Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Farasi ni gharama sana nabakia na Mbuzi na kuku na Bata na Mbwa tu nao wamudu kwakweli.Kuwa na farasi kwahitaji fedha za kumhudumia, eneo kubwa na matunzo. Ni lazima uwe na uwezo mkubwa wa kifedha. Kuhusu tafiti nikifanya kautafiti kadogo sana. Moja ya mambo ambayo nilibaini ni kwamba kuna kitu chaitwa lineage kwamba hakuna kuchanganya damu na mtu ambae hajapitishwa kwani kufanya hivyo kutatoa siri.
Dodi alisababisha madhara makubwa sana na sasa Megan kabanana lakini kashindwa kwani Harry kajitambua na ndo maana wamekimbia mbali na watoto wao kuepusha matatizo.
Hiyo ni kitu adimu chaitwa lineage.
🤣🤣🤣 nimekumbuka kuna wabongo taarifa zipo google ila zina uongo mwingi na ukweli kwa mbaali 🤣🤣Acha wivu mkuu. Kama na wewe unataka tukufuatilie funguka
Wanawake wanawaangusha vipi? Wewe ukipanda train ukishukia kigoma lazima kitu kitokee.Wenzetu wanawezaje kuudhibiti uzazi
Watoto wa nne na wajukuu wa nne
Au huku africa wanawake ndo wanatuangusha!
Hadi nimeshangaaa mtu ana taarifa kama kaulizwa mwana malundi dah big up ila hujasema kama huyu ndie chanzo cha ugomvi wa bibi titi na nyerere mpk bibi titi akawekwa ndani naishia hapaaaaDah... Kuna WATU mna taarifa za watu kushinda wahusika wenyewe
Unajuaje taaluma ya afya ilihali executive officer wote wanatibiwa pale lakini the way ulivyoandika mhimbiri na kurudia nilithibitisha utakuwa dalali wa kupeleka nyama pale hospitaliShida moja ya ile Hospital ya Agakan ni kutokua na mabingwa wazuri wana vijana pale junior Doctors hawana utalamu wa kutosha. Usafi wako vizuri sana ila huduma zao sio kivile.
Kwa hiyo hata wao pia wananyanganyana na Mhimbiri wale Senior Doctors wa Mhimbiri wanakua pale pia kutoa huduma.
inaonekana walizaliana wengi sana..Ukoo wake wa asili ni wa kutokea Iran (siyo Uturuki kama nilivyokuwa nimeandika mwazo), lakini walisambaa sana dunia nzima kuanzia Pakistani hadi ulaya huko Italy na Switzerland na hata Marekani na kanada.
magazeti ya new habari,citizen TV vpAga khan ndo muanzilishi wa
Diamond.Trust Bank
Agha khan hospital
Jubilee insurance
Pia ana magazeti yake, media na biashara nyingi sana, huyu jamaa ni legend kabisa,
Ukienda Bank zote za DTB utaona picha yake ukutani
AZANIA ILIJENGWA NA MKOLONI IKIITWA MYENDENI BOYSJangwani ilijengwa na wakoloni, Azania ilijengwa na serikali ya Mwalimu.
Shule za Aga Khan hapo ni Tambaza (Aga khan Boys) na Zanaki (Aga khan girls). Mzizima sec ilijengwa 1967 baada ya serikali kuzitaifisha shule hizo mbili (A.K boys na girls).
Nyerere akimuogopa sana.Muiteni mzee Mohamed Said walau atudondoshee Taazia ya Kiongozi huyu.Eleweni pia kuwa Aga Khan siyo jina lake bali ni cheo chake kama kiongozi mkuu wa dini ya ismailia; anatambulika kama His Highness The Aga Khan au kwa kifupi HH The Aga Khan. Jina halisi la marehemu ni Prince Shah Karim al-Husseini. Alikuwa Aga Khan kuanzia mwaka 1957 hadi kifo kilipomkuta jana.
National anawaza dini?Amuogope kwa nini; kwani alikuwa na jeshi lake binafsi kubwa kuliko JWTZ? Watu wanowaza dini muda wote huwa na fikra finyu sana
Unaijua Wikipedia?Dah... Kuna WATU mna taarifa za watu kushinda wahusika wenyewe
Ni kiongozi wa diniHivi kwanini walimuita mtukufu....?? Ila alikataa NHIF ......lakini sawa tu .........sote tutarudi