Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Elimu ni huduma sio biashara
 
Teh teh teh
 
Baada ya index number weka mwaka ulomaliza kdt cha nne then inarespond automatic. Kabla hujaweka index number kuna maelekezo ndani ya hicho kibox, iandike kwa kadri maelekezo yanavyokutaka.
Maelezo gani nisaidie sijayaona zaidi ya mfano wa index no
 
Inatakiwa uambatanishe nini ili unufaike na mkopo ikiwa mzazi amefilisika ingawa huko nyuma Hali ya kifedha ilikuwa poa?
 
T
Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Takataka kabisa
 
Mwendazake yule mtu sijui katokea wapi

Nahisi Hana vinasaba vya utanzania.


Hakuwa binadamu wa kawaida aisee.

Kuna mwamba mfano Mimi namjua Yuko juu ya mawe(Hana kazi) tangu atoke chuo 2012 Hadi leo .

Hiyo VRF yake so ingekuwa maradufu na alisoma engineering.

Duuh aisee his death was good riddance.
 
Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee

Huna elimu ya juu kaa kimya
 
Ukiwaambia hivyo wanakwambia kuna watu wamejiajiri wanauza karanga na kuendesha bodaboda wanalipa 10% deni la bodi tens wanakupa na takwimu watu elfu 13.333333333888822222.
 
Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Una roho mbaya Sana...Kama ni hivyo mbona huwa serikali haiongezi mshahara kucover inflation rate?
 
Nilichogundua baada ya kuingia kwenye hyo portal ni kwamba Deni limeisha na ninawadai Kama laki mbili na pointi. Kitu kingine ninachokiona yani chuo na course niliyosoma ni tofauti kabisa na walichoandika kwenye hiyo statement, Sasa najiuliza hata Hilo Deni nililolipa ni langu kweli? Mi nilikuwa miongoni mwa wanafunzi waliopata multiple admission lakini wao kwenye statement yao wameandika chuo ambacho nilikiacha badala ya chuo nilichosoma. Heslb sidhani Kama wapo serious na kazi yao nahisi Kuna ubambikizwaji mkubwa Sana wa madeni
 
Kweli asee wameondoa manake mi hadi sasa ningekua nadaiwa milioni 20 na ushehe ila imerudi milioni 10 kama na laki 5 ,halafu mpaka sasa mi mpiga Dili ,nlilipaga kaka laki 4 na point kadhaa
 
Sijui nakosea wapi?
Niliomba statement tangia jana wakanijibu watanitumia within 72 hours nyinyi mnawezaje kuona ndani ya muda mfupi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…