TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Duh kweli hapo lazima tupate somo Mungu yupo, tusiwe na viburi kwa vitu vionekanavyo
 
Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... [emoji1019] Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Mzee vipi??unajuaje aliwahi kuwatanguliza??au ulikuwa mdau mzee mshana??
 
halafu "" mimi "nimemshangaa "kweli yaani ""
wajua ""umri wako "ukisogea "kidogo"" una paswa kuonyesha "tofauti yko "kifikira/ mitazamo baina ya mtu mzima na kijana""
kwakweli ile ""comment haikuapaswa"" kutolewa na ""mtu wa Kariba lake "" achilia mbali uwezo wake ""mkubwa wa "kufikiri ambao" huwa tunajuwa kuwa anao""
Yaani mshana sijui amekuaje kawa na akili kama za bashite
 
R.I.P Mwenyenzi Mungu ampokee mja wake na awafariji wafiwa wote
 
Huyu ‘naskia’ ametoka familia ya dini sana..hope wamemtubisha kabla ya mwili kuachana na roho
 
kwann unahisi huu msiba umewagusa wanaume?
wewe hujaumia kuona mwanamke mwenzako aliyeacha mtoto mdogo amekwenda?
wewe haijakuumiza kuona kijana mdogo wa miaka 29 akipoteza uhai wake just like that huku ndoto zake zikizima kama mshumaa?

Me naona ifike mahali tuwe na staha katika maandishi yetu sababu sotw ni binaadam na sote ni njia moja, pia tujue kua kifo ni mawaidha kwa wanaobaki,

Agness amefariki hospital kwa Typhod na Anemia hujui wewe utakufaje na wapi, utapondwa na roli uwe kama chapati watu wakuogope hata kukushika, utaungua na moto hata kuoshwa iwe shida uvishwe plastic, utakufa baharini uwe chakula cha samaki watu wasione maiti yako,
utakufa kwa kipindu pindu ndugu washindwe kukuzika uzikwe na city huku wamevaa mask na gloves.

Yote hayo mjitafakari kabla msiba wa mwenzenu hamjaugeuza kua wa kimajungu na fitna.

Message hii iende kwa wote waliodiss kuanzia comment za mwanzo mpk wanaoendelea kudiss.

Am out.
Mkuu umeongea.
 
Back
Top Bottom