Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

KateMiddleton. Asante Umkonto. Kuna mtu alisema sheria siyo retrospective. Nikamwambia hiyo ni kwenye vitabu tu. Hapa Tanzania neno la Rais ndio sheria lakini hakunielewa hata kidogo.
VRF ilipitishwa na bunge mwaka 2013, na ikawahusu hadi wale wa miaka ya nyumba, ambao mkataba wao haukuwa na VRF. Je, hauoni ni kuvunja mkataba?
 
Mkuu..
Hapo achana napo, hiyo username inakuwa automatically generated from your form four index number..

Jaza hizo taarifa zingine, kisha bofya submit
hapa tumekwama wengi....
Cheki hapo nilipozungushia duaraView attachment 1834045

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Sasa hapo kwenye no. 3 kujaza hizo details uki-ckick sehemu ya username ili uandike haitokei .

Ndo tatizo lipo hapo.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Shukran mkuu..nmeona..there is a big difference
Wakayi was mwendazake nilienda ofisini kwao wakaniprintia deni la milioni tisa..sasa hv nmecheki deni limepungua hadi milioni mbili.
Duuh 9M hadi 2M? Hapo unalipa deni kiroho safi
 
Inagoma kwenye kutengeneza account
Screenshot_20210628-234558.jpg


Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nikifika hatua ya mwisho naambiwa kuna tatizo la kimtandao sijui shinda ni nini
 
Hii nchi ilishikwa na mwendawazimu. Bora kaondoka, angalau kuna matumain
 
Mama SAMIA Mungu akutunze mama....yani unaponya sana maumivu ya raia kwa kwelii hakika unaupiga mwingi sana.
 
Nilienda jana statement walinipa tulikuwa wengi wengine deni limepungua ila kwa upande wangu limeongezeka wameniwekea VALUE RETENTION FEE ya mwezi wa NNE 2021 kama laki NNE hivi kwahiyo hata sielewi nini kinaendelea sijui mama Samia
Leta mrejesho
 
Kama una swali lolote uliza.
Kuna jamaa tulikuwa nae alikuwa anadaiwa milioni 20 kakuta imebaki 8
 
Back
Top Bottom