Ahadi ya kujenga nyumba yangu ya kuishi kabla ya miaka 35 imetimia

Nje ya mada
Naomba kufahamu naona watu wengi wanaweka grill madirishani na milangoni kabla ya kupaua sabbu ni nn? Na je ni muhimu kufanya hivo au ni mapendekezo tu?
Usalama hata kuweka milango kabisa bila ya hivyo itageuzwa gesti bubu soon na watu wa hovyo .Hata kufanywa choo..Kuna vichaa wale homeless wanazunguka tu ukiacha pagala bila ya kuweka milango na madirisha unaweza wakuta wameshafanya nyumba yao
 
Kumbe forex haisaidii kabisa. Hadi leo huna kibanda
Nina miaka 68 karibia naingia 69 nadhani April ,mpaka Kodi huwa inanishinda smt tunalala njaa na Ada ama hela ya sare za shule zinazingua. Naona ili ufurahie mkuu. Hata simu nayotumia kuingia humu natumia simu ya mtu nagongea.

Sema Kuna lingine tena nimesahau ,
 
Usalama hata kuweka milango kabisa bila ya hivyo itageuzwa gesti bubu soon na watu wa hovyo .Hata kufanywa choo..Kuna vichaa wale homeless wanazunguka tu ukiacha pagala bila ya kuweka milango na madirisha unaweza wakuta wameshafanya nyumba yao
Nilikuwa sijui hili mmenisaidia kwakweli
 
Aisee... Hizi chuki wazi wazi
 
Nje ya mada
Naomba kufahamu naona watu wengi wanaweka grill madirishani na milangoni kabla ya kupaua sabbu ni nn? Na je ni muhimu kufanya hivo au ni mapendekezo tu?
Unaanza kupaua/kuezeka ndio unaweka grill sio kinyume chake. Ukiweka grill kabla ya kuezeka mvua ikinyesha grill zitapata kutu utakula hasara.
 
Unazingua ,mie sio si unit ya kuseti standard za hela chafu,kila mtu Anazo si unit zake.
We differ perception,how I worth like a person ,our thinking etc so Naona Kama unanichora.

Ama nikuambie kuwa hela chafu Ni alfu 70 utaweza kuwa inspired kweli
Yeah. I'm inspired kwakweli.
 
Sidhani kama utaoa wewe. Uoe ili mkeo akatae usizikwe hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…