MSTARI WA NYUMA
Senior Member
- Feb 28, 2021
- 100
- 138
Okey ngoja nami nisubirie,Asante pia kwa hii taarifa yakoItakuwa wanaendelea kuchakata. Kwangu nimekuta washaondoa na nimeambiwa deni limeisha nisubirie barua.
Elimu ni huduma sio biasharaSwala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Teh teh tehHapana hajasema kuwa hataki kulipa, ila mie nilichosema ni kuwa walipe bila kuwa na kelele.
Au ngoja nkuulize swali, wakati wa kuomba mkopo si kunakuwa na kanuni na tararibu zake, vipi kuhusu utaratibu was marejesho? Huenda watu walikua wana sign mambo ambayi hawayajui.
Sorry naomba nieleweshe. Samahan lakini.
Maelezo gani nisaidie sijayaona zaidi ya mfano wa index noBaada ya index number weka mwaka ulomaliza kdt cha nne then inarespond automatic. Kabla hujaweka index number kuna maelekezo ndani ya hicho kibox, iandike kwa kadri maelekezo yanavyokutaka.
[emoji23][emoji23][emoji23] vipi dea?Teh teh teh
Safi....[emoji23][emoji23][emoji23] vipi dea?
Takataka kabisaSwala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Hayo ndio maelekezo sasa, andika index number yako kama huo mfano ulotolewa.Maelezo gani nisaidie sijayaona zaidi ya mfano wa index no
ShukraniHayo ndio maelekezo sasa, andika index number yako kama huo mfano ulotolewa.
Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Ukiwaambia hivyo wanakwambia kuna watu wamejiajiri wanauza karanga na kuendesha bodaboda wanalipa 10% deni la bodi tens wanakupa na takwimu watu elfu 13.333333333888822222.Mwendazake yule mtu sijui katokea wapi
Nahisi Hana vinasaba vya utanzania.
Hakuwa binadamu wa kawaida aisee.
Kuna mwamba mfano Mimi namjua Yuko juu ya mawe(Hana kazi) tangu atoke chuo 2012 Hadi leo .
Hiyo VRF yake so ingekuwa maradufu na alisoma engineering.
Duuh aisee his death was good riddance.
Una roho mbaya Sana...Kama ni hivyo mbona huwa serikali haiongezi mshahara kucover inflation rate?Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Nilichogundua baada ya kuingia kwenye hyo portal ni kwamba Deni limeisha na ninawadai Kama laki mbili na pointi. Kitu kingine ninachokiona yani chuo na course niliyosoma ni tofauti kabisa na walichoandika kwenye hiyo statement, Sasa najiuliza hata Hilo Deni nililolipa ni langu kweli? Mi nilikuwa miongoni mwa wanafunzi waliopata multiple admission lakini wao kwenye statement yao wameandika chuo ambacho nilikiacha badala ya chuo nilichosoma. Heslb sidhani Kama wapo serious na kazi yao nahisi Kuna ubambikizwaji mkubwa Sana wa madeniKama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.
Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa
Kwa sasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya mikopo (olas.heslb.go.tz ) utaona kuwa wameondoa tozo zote za VRF, yaani hata zile walizotoza zamani (kabla ya agizo la rais) wameziondoa
Wanufaika wa mikopo tunamshukuru sana Mheshimiwa rais kwa kusikia na kuyafanyia kazi maombi yetu. Tulilalamika sana wakati wa mwendazake lakini tukajibiwa kuwa 'hapangiwi'.
Sasa ni muda wa kila mnufaika mwenye uwezo wa kulipa na alipe, tena wamerahisisha unaweza kulipa hata kwa M-pesa na malipo yako yanaonekana hapohapo kwenye mfumo.
Pia niwakumbushe wadau, twendeni vizuri na mama, naiona katiba mpya hususani wakati wa ungwe yake ya pili Mungu akimjaalia na wananchi wakampa ridhaa.
---- update----
Wadau wengi wameuliza namna ya kuangalia, naamini bodi watatoa maelekezo zaidi lakini kwa hapo ngoja nieleze kwa ufupi.
Ingia kwenye website
View attachment 1830801
Kwenye dashboard (juu kushoto) chagua loan repayment
View attachment 1830804
Kisha baada ya apo, chagua beneficiary/lonee/ employee login
View attachment 1830805
Baada ya hapo ingiza namba yako ya form four kwa format inayo onekana
View attachment 1830806
System itaiangalia namba hiyo kwenye database ya bodi na kukuketea jina lako mnufaika.
Baada ya hapo utathibitisha kuwa ni jina lako kweli kwa ku click hilo jina.
Baada ya hapo utajaza taarifa muhimu kama namba ya simu, email na taarifa za mwajiri pamoja na kutengeneza password.
Ukikamilisha utakua umeshatengeneza account kwenye mfumo wao
Baada ya hapo uta log in as registered user na utaona taarifa zako zote za deni lako. Pia utaona control namba unayoweza kuitumia kulipa mwenyewe.
Natumaini inaeleweka.
NB sijaweka picha za hatua za mwisho kwakua zinaonesha taarifa binafsi za mnufaika.
Mataga banaHakuna kitu hicho mleta mada unatuchora
Nilichogundua baada ya kuingia kwenye hyo portal ni kwamba Deni limeisha na ninawadai Kama laki mbili na pointi. Kitu kingine ninachokiona yani chuo na course niliyosoma ni tofauti kabisa na walichoandika kwenye hiyo statement, Sasa najiuliza hata Hilo Deni nililolipa ni langu kweli? Mi nilikuwa miongoni mwa wanafunzi waliopata multiple admission lakini wao kwenye statement yao wameandika chuo ambacho nilikiacha badala ya chuo nilichosoma. Heslb sidhani Kama wapo serious na kazi yao nahisi Kuna ubambikizwaji mkubwa Sana wa madeni