Age-mates wangu waliojiingiza kwenye ndoa wamechoka, wanatia huruma. Mimi ambaye bado "napuyanga" naponda raha tu

Age-mates wangu waliojiingiza kwenye ndoa wamechoka, wanatia huruma. Mimi ambaye bado "napuyanga" naponda raha tu

Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Naam
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Una stress wewee
 
IMG_20240911_190421_900.jpg
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Ponda raha ikifika wakati utapondwa na kuomba ufresh😁
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Mtu anaenda vacation ndo kuponda raha.
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Starehe zina mwisho utakuja wakati utaitaji faraja ya unao wapenda na hauto kua na hiyo bond wa kukujali itakua TOO LATE.

UKIWA HUWEZI KUJITAWAZA UTATAWAZWA NA MANESI AU NYANYA.

Kuna muda unakua na pesa mpaka huoni ule Nini 😇 uvae Nini uendeshe usafir gani.

MONEY, POWER, RESPECT 😁
 
Nadhani ifike mahali waafrika tufungue akili kidogo.

Hivi ni LAZIMA kila mtu aoe/olewe?

Hivi ni LAZIMA kila mtu awe na watoto?

Kwani mtu hawezi kujiamulia mwenyewe aina ya maisha anayotaka kuishi, na sisi kama jamii tukaheshimu maamuzi hayo?

Nadhani matatizo mengi tunayoyaona leo kwenye ndoa yanatokana na watu kuhisi WANALAZIMIKA kuoa/olewa kwa sababu ya shinikizo kutoka kwa jamii.

Ni kweli ndoa ina umuhimu wake, lakini kama wanavyosema wazungu "Marriage is not for everybody".

Pengine kuna watu wangeishi maisha mazuri sana ya amani kama wasingekua kwenye ndoa, ila wanaishia kwenda kuteswa kwenye ndoa miaka nenda rudi, mwisho wengine wanauawa, wanapigwa, wanakufa kwa presha nk kisa jamii imeng'ang'ania kila mtu aolew
Nadhani ifike mahali waafrika tufungue akili kidogo.

Hivi ni LAZIMA kila mtu aoe/olewe?

Hivi ni LAZIMA kila mtu awe na watoto?

Kwani mtu hawezi kujiamulia mwenyewe aina ya maisha anayotaka kuishi, na sisi kama jamii tukaheshimu maamuzi hayo?

Nadhani matatizo mengi tunayoyaona leo kwenye ndoa yanatokana na watu kuhisi WANALAZIMIKA kuoa/olewa kwa sababu ya shinikizo kutoka kwa jamii.

Ni kweli ndoa ina umuhimu wake, lakini kama wanavyosema wazungu "Marriage is not for everybody".

Pengine kuna watu wangeishi maisha mazuri sana ya amani kama wasingekua kwenye ndoa, ila wanaishia kwenda kuteswa kwenye ndoa miaka nenda rudi, mwisho wengine wanauawa, wanapigwa, wanakufa kwa presha nk kisa jamii imeng'ang'ania kila mtu aolewe.
Kwa akili hz na hapa ndo kwa magreater thinker Tanzania tutasubiri sn
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Mwanaume unaogopa ndoa
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Nenda kapige chaputa uhifadhi Mayai au mbegu muhimbili
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Hakuna aliyewahi kufa kisa hajaoa ama kuolewa

Ila tunashuhudia wengi tu wanakufa kwa kuwa na wenzi wasio sahihi kwenye maisha yao

Ukipata nafasi ya kuwa single basi furahi katika namna ambayo utakuja kuimiss ukiingia kwenye ndoa

Enjoy your single life mate
 
Wao wenyewe wanakiri kuwa ndoa zao ni msalaba ktk maisha yao.



Umuhimu wa familia ulikuwepo zamani. Siku hizi ni full vurugu, mara baba kaua mtoto au kinyume chake, mara mke kaua mke au kinyume chake, n.k.



Kumpata huyo sahihi ndiyo Kuna mtihani mkubwa. By the way, ili kufanya expansion siyo lazima uwe na mke. Nadharia nyingi zinasema "ukitaka kubadili Ulimwengu fanya ukiwa peke yako, lkn ukioa hata kubadili tv station inakuwa ngumu".



Mafanikio siyo muujiza, bali ni mipango thabiti
Safi[emoji4][emoji4][emoji92]
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Hakuna aliyewahi kufa kisa hajaoa ama kuolewa

Ila tunashuhudia wengi tu wanakufa kwa kuwa na wenzi wasio sahihi kwenye maisha yao

Ukipata nafasi ya kuwa single basi furahi katika namna ambayo utakuja kuimiss ukiingia kwenye ndoa

Enjoy your single life mate
Swadaktaa! Umetisha sana
 
Back
Top Bottom