TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Katika mambo mazuri aliyo kuwa nayo marehemu ni meona hilo wengine unga .ukweli upande ule marehemu alikua kabalikiwa kwa mwanaume kama Mimi akipita tu lazima nipate mfadhaiko.kufa kupo ila watz unafiki umetujaa.nakama unabisha angalia kwenye kuaga mwili.
Sina muda wa kumwangalia huyo niko busy namwangali Yesu,mkuu kama uzuri wa sura unakusumbua utapata shida sana bora uhame dar,kwani wazuri ni wengi na siku hizi mabinti wanajua kujipamba sasa itakula kwako.Si kila kitu kinafaa vingine kimbia.Unamwitaji Yesu mkuu,katika shule yangu kielelezo cha kuwa mtu ni mwanaume si kuvutiwa na wanawake wazuri ni zaidi ya hayo.Wewe usijidhalilishe trust me watu watakutapeli kwa kukuletea wanawake wazuri,mwenyewe umekiri udhaifu wako.
Kifo ni kifo,haijarishi umekufaje au umeagwa na watu wangapi,unachotakiwa kujua kabla yako walikuwepo watu ,unadhani waliokufa Syria walikuwa wanawake wenye sura mbaya,kifo hakiangalii sura ,kwa wale waliosoma kitabu cha "Song of Lawino and Okolo kifo kiliitwa "the last safari t pagaki,the place of no return".Unahitaji mke wa kuoa kuna vitu vingi huangaliwa na si mihemko hiyo,nenda kwa mchungaji Peter Mitimingi atakuelimisha,unahitaji uponyaji kwa nini uwe na mifadhaiko?
 
Habari wana jamii, nimesikitishwa sana na kifo cha Video quen maarufu Agnes Gelard almaarufu Masogange, Pia nimesikitishwa hasa na watanzania tulivyo kuwa hatuna utu yaaninkuna watu wanmpost Agnes mitandaoni huku wakitoa na maneno ya kashfa ambayo hayafai kumtole Maiti kingine ambacho nashindwa kuelewa na nimesikitishwa zaidi ni jinsi picha ambazo watanzania wanatumia kumpost humo mitandaoni marehemu Masogange yaani ni picha chafu ambazo hazina maadili kwa umma nnacho kishangaa ni jee Masogange hana picha nzuri za staha ambazo watu wanaweza kuzitumia kuposti mitandaoni kushow apreciation? au ndio muendelezo wa kumzihaki marehemu?.

Kitu kingine ni hili swala la watu wanaohoji na kuhusisha kifo cha masogange na kikundi cha watu furani, yaani watu wanaamini Masogange hajafa bure yaani kuna watu wanahusika katika kifo chake, yaani kwa maana hiyo watu wanapuuza taharifa zilizotolewa hospitali kuwa marehemu alilazwa kwa siku nne kwa maradhi ya Pumu pamoja na upungufu wa damu,Nadhani wengi tunajuwa pumu likikubana unakuwa katika hali gani. Mimi mwenyewe nimeshawahi kuumwa Pumu mara kadhaa katika umri wangu kwa hiyo na declare interest Pumu ni ugonjwa hatari sana pale linapokuamulia kukushika haswa maana linahusiana moja kwa moja na mfumo wa upumuaji,Pia tunajuwa madhara ya upungufu wa damu lakini pia tujuwe kuwa Masogange hakupelekwa hospitali bali hospitali alikwenda yeye mwenyewe baada ya kuzidiwa na ugonjwa wa pumu.

Naumia sana nnapo waona watu niliyokuwa nawaheshimu kama Mshana Jr naye ni miongoni mwa watu wanaohusisha kifo cha masogange na kikundi cha watu furani kupitia post zake tofauti zilizopo humu jukwaani.

Nnacho kiona hawa watu wote wanaokihusisha kifo cha masogange na kufanyiwa njama na watu flani naona ni upungufu wa akili pamoja na ukosefu wa kazi za kufanya kutokana na fikira zao finyu.

Masogange kafa kama Mwenyezi Mungu alivyotuambia katika Qur'an "Qullinafsi Dhaaikatul Mauti" Kila nafsi yenye uhai au yenye roho itaonja umauti. Kikubwa niwahusiye nafsi zenu wana jukwaa pamoja na kuihusia nafsi yangu jamani tumcheni Mola wetu haya maisha ya duniani ni mafupi mno huyo Masogange kafa nadhani hata miaka 35 hajafikisha leo yeye Masogange kesho ni mimi au wewe unaesoma uzi huu, jee umejiandaaje na siku yako ya kufa jee umejiandaaje na safari yako ya mwisho ya kurudi kwa Mola wako. Tuacheni kuchukulia matatizo ya watu wengine na kuyahusisha na masuala ya kisiasa. Kuna watu walinishangaza zaidi eti wanahitaji Postmoterm ya kifo cha Masogange wakati wanajuwa fika kama marehemu alikuwa anaumwa Pumu, jee wangapi hawajuwi kama pumu linauwa? nadhani wote tunajuwa kuwa Pumu linauwa na ndilo lililosababisha kifa cha mpendwa wetu Masogange.

Mwisho nitowe ushauri kwa wadada wote watakao soma uzi huu, tuangalie sana picha tunazozipost kwenye mitandao yetu ya kijamii zinaweza kuja kukuharibia sifa zako hapo baadaye maana picha zako zinaishi wewe mwenyewe hauishi muda mrefu. Agnes Masogange awe funzo kwenu maana R.I.P zote anazopewa ukianga photo attachment moyo razima uume hii nikutokana ndio picha nyingi alizokuwa nazo labda kwenye akaunti zake za social media. Lakini hata kama mtu alikuwa na matendo mabaya kwa wewe hnavyohisi sio vizuri kutoa aibu zake hadharani maana kwa sisi waislamu Mtume Muhammadi S.A.W anasema msithubutu kutoa aibu za maiti zenu hilo sio jambo jema kabisa.

Mwisho kabisa nasikitika Marehemu Masogange kaondoka hali yakuwa ndoto zangu hazijakamilika hata kidogo. Hakuna anayebisha Marehemu alikuwa ni mrembo haswa na mimi ni miongoni mwa wanaume wachache sana tuliyofanikiwa kuuona uzuri wa Masogange na nilikuwa nipo kwenye process za kutaka kwenda kwao na kupeleka barua ya uchumba. sio siri nimesikitika sana basi japo hata ningepata japo hata salamu yake tu kabla hajafa ili atleast ndoto yangu ifikie japo hata robo.

All in all Mungu ailaze roho ya marehemu Agness mahali pema peponi na Mwenyezi Mungu ampe kauli thabiti marehemu.

Ombi kwa Moderetors naomba uzi wangu msiiunganishe na uzi wa Mshana Jr haufanani hata kidogo naombeni sana maana nilipost uzi wangu wa kwanza mkauunganisha na wa Mshana Jr nawaombeni huu nimepost tena nawaomba msiuungani na ule zui tafadhalini sana.
Heee!! Masogange Vipi umefufuka nini!???,Hatuwezi heshimu maiti ya namna hiyo yeye kauwa wangapi kwa madawa ya kulevya angekuwa anajiheshimu angekuwa anapiga picha za uchi hizo picha alitupa za ukumbusho na ndo tunamkumbuka
 
Heee!! Masogange Vipi umefufuka nini!???,Hatuwezi heshimu maiti ya namna hiyo yeye kauwa wangapi kwa madawa ya kulevya angekuwa anajiheshimu angekuwa anapiga picha za uchi hizo picha alitupa za ukumbusho na ndo tunamkumbuka
unacho kifanya wewe kumkumbuka Masogange kwa njia hiyo unakuwa huna tofauti sana na huyo Masogange mwenyewe maana unaenda tofauti na maandiko ya dini zetu maana tunajuwa kila mtu ana mambo yake mengi ya siri ambayo ni machafu kuliko hayo ya Masogange ya Masogange umeyajuwa kwa kuwa yeye ni mtu maarufu na kila mja anafanya mazambi lakini sisi sio wahukumu ila anayehukumu ni Mwenyezi Mungu peke yake na nikuibie siri tu unaweza kusema Masogange kafanya mabaya oooohh hakumpendeza Mungu lakini huwezi juwa kabla hajafa labda alifanya toba kwa kutubia yale yote aliyoyafanya ya kumuudhi Mungu.
Tusipende sana kuhukimiana wenyewe kwa wenyewe
 
Sina muda wa kumwangalia huyo niko busy namwangali Yesu,mkuu kama uzuri wa sura unakusumbua utapata shida sana bora uhame dar,kwani wazuri ni wengi na siku hizi mabinti wanajua kujipamba sasa itakula kwako.Si kila kitu kinafaa vingine kimbia.Unamwitaji Yesu mkuu,katika shule yangu kielelezo cha kuwa mtu ni mwanaume si kuvutiwa na wanawake wazuri ni zaidi ya hayo.Wewe usijidhalilishe trust me watu watakutapeli kwa kukuletea wanawake wazuri,mwenyewe umekiri udhaifu wako.
Kifo ni kifo,haijarishi umekufaje au umeagwa na watu wangapi,unachotakiwa kujua kabla yako walikuwepo watu ,unadhani waliokufa Syria walikuwa wanawake wenye sura mbaya,kifo hakiangalii sura ,kwa wale waliosoma kitabu cha "Song of Lawino and Okolo kifo kiliitwa "the last safari t pagaki,the place of no return".Unahitaji mke wa kuoa kuna vitu vingi huangaliwa na si mihemko hiyo,nenda kwa mchungaji Peter Mitimingi atakuelimisha,unahitaji uponyaji kwa nini uwe na mifadhaiko?
uyo mitimingi ndie saiz yake.
 
Sina muda wa kumwangalia huyo niko busy namwangali Yesu,mkuu kama uzuri wa sura unakusumbua utapata shida sana bora uhame dar,kwani wazuri ni wengi na siku hizi mabinti wanajua kujipamba sasa itakula kwako.Si kila kitu kinafaa vingine kimbia.Unamwitaji Yesu mkuu,katika shule yangu kielelezo cha kuwa mtu ni mwanaume si kuvutiwa na wanawake wazuri ni zaidi ya hayo.Wewe usijidhalilishe trust me watu watakutapeli kwa kukuletea wanawake wazuri,mwenyewe umekiri udhaifu wako.
Kifo ni kifo,haijarishi umekufaje au umeagwa na watu wangapi,unachotakiwa kujua kabla yako walikuwepo watu ,unadhani waliokufa Syria walikuwa wanawake wenye sura mbaya,kifo hakiangalii sura ,kwa wale waliosoma kitabu cha "Song of Lawino and Okolo kifo kiliitwa "the last safari t pagaki,the place of no return".Unahitaji mke wa kuoa kuna vitu vingi huangaliwa na si mihemko hiyo,nenda kwa mchungaji Peter Mitimingi atakuelimisha,unahitaji uponyaji kwa nini uwe na mifadhaiko?
watu kama nyinyi ni wanafiki sana hapa unayahadithia mazambi ya mwenzio kwa kuwa upo nyuma ya keyboard lakini unaweza kuta wewe unafanya mazambi makubwa kuliko huyo Marehemu
 
Wagalatia 6:7~8
Hujasoma Biblia yote? kuna vitabu agani jipya (injili) vinazuia kuhukumu wenzetu na hili ndo tatizo kubwa la Biblia ina discrepancy nyingi sana. So unaweza kuitumia na kuitafsiri kadri uwezavyo kwa interest zako.
Kwa watumishi wake ikimpendeza hufanya hivyo si kwa wote,vipi hauamini kama kuna watu Mungu huwataarifu ili watengeneze mambo yao?
Asante mkuu.
 
Habari wana jamii, nimesikitishwa sana na kifo cha Video quen maarufu Agnes Gelard almaarufu Masogange, Pia nimesikitishwa hasa na watanzania tulivyo kuwa hatuna utu yaaninkuna watu wanmpost Agnes mitandaoni huku wakitoa na maneno ya kashfa ambayo hayafai kumtole Maiti kingine ambacho nashindwa kuelewa na nimesikitishwa zaidi ni jinsi picha ambazo watanzania wanatumia kumpost humo mitandaoni marehemu Masogange yaani ni picha chafu ambazo hazina maadili kwa umma nnacho kishangaa ni jee Masogange hana picha nzuri za staha ambazo watu wanaweza kuzitumia kuposti mitandaoni kushow apreciation? au ndio muendelezo wa kumzihaki marehemu?.

Kitu kingine ni hili swala la watu wanaohoji na kuhusisha kifo cha masogange na kikundi cha watu furani, yaani watu wanaamini Masogange hajafa bure yaani kuna watu wanahusika katika kifo chake, yaani kwa maana hiyo watu wanapuuza taharifa zilizotolewa hospitali kuwa marehemu alilazwa kwa siku nne kwa maradhi ya Pumu pamoja na upungufu wa damu,Nadhani wengi tunajuwa pumu likikubana unakuwa katika hali gani. Mimi mwenyewe nimeshawahi kuumwa Pumu mara kadhaa katika umri wangu kwa hiyo na declare interest Pumu ni ugonjwa hatari sana pale linapokuamulia kukushika haswa maana linahusiana moja kwa moja na mfumo wa upumuaji,Pia tunajuwa madhara ya upungufu wa damu lakini pia tujuwe kuwa Masogange hakupelekwa hospitali bali hospitali alikwenda yeye mwenyewe baada ya kuzidiwa na ugonjwa wa pumu.

Naumia sana nnapo waona watu niliyokuwa nawaheshimu kama Mshana Jr naye ni miongoni mwa watu wanaohusisha kifo cha masogange na kikundi cha watu furani kupitia post zake tofauti zilizopo humu jukwaani.

Nnacho kiona hawa watu wote wanaokihusisha kifo cha masogange na kufanyiwa njama na watu flani naona ni upungufu wa akili pamoja na ukosefu wa kazi za kufanya kutokana na fikira zao finyu.

Masogange kafa kama Mwenyezi Mungu alivyotuambia katika Qur'an "Qullinafsi Dhaaikatul Mauti" Kila nafsi yenye uhai au yenye roho itaonja umauti. Kikubwa niwahusiye nafsi zenu wana jukwaa pamoja na kuihusia nafsi yangu jamani tumcheni Mola wetu haya maisha ya duniani ni mafupi mno huyo Masogange kafa nadhani hata miaka 35 hajafikisha leo yeye Masogange kesho ni mimi au wewe unaesoma uzi huu, jee umejiandaaje na siku yako ya kufa jee umejiandaaje na safari yako ya mwisho ya kurudi kwa Mola wako. Tuacheni kuchukulia matatizo ya watu wengine na kuyahusisha na masuala ya kisiasa. Kuna watu walinishangaza zaidi eti wanahitaji Postmoterm ya kifo cha Masogange wakati wanajuwa fika kama marehemu alikuwa anaumwa Pumu, jee wangapi hawajuwi kama pumu linauwa? nadhani wote tunajuwa kuwa Pumu linauwa na ndilo lililosababisha kifa cha mpendwa wetu Masogange.

Mwisho nitowe ushauri kwa wadada wote watakao soma uzi huu, tuangalie sana picha tunazozipost kwenye mitandao yetu ya kijamii zinaweza kuja kukuharibia sifa zako hapo baadaye maana picha zako zinaishi wewe mwenyewe hauishi muda mrefu. Agnes Masogange awe funzo kwenu maana R.I.P zote anazopewa ukianga photo attachment moyo razima uume hii nikutokana ndio picha nyingi alizokuwa nazo labda kwenye akaunti zake za social media. Lakini hata kama mtu alikuwa na matendo mabaya kwa wewe hnavyohisi sio vizuri kutoa aibu zake hadharani maana kwa sisi waislamu Mtume Muhammadi S.A.W anasema msithubutu kutoa aibu za maiti zenu hilo sio jambo jema kabisa.

Mwisho kabisa nasikitika Marehemu Masogange kaondoka hali yakuwa ndoto zangu hazijakamilika hata kidogo. Hakuna anayebisha Marehemu alikuwa ni mrembo haswa na mimi ni miongoni mwa wanaume wachache sana tuliyofanikiwa kuuona uzuri wa Masogange na nilikuwa nipo kwenye process za kutaka kwenda kwao na kupeleka barua ya uchumba. sio siri nimesikitika sana basi japo hata ningepata japo hata salamu yake tu kabla hajafa ili atleast ndoto yangu ifikie japo hata robo.

All in all Mungu ailaze roho ya marehemu Agness mahali pema peponi na Mwenyezi Mungu ampe kauli thabiti marehemu.

Ombi kwa Moderetors naomba uzi wangu msiiunganishe na uzi wa Mshana Jr haufanani hata kidogo naombeni sana maana nilipost uzi wangu wa kwanza mkauunganisha na wa Mshana Jr nawaombeni huu nimepost tena nawaomba msiuungani na ule zui tafadhalini sana.

Wewe wakili wa wanaohusishwa kuufanya msiba kiki
Hao Bongo movie ambao walikua wa kwanza kufika kwa mama ngoma na gari ya kifahari walikua wapi hizo siku nne nzima kupost ugonjwa wake wakati wengine wakiugua wanapost
Ingesaidia hata Ushauri wa kuokoa maisha yake lakini siku nne nzima hata kujisogeza wampeleke hosp kubwa wameshindwa ila alipkata roho tu hapo hapo wakajua
Mambo mengine wanafanya wenyewe kufanya wahisiwe vibaya
Wanakimbiza msiba Leaders kama vile hana kwake au Ndugu Bora Ndugu zake leo wamepeleka msiba Nyumbani kwake
Maaana watu wanataka fanya kiki msiba Sasa kwanini wasifikiriwe vibaya
 
mkuu unaposema Aggy ni public figure upo sahihi kabisa lakini nikuukize kitu kuna public figure wangapi waliokufa ndani ya kipindi hiki cha serikali ya awamu hii? jee kwa bahati mbaya simuombei kifo Maadam Wema sepetu akifariki leo hii na madokta wakisema amefariki kichomi kilicho mpata ndani ya siku tatu na kilichomsababishia kulazwa na hadi kufariki jee napo utakataa? na kuwahusisha wafu wengine na kifo chake?

Hata wema ilikua naye atolewe wakaishiaal kwa huyu Kwa Sasa Kwa mantiki hiyo
Bongo movie wanafanywa misukule
 
Heee!! Masogange Vipi umefufuka nini!???,Hatuwezi heshimu maiti ya namna hiyo yeye kauwa wangapi kwa madawa ya kulevya angekuwa anajiheshimu angekuwa anapiga picha za uchi hizo picha alitupa za ukumbusho na ndo tunamkumbuka
Sema wewe huwezi heshimu maiti yake si wote? amewahi kushtakiwa kwa kesi yoyote ya mauaji?unajua maana ya uchi kwa tafsiri sahihi ya kiswahili na hata kwa mila za kitanzania tu. We unaacha kupambana na serikali inayoua watu wake kila siku kwa kutowapa huduma bora za afya, maji n.k huku wakipeleka pesa kwenye maeneo yasio ya kipaumbele, uanze kukashifu marehemu!!!!Tatizo watu wamezidi unafiki na huku ubinadamu ukipungua. Toa boliti jichoni kwako kwanza
 
Sema wewe huwezi heshimu maiti yake si wote? amewahi kushtakiwa kwa kesi yoyote ya mauaji?unajua maana ya uchi kwa tafsiri sahihi ya kiswahili na hata kwa mila za kitanzania tu. We unaacha kupambana na serikali inayoua watu wake kila siku kwa kutowapa huduma bora za afya, maji n.k huku wakipeleka pesa kwenye maeneo yasio ya kipaumbele, uanze kukashifu marehemu!!!!Tatizo watu wamezidi unafiki na huku ubinadamu ukipungua. Toa boliti jichoni kwako kwanza
asante mkuu
 
Wanaopaswa kupewa hiyo taarifa ni ndugu zake au vyombo vya dola kama itatakiwa, sasa atoe majibu kwa wengine kwa sababu gani mkuu.
Mkuu kuna utata kuhusu kifo cha masogang.NA huyu dada alikuwa ni msanii nyota.Ni vema ukweli uwekwe hadharani.
 
Labda biblia yako haina hii sura .Kama inayo soma hapa,"
Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu."
Yohana 10:17‭-‬18

Kwa hiyo YESU alijinyonga
 
30603472_163145797692456_5843073629184589824_n.jpg
Nyumbani kwa Baba yake Mzazi Agness Gerald 'Masogange' Mbeya Mbalizi kata ya Utengule Usongwe ambapo mazishi yatafanyika tayari Wametenga Msiba. - Baba Mzazi anaitwa Gerald Waya ambapo amesema nyumba amejengewa na Mtoto wake Agness
 
Mi uhakika nautoa wapi, wakati wewe ndio umeongea habari za ukimwi! Kwani mpaka leo kifo cha ukimwi kinakutatiza?
Hakuna taarifa sahihi,kila mtu anasema lake.
1.Homa ya Matumbo(Typhoid)
2.Pumu.
3.Upungufu wa damu.
4.Pneomonia(homa ya mapafu)
5."KIFUA"
?????? Which is which???

"LAMDA " alitowa member ya naibu RAHISI
 
Back
Top Bottom