Age-mates wangu waliojiingiza kwenye ndoa wamechoka, wanatia huruma. Mimi ambaye bado "napuyanga" naponda raha tu

Age-mates wangu waliojiingiza kwenye ndoa wamechoka, wanatia huruma. Mimi ambaye bado "napuyanga" naponda raha tu

Yana mwisho hayo, ngoja viungo vianze kuchoka na magonjwa ya uzeeni yaanze kugonga hodi, Mungu aliona mbali kumfanya Binadamu awe na Mwenza.
Sio kama I support watu wasioe au wasizae, lakini kuoa au kupata watoto Kwa sababu ya kufikiria utapata usaidizi ukizeeka ni upuuzi wa hali ya juu, wazee wengi tumeona na watoto wao zaidi ya 10, lakini mwishoni wakizeeka na wakiugua wanaishia kupelekwa hospital na kuletewa chakula na majirani, huku watoto wao wakisubiri afe waje kuzika na kugawana mali kama anayo, wewe oa na zaa lakini usisahau kujiwekea pensheni yako itakayokutunza uzeeni
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
kuoa mapema kuna raha yake kama pesa ipo. kama huna pesa wala usioe kabisa, kataa ndoa
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Endelea kupuyanga finally uzeeni.
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
usijedanganyika mtu akaja kukuambia ndoa ni kitu kibaya. ndoa ni kitu kizuri mno mno, hasa ukimpata mnayeendana. mnakuwa mnapendana, mnapeana kwa uhuru na furaha, mnajaliana, mnakuwa na watoto pamoja, watoto wanawaita baba na mama, pesa unayopata unanunulia watoto vitu mbalimbali mnafurahi nao, mna umoja, mna furaha, mna amani, mnapika na kupakua anytime you wish tena bila kupigwa mizinga, ni kitu cha furaha mno.
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
umejieleza vizuri sana. Unahaki ya kuchanua na kupendeza.
Kumwagiwa za moto kila siku si jambo dogo.
Subiri uzeeni ukiwa single unaharisha na huna mke wala mtoto kukusaidia. Wakati huo hakuna wa kukupumlia tena. Utaelewa show.
 
Subiri uzeeni ukiwa single unaharisha na huna mke wala mtoto kukusaidia.
Kwahiyo unajidanganya kuwa huyo mkeo/mumeo ndiyo atakusaidia uzeeni? Ugonjwa wa figo unaujua? Kansa na kisukari je ? Vipi mwenzi wako akiwa na ugonjwa mmojawapo, utasaidiwa? Temea mate chini mkuu.

Na kuhusu watoto, wao watajitegemea na kuishi mbali na wazazi au pengine ikawa bahati mbaya wakafa wote au wakawa mateja, wadangaji, n k. Narudia tena, temea mate chini
 
Back
Top Bottom