Age-mates wangu waliojiingiza kwenye ndoa wamechoka, wanatia huruma. Mimi ambaye bado "napuyanga" naponda raha tu

Age-mates wangu waliojiingiza kwenye ndoa wamechoka, wanatia huruma. Mimi ambaye bado "napuyanga" naponda raha tu

Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Nahisi jokate kamati ya uvccm kakutuma uje kumdisi alikiba
 
Japo siku hizi fedha imerahisisha access ya kupata K direct au indirect ila haindoi umuhimu wa ndoa.

Hamna kitu kibaya kama upweke.
Sasa upweke unakujaje waakati watoa k wako cheap na ni wengi?
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Umeongea point sana mkuu.!
Hivi kwa Dunia ya leo mtu unaoa ili iweje?
 
upuuzi mtaacha lini
kenge blue



Masijala mshafika 😹😹😹
 
Kwa sasa mwanamke unamtolea MAHARI unamuoa, cha ajabu anakuja kwako kufuata MALI (kama si kukuua kbsa)


Then anaendelea kuponda akiwa kwake na mikuyenge aitakayo nakujiita SUPER WOMAN.


Kwa ufupi wanawake wamehamishia magenge maduka na uharamia kwenye NDOA.
😹😹😹
 
Kawa SHOGA now au ujaelewa THREAD yake
amepangiwa APARTMENT nzuri anajikwatua balaa anapiga pamba kali anatatuliwa tu Malinda
Hayo sio nayasema Mimi lah ! kaandika mwenyewe soma Tena kwa jicho la tatu thread yake utaelewa
😹😹😹😹
 
Kila mtu kivyake vyake, familia ni kitu kizuri lakini sio guarantee iwe hivyo, unaweza usioe na usiwe na watoto lakini maisha yakawa mazuri mpaka unakufa, na usizae watoto ukitegemea watakusaidia au kukuzika utakufa mpweke na hasira
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Yana mwisho hayo, ngoja viungo vianze kuchoka na magonjwa ya uzeeni yaanze kugonga hodi, Mungu aliona mbali kumfanya Binadamu awe na Mwenza.
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?


INASIKITISHA WALLAH
 
Back
Top Bottom