Unajua maana ya kujipendekeza ww hili ni jukwaa huru yoyote anayezingua anapigwa za uso kama ww anasemwa raisi wa nchi halafu ww unawaambia watu wanajipendekeza kwa lipi sasa tumia akili yako vizuri.
😅 Punguza hasira, maisha sio magumu kihivyo.we bwabwa huna akili kama angekuwa hasikii raha ilikuaje asanuliwe na watu wa nje na sio yeye mwenyewe? punga wewe
Sasa hivi Mbeya na songwe mkuu nako kwa moto kweliGeita mko wapi
Mahakama ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imemtia hatiani Dickson Mbwilo (42), mkazi wa Kitelewasi na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumlawiti mke wake.
Kulingana na maelezo ya mwanamke huyo mwenye umri wa miaka (32), mumewe alikuwa akimfanyia kitendo hicho pale anapokuwa amekosea ili iwe ndiyo adhabu yake hali ambayo ilimsababishia sehemu zake za siri kuharibika vibaya.
Hata hivyo, mpaka kufikia hatua ya Mbwilo kutiwa hatiani na kufungwa, mlalamikaji hakuwahi kufika kortini kutoa ushahidi wake, isipokuwa Mahakama iliamua kuegemea maelezo yake aliyokuwa ameyaandika Polisi.
Hukumu hiyo ilitolewa Machi 6, 2024 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Benedict Nkomola na nakala yake kupatikana Machi 12, ikisema ushahidi uliotolewa umethibitisha mashtaka dhidi ya Mbwilo.
Hakimu amesema katika kesi ya jinai, maelezo ya malalamikaji yanaweza yakatumika kama sehemu ya ushahidi kwa kuwa sheria ya ushahidi inatoa utaratibu wa kushughulika na kesi ambazo mlalamikaji atakuwa hapatikani kutoa ushahidi.
Mtaalam naona umejikuta unaandikaPamoja na adhabu iliyotolewa, nadhani kulikuwa na haja Mahakama ikajiridhisha zaidi Kwa kupata ripoti ya Daktari.
Lakini pia, isije kuwa hii ni mbinu inayotumika kutuumiza Wanaume.
Unaweza ukawa unapewa hayo mambo kama sehemu ya Starehe na mapenzi yenu na Mkeo alafu baadaye akaja kuitumia kukufunga jela.
Mtafanya Wanaume tuombe talaka Kwa Wake zetu sasa kuogopa hayo yasije kutokea.
Mungu atunusuru Wanandoa, naona Taasisi ya Ndoa inaendelea kupigwa Vita Kila Leo [emoji24]
Nimeogopa hiyo case Mkuu, isije kuwa ile agenda yao ya kupoteza Kizazi cha Kiume inaendelea.Mtaalam naona umejikuta unaandika
Shosti unamjua ukimuonaPole shosti
Huenda OCS anatafuna mbususu kwa uhuru sasa.Polisi wajinga sana wametengeneza hii kesi.
🤣 🤣we jamaa shenzi sanaNikikuta umechelewa kupika kifiro
Nikikuta unachat na wanaume wengine kifiro
Nikiacha hela ya nyama nikakuta maharagwe kifiro.
Ukichelewa kujib txt kifiro
Daaaaah!!! Kwa hawa dada zetu wa mjini, atajitahidi kila siku akoseee
Labda ana chura mwamba kaona Acha amfaidi mwenyewe 😄picha ya mwanamke tuione