Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
🧐🧐🧐🧐🧐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo kilichobaki....tena wasitegemee kufuliwa hata boksaMimi ni mwanamke ila sitaki mambo ya kujumlishana kwenye mali. Kila mtu akae na mali zake. Ikitokea kuachana kila mtu atabaki na chake, mtoto/watoto tutachangia kuwalea. Nilienda sababu ya mapenzi, mali kila mtu yake.
Acha uvivu internet unayo unaniuliza naniPre nup ndo nini
Kabisa, unajua ule mgawanyo wa mali, uliwekwa sababu mke ndiyo mfanya kila kitu kwa mume. Huduma zote za nyumbani. Ila sasa imeshakuwa nongwa, wanaona mwanamke anafaidi. Bora kila mtu abaki na chake tu.Ndo kilichobaki....tena wasitegemee kufuliwa hata boksa
Taasisi ya ndoa yaenda kufa mazimaKabisa, unajua ule mgawanyo wa mali, uliwekwa sababu mke ndiyo mfanya kila kitu kwa mume. Huduma zote za nyumbani. Ila sasa imeshakuwa nongwa, wanaona mwanamke anafaidi. Bora kila mtu abaki na chake tu.
Gugo translator imeharibu uziMcheza kikapu maarufu toka NBA, Stephen Jackson amemuacha solemba aliekuwa mchumba wake baada ya kukutaa kisaini makubaliano ya PreNup
Kwa Msaada wa Google Translator:
Umaarufu na utajiri humsaidia sana mtu aliyefanya kazi kwa bidii kwa ajili yake.
Lakini pia huwa na mabadiliko ya kila mtu anayehusika.
Muulize tu Stephen Jackson, ambaye aliona upendo wa maisha yake ukifichua rangi zake halisi kabla hawajakaribia kufunga pingu za maisha na mchumba wake.
Jackson alisimulia hadithi ya kichaa ya wakati alimuacha mchumba wake baada ya kukataa kutia saini makubaliano ya kabla ya ndoa (PreNup).
Jackson anafahamu vyema hadhi yake katika jamii.
Ni mchezaji wa NBA ambaye amejikusanyia kiasi kizuri cha umaarufu na utajiri.
Kusaini prenup halikuwa jambo la kibinafsi au la kujisifu. Alitaka tu kulinda mambo ambayo amefanyia kazi kwa bidii , kulinda mali na utajirialiochuma kipindi yupo NBA.
"Ninajali watu wengi.
Siruhusu mwanamke mmoja kudhibiti kazi ngumu ambayo nimefanya maishani mwangu.
Hakuna m@l@y@ hizi aliyekuwa kwenye mazoezi nami kipindi chote nipo Gym.
Kwa hivyo nilijiambia yeyote ambaye nimeolewa naye, wanasaini prenup , hataki hakuna ndoa." Alisema Jackson
"Ninampa. Ninapompa, asishangae kwa sababu mimi na yeye tulikaa chini na kukubaliana juu ya prenup.
Tulikubali. Nisikilizeni nyote.
Tulikubaliana juu ya prenup" Aliongeza Jackson
Jackson alichukua neno lake na kuendelea na mipango ya harusi.
Bingwa huyo wa mara moja wa NBA alisema alitumia karibu dolar za kimarekani 400,000 ( karibia TSh. 950 za kitanzania ) kwenye siku hiyo kuu.
Jackson aligundua kuwa mwanamke huyo hakuwa ametia saini makubaliano ya kabla ya ndoa walipokuwa wakipanga.
Hakufanya fujo kutoka kwake, akionyesha upendo wake kwa mwanamke
Lakini basi, mambo yalibadilika haraka siku ya arusi yenyewe. Jackson aligundua kwamba mwanamke huyo kwa njia fulani alichukizwa na mchungaji.
Hakujali ni nani atakayeongoza.
Alichotaka ni kuolewa na mpenzi wa maisha yake, lakini ndoa imevunika baada ya mpenzi huyo kutia kuweka saini kwenye PreNup
Jackson alimalizia kwa kusema "I was born at night but not last night"
Akimaanisha "mimi siyo mjinga"
Ref: https://www.basketballnetwork.net/off-the-court/when-stephen-jackson-left-his-fiancé-after-she-didnt-want-to-sign-the-prenup
Kuna la kujifunza hapo
HUYU JAMAA NI SHUJAA ZAIDI YA ASHRAF HAKIM
View attachment 2589869
Kwa yanayotokea kwenye ndoa duniani kote, Taasisi ya ndoa imeshikiliwa na nyuzi nyembamba sana. Ukatili, unyanyasaji, uongo, tamaa, mauaji vyote hivi viko humo, vinaimeza hii Taasisi.Taasisi ya ndoa yaenda kufa mazima
Kwa vyovyote huyo malaya alikuwa amepanga ampige jamaa tukio ateke mali amuache msela na kilio cha mbwa koko.aliye ng'ang'ana na ndoa ni KE, jamaa akaweka mkeka pale
KE kala kona
Yaan ni shidaaKwa yanayotokea kwenye ndoa duniani kote, Taasisi ya ndoa imeshikiliwa na nyuzi nyembamba sana. Ukatili, unyanyasaji, uongo, tamaa, mauaji vyote hivi viko humo, vinaimeza hii Taasisi.
jamaa kasanuka, kapiga fastBreak moja matata sana, mchumba chaliKwa vyovyote huyo malaya alikuwa amepanga ampige jamaa tukio ateke mali amuache msela na kilio cha mbwa koko.
Kwa mentality hiyo utakuwa single milele.Ndo kilichobaki....tena wasitegemee kufuliwa hata boksa
Kuoa tunaoa , sisi HATUTAKI Wizi.Ndo msikulane ivo,msivyotaka kuoa🤒🙄
Kwa msaada wa GooglePre nup ndo nini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asioe akae mwenyewe tu anaoa ili iweje
Makubaliano hufanywa na wachumba wanaotaka kuolewa na mara nyingi huwa ni kuhusu haki na unakula kiapo kuwa hata ndoa ikivunjika hutaweza kudai pesa ambazo hujachumaPre nup ndo nini
Hichi kiswahili ata mimi nimeshindwa kuelewa nini kinachozungumzwaWakenya ndo walipewa task ya Google translation ya kiswahil eh..kazi ipo
[emoji3447]Mke wa Hakimi vile hakusign prenup alijua kashinda, kumbe mali zote ni za mama.Kama kweli unampenda mwanaume kwa nini usisign prenup?Kwanza ukimzalia watoto ,watoto watakuwa warithi wake.