Afungwa jela kwa kosa la kumlawiti mkewe kama adhabu anapokosea

Pole shosti
Unajua maana ya kujipendekeza ww hili ni jukwaa huru yoyote anayezingua anapigwa za uso kama ww anasemwa raisi wa nchi halafu ww unawaambia watu wanajipendekeza kwa lipi sasa tumia akili yako vizuri.
 
Vizuri sana
 
Utakuta mke ni michezo yake na michepuko ila ameamua kumwangushia jumba bovu mume wake hii kesi imekaa kiwizi sana sana
 
Mtaalam naona umejikuta unaandika
 
Mtaalam naona umejikuta unaandika
Nimeogopa hiyo case Mkuu, isije kuwa ile agenda yao ya kupoteza Kizazi cha Kiume inaendelea.

Kama wanasapoti Ushoga na mambo ya haki sawa ina maana Wanaume tupo hatarini kupotezwa.
 
Nikikuta umechelewa kupika kifiro
Nikikuta unachat na wanaume wengine kifiro
Nikiacha hela ya nyama nikakuta maharagwe kifiro.
Ukichelewa kujib txt kifiro
Daaaaah!!! Kwa hawa dada zetu wa mjini, atajitahidi kila siku akoseee
🤣 🤣we jamaa shenzi sana
😀
 
Mwanaume Mkazi wa Kitelewasi Mkoani Iringa aitwae Dickson Mbwilo (42), amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti Mke wake.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa SACP Allan Bukumbi amesema Mtuhumiwa huyo alikuwa akimfanyia Mke wake kitendo hicho kama sehemu ya adhabu pale anapomkosea.

Kwa mujibu wa maelezo ya Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 32 ambaye jina lake limehifadhiwa, alikiri ni kweli Mumewe alikuwa akimfanyia kitendo hicho kila alipokuwa amekosea hali ambayo ilimpelekea kusababisha sehemu za siri kuharibika vibaya.

Katika hukumu nyingine, Watu wengine wawili Kheri Lutumo (25) wa Malangali Wilayani Mufindi na Mathayo Kitosi (34) wa Isele Wilayani Kilolo Mkoani Iringa, wamehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kubaka Watoto wenye umri wa miaka 8 ambao walikuwa wakisoma darasa la pili.
 
Kwanini Huyo Mwanamke hajawahi kushitaki siku zote hizo mpaka ikawa mara kwa mara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…