkazi wa Kitelewasi na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumlawiti mke wake.

Kulingana na maelezo ya mwanamke huyo mwenye umri wa miaka (32), mumewe alikuwa akimfanyia kitendo hicho pale anapokuwa amekosea ili iwe ndiyo adhabu yake hali ambayo ilimsababishia sehemu zake za siri kuharibika vibaya.

Hata hivyo, mpaka kufikia hatua ya Mbwilo kutiwa hatiani na kufungwa, mlalamikaji hakuwahi kufika kortini kutoa ushahidi wake, isipokuwa Mahakama iliamua kuegemea maelezo yake aliyokuwa ameyaandika Polisi.

Hukumu hiyo ilitolewa Machi 6, 2024 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Benedict Nkomola na nakala yake kupatikana Machi 12, ikisema ushahidi uliotolewa umethibitisha mashtaka dhidi ya Mbwilo.

Hakimu amesema katika kesi ya jinai, maelezo ya malalamikaji yanaweza yakatumika kama sehemu ya ushahidi kwa kuwa sheria ya ushahidi inatoa utaratibu wa kushughulika na kesi ambazo mlalamikaji atakuwa hapatikani kutoa ushahidi.
Mbona kama Kesi ya Mchongo.....huyo Jamaa ameacha Mali nyingi.

Mtu kuharibika sana nyeti zake anaweza kuwa anaharibika Nje ya ndoa pia.

Sasa huyo hakimu naye mbona kama wa Mchongo?

Hii Kesi akikata Rufaa anachomoka.

Hata kama jamaa kweli alimkatili mke wake lakini maeleozo ya Hakimu ni dhaifu sana
 
Sina huo muda. Nimeshatoa comment nimemaliza. Wewe pambana kuutafuta huo ukweli. Punguza kujipendekeza kwenye maoni ya watu
Unajua maana ya kujipendekeza ww hili ni jukwaa huru yoyote anayezingua anapigwa za uso kama ww anasemwa raisi wa nchi halafu ww unawaambia watu wanajipendekeza kwa lipi sasa tumia akili yako vizuri.
 
Back
Top Bottom