Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumlawiti mke wake

Ogopa sana ukikutana na jina atufiwe au atufilwe,kijana alitaka kupeleka home michezo ya mjini!
 

1 Kor 6:9-11​

1 Kor 6:9-11 SUV​

Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
 
Watoto watakua tu,Kuna watu wanafariki na watoto wanalelewa na mama,huwezi kuvunjiwa utu uendelee kumvumilia kisa watoto,,,,Sasa kichaa kama huyo anaweza hata kulea watoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…