Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kwani wahindi ni ngozi nyeupe?Kuna kitu nyuma ya Pazia kimeanza kutokota
Ili kikiwaka vizuri waseme hatua zilichukuliwa
Lakini mambo bado hayajaharibika sana
Kwa jinsi India kilivyoumana na Hawa wenzetu lazima Itakuwa kuna ndugu zao huko wanasepa kuja Bongo kujificha
India wana hali tete sana sana
All in all, Sijajua kwanini hawa virusi wanawavamia sana ngozi nyeupe
Au wanakula sana Burger, Pizza na vile vitu laini laini kama biscuits na choklate
Ni hatua nzuri lakini haitoshi kwa wasafiri wale watokao nchi zilizopigika kwelikweli mfano India.
Nchi za hivyo kuna haja ya kuzuia wasafiri watokao huko kuingia nchini!
Huu UGONJWA wa promo.
kadri unavyoupa air time ndivyo unavyozidi kukua..dawa NI kuupotezea na kumuomba MUNGU
Lile liuaji hata uliamsheje haliwezi kuamka. Mungu kaliweka sehemu isiyojulikana.Wakitufungia tu,tunamuamusha Magufuli kokote aliko aje arekebishe,alafu arudi zake akapumzike salama!!
Mwingine aliyefanya PROMO huyu hapa na ugonjwa haukufanya ajizi.
Kwani hata mwuaji wa kujitoa muhanga huwa ana wasiwasi? Kwani huwa hajui kuwa Mungu yupo na kuwa atamkabidhi ma bikra 7wala si buku 7?
kwa akili Kama zako,Kama taifa tuna safari ndefu aiseee daaaaa
Usikute na wewe unaitwa mume,baba,mjomba mkubwa
Daaaaa kazi ipo wazeee![emoji849][emoji849][emoji849]
Kufa NI AHADI.ila hip UGONJWA bila promo hauendi.
sasa hapa NDIPO mnakwenda kulitibua HILO GONJWA.
Wawaachie tuu waingie na virusi vyao tuvizoee na vyenyewe.
Hahhahahahaha jon ww bwana🤣Arobaini imepita Rudisha picha ya Pogba
Umemmis marehemu mzee pombe eh ?
Alishindaje mkuu? Tukumbushe tafadhariYes .kwamba huyo mwamba huyo aliyeitingisha dunia Kwa misimamo mikali juu ya Corona.na AKASHINDA.
Kafa magufuli sasa corona itakuja na itatuua